Mo & METL out, tuachie Simba yetu

Hamna wanaofanya maamuzi ni watu waliowekwa na yeye
Try again ni raisi wa club lakini yeye anatoka upande wa mo
Mangungu ambae ni kama bubu ndie anayetoka upande wetu wanachama
Sasa tutaachaje kumlaumu mo, wakati watu wake ndio wafanya maamuzi ya timu kitu ni kinyume na katiba yetu, na ndio maana mchakato umekwama
Simba yak9 na nani?

Tuwekee ushahidi wa hisa zako.

Kama huna hisa baki kuwa mnazi tu, usijidanganye kuwa simba ni yako.
 
Simba yak9 na nani?

Tuwekee ushahidi wa hisa zako.

Kama huna hisa baki kuwa mnazi tu, usijidanganye kuwa simba ni yako.
Ukweli lazima usemwe
Screenshot_2024_0409_231519.jpg
 
Alichokielezea lwambano, ndio ninacholilalamikia
Uwekezaji mbovu ndani ya simba sport club
Uwekezaji mbovu, umeleta wachezaji wabovu na viongozi wabovu
 
Wadau na wapenzi wa simba sport club naomba tuungane, katika kampeni hii ya kumshinikiza mo na kampuni yao ya METL kuondoka Simba, ili kupisha wawekezaji wengine.

Ni ukweli usiopingika kwamba uwekezaji wa mo na kampuni yao ya metl katika club yetu pendwa simba sport club hauna tija, hauna faida kwa simba na pia haueleweki
Tunahitaji kuwa wawekezaji wengi, ili

1. Kuwa na mtaji mkubwa,
2. Kuleta uwazi na uwajibikaji katika uendeshaji wa timu kwa sababu viongozi hawatakuwa vibaraka mwekezaji

Tunataka wawekezaji watakao weka hela mezani na sio kwenda kununua bond bot halafu ile fida ndio uilete kuendeshea timu, huu ni uwekezaji ambao hauna tija.

Muwekezaji akitumia brand ya simba kwenye bidhaa zake anatakiwa kulipia, na ashindanishwe na makampuni mengine, kama akikosa basi.

Nawasilisha
Simba haitainuka tena hadi mo afe.
Ameing'ang'ania timu na hana msaada nayo.Anatakiwa Rais mfano wa Magufuli ili amteke na ateswe hadi aseme ni kwa nini anaing'ang'ania timu na hataki kuweka pesa ya kutosha.
 
Mimi ni shabiki kindakindaki wa simba, nina haki ya kuhoji,
Huna hisa baki kuwa shabiki tu.

Mkishinda cheka, mkifungwa lia.
.ingekuwa na hisa kama za Mo ungeelewa namna biashara za football zinavyofanyika.

Kwa kukujuza tu; biashara ya football si lazima timu yako ishinde kila siku ndiyo utengeneze pesa, kuna kutengeneza pesa kwenye kushindwa pia.
 
Huna hisa baki kuwa shabiki tu.

Mkishinda cheka, mkifungwa lia.
.ingekuwa na hisa kama za Mo ungeelewa namna biashara za football zinavyofanyika.

Kwa kukujuza tu; biashara ya football si lazima timu yako ishinde kila siku ndiyo utengeneze pesa, kuna kutengeneza pesa kwenye kushindwa pia.
Lakini sio kufungwa kila siku
 
Mo ameinunua Simba kwa shillingi ngapi??
Mkuu sikumbuki numbers ila ile video ilitembea sana alikuwa kwenye interview huko mbele mbele waliiona watakuja kushuhudia hapa nadhan alisema ametumia dola milion 20 kama billion 51 za kitanzania na anasema simba ni Mali yake mwaka wa tano huu, itafute video you tube me siweki link hapa
 
Yani we kufika robo fainali mara tano unachukulia poa sana,,, acha hizo mambo bana.. Mo hana shida ila kuna wazee wa simba pale ndio wanataka kula hela tu,, walifanya figisu hafi Babra akatoka kisa alikua anasimamia vizur mpunga wa MO,,
 
Back
Top Bottom