Karibuni Songea

Karibuni Songea

Niliishi jirani na S/m Misufini. Zaidi ya miaka 10 niliishi Songea.

Buhemba (ndani ya shimo)ilikuwa ya moto sana.Pia majimaji na Deluxe, Ndiyo yalikuwa maeneo ya kujidai.

Hadi naondoka msanii maarafu alikuwa Zed M, Salatoga na Pablo killer. Sijajua muendelezo wao.

Nimekumbuka Pitiku na Mdojolela. Daah!
 
Shule ya Msingi Huruma nilipita hapo darasa la 5 nikahama kwa wakati ule ilikuwa shule nzuri ikaonekana sipo vizuri kichwani maana nilikuwa nashika mkia. Sema mawardat nasubiri details chache nithibitishe kuwa ni wewe.
Huruma hawanaga madudu, mie nimepita kiwanjani
now huruma wanajenga sekondari kumependeza sana na hakuna msitu yamejaa majumba tu.
 
Noo yeye alikua 2005, ndo alianza 4m 1 hapo.

Ndo maana nkafutaa, haku kukuta
Cocastic ntafutie dd mmoja anaitwa Veronika Komba yuko Hapo town alimaliza Mkawa Complex 2005 HGL
 
Back
Top Bottom