FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,978
- 109,411
Simba yak9 na nani?Hamna wanaofanya maamuzi ni watu waliowekwa na yeye
Try again ni raisi wa club lakini yeye anatoka upande wa mo
Mangungu ambae ni kama bubu ndie anayetoka upande wetu wanachama
Sasa tutaachaje kumlaumu mo, wakati watu wake ndio wafanya maamuzi ya timu kitu ni kinyume na katiba yetu, na ndio maana mchakato umekwama
Tuwekee ushahidi wa hisa zako.
Kama huna hisa baki kuwa mnazi tu, usijidanganye kuwa simba ni yako.