Recent content by maukijunior

  1. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Mo & METL out, tuachie Simba yetu

    Yani we kufika robo fainali mara tano unachukulia poa sana,,, acha hizo mambo bana.. Mo hana shida ila kuna wazee wa simba pale ndio wanataka kula hela tu,, walifanya figisu hafi Babra akatoka kisa alikua anasimamia vizur mpunga wa MO,,
  2. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kusoma vitabu kunaweza kubadilisha maisha ya mtu? una ushahidi wowote?

    Sasa kama kitabu kimeandikwa na BILLGATE, Au Reginard Mengi(RIP). ELLON MASK, Giyo ni mifano tu ya baadhi ya watu matajiri na wakaandika vitabu ili watu tupate maarifa, matajiri wengi siri za mafanikio yao wameweka kwenye vitabu trust me.... nenda kasome kitabu kinaitwa "WHY WE WANT YOU TO BE...
  3. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Hii hali huwa inanisumbua sana

    Wakati sisi enzi zetu tukiona mademu wamejaa ndio tunakatiza hilo eneo ili pic zione swaga,, wew unaona joma tena?
  4. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Mke wangu kaniambia wana ndoa sio lazima waishi pamoja, kahamia Dar lakini sijui anaishi wapi!

    Unapoteza muda hapo mkuu...zinduka toka usingizini kabla haijawa too late,, huyo sio mke tena,,,
  5. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Makato ya Mshahara kwa Daktari mpya Serikalini, bado tuna safari ndefu sana

    Hiyo kodi 290,500 wanapeleka wapi,, mbona pesa nyingi hivo,,, duuh?
  6. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Nimepoteza kazi na Nina balance ya 500,000/- pekee

    Nenda kalume pale asubuhi sana,, mida ya saa kumi hivi,, nunua viatu vya mtumba vya watoto na watu wazima tafuta ratiba za magulia hukohuko unapoishi nenda kawauzie,,, lakn kabla ya yote fanya research kwanza kwenye minada raba gani wanapendelea kuvaa, hii itakuraisishia kununua raba kulingana...
  7. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Spika Tulia: Tusichanganye Maadili ya Mtanzania na Imani za kidini. Lipi kosa la walimu waliosimamishwa kazi Kwa kucheza muziki? Warudisheni kazini

    Makasiriko yako ya kukosa ajira usiyalete kwa walimu mkuu,,, we pambana na hali yako...
  8. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Kwako Waziri Gwajima, kuhusu kufukuzwa kwa Mkuu wa shule

    Kwenye mahafari ya kuhitimu darasa la saba wanapiga sana hizo nyimbo na watoto wanazicheza vizur tu
  9. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Hakuna movie kali ya kivita kuzidi Saving Private Ryan

    Nimeirudia tena jana hii,,, harafu ni true story aisee,,, inasikitisha sana...
  10. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Karibuni Songea

    Chimpumu,,,[emoji23][emoji23][emoji23] hiyo ukinywa unavua shati mkuu,,, pombe yamoto kama chai [emoji23][emoji23][emoji23]
  11. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Tabora umeme unakatika sana, kuna mgao wa umeme?

    Wakuu habari za muda huu, kwanza poleni sana na majukumu binafsi sio mwandishi mzuri saana lakini ntajitahidi kafli niwezavyo kuwakilisha ujumbe huu. Wiki iliyopita nilikua mkoani Tabora kuna mitikasi fulani nilikua nafanya ili mkono uende kinywani, wakati nimefika tu siku ya kwanza nimeamka...
  12. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Kamwe! Usikate tamaa!

    Tuongee na wakuu,,, kuwe kuna jukwaa la chai tu,,, maana mnatukera sana, haya maisha sijui mnayachukuliaje?
  13. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Najuta sana

    Mkuu uwe unatembea na mafuta,,, ili wasije wakakuumiiza,,,maaana ndio unapoelekea huko...[emoji3][emoji3]
  14. maukijunior

    JamiiForums Tanzania Kuporomoka kwa Bei ya Brevis

    Mkuu,,, hizo gari ni hatar,,, mi nilishawah kuwa nayo naweka mafuta elfu 30 lkn dashboard inasoma red,,, zinakula sana mafuta hizo,,,
Back
Top Bottom