Msolid boy
Member
- Dec 19, 2019
- 32
- 71
Niliishi jirani na S/m Misufini. Zaidi ya miaka 10 niliishi Songea.
Buhemba (ndani ya shimo)ilikuwa ya moto sana.Pia majimaji na Deluxe, Ndiyo yalikuwa maeneo ya kujidai.
Hadi naondoka msanii maarafu alikuwa Zed M, Salatoga na Pablo killer. Sijajua muendelezo wao.
Nimekumbuka Pitiku na Mdojolela. Daah!
Buhemba (ndani ya shimo)ilikuwa ya moto sana.Pia majimaji na Deluxe, Ndiyo yalikuwa maeneo ya kujidai.
Hadi naondoka msanii maarafu alikuwa Zed M, Salatoga na Pablo killer. Sijajua muendelezo wao.
Nimekumbuka Pitiku na Mdojolela. Daah!
3

