Recent content by MatikaC

  1. MatikaC

    Mdada wa Kisabato aliye tayari kuolewa

    kwa nini asiwe mpare au mchaga?
  2. MatikaC

    Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

    kuna mzungu msukuma au muhaya?
  3. MatikaC

    MBEYA: Walimu warekodiwa Video, wakimfanyia unyama Mwanafunzi

    hivi wanajua madhara ya kumpiga mtu kichwani? kichwa ndo kila kitu kwenye mwili wa binadamu, hivi huko vyuoni hawafundishwi anatomy and physiology, au hizo kozi ni kwa walimu wa biology only! hata hii chapa chapa watoto wa watu ifike mahali iishe!
  4. MatikaC

    Waalimu,Stress zenu msimalizie hasira watoto watu.

    hivi kwani siku hizi mashuleni bado wanakula bondo na maharage ya chukuchuku? au ndo pizza? ujue diet nayo inaleta diffrence
  5. MatikaC

    Waziri Ndalichako awatimua Chuo walimu wa mafunzo waliompiga mwanafunzi shule ya Kutwa Mbeya

    umeona eeh...but hilo tukio linasikitisha sana
  6. MatikaC

    Kulikoni ndoa za siku hizi?

    ndoa ndoano...kila la kheri
  7. MatikaC

    Nampenda lakini simuelewi kwa tabia zake

    huyo ni bipolar...sepa fastaaa
  8. MatikaC

    Wema: Nitalipa pesa matibabu ya baba Diamond

    hivi huyu Wema ana hata kiwanja? anamwaga hela kwa masuper star bila hata kufikiria badala afanye kitu cha maana misifa imemjaa! babake diamond yeye inamhusu nini? hapo sasa ni kuingilia familia ya watu. katika familia yake hakuna mtu anayehitaji msaada kweli? i
  9. MatikaC

    Ajali yaua 29: Mabasi ya Kampuni moja ya City boy yagongana Singida, ni basi la Dar na Shinyanga

    unapanda ungo mwenzetu? ila hata ungo unapataga ajali ;)
  10. MatikaC

    Nimemuacha mpenzi baada ya kushindwa kunizalia

    kamaliza form six unataka azae?. mwache dada wa watu asome atafute maisha, she is too young kuanza kuwa mama wa nyumbani. some men!
  11. MatikaC

    Ukiachana na mpenzi wako kuna haja pia ya ndugu zako kusitisha mawasilianao naye?

    sasa umeachana na ex wako ndugu zake wa kazi gani!
  12. MatikaC

    Wanaume wa Dar

    hivi dar kuna wanaume kumbe!
Back
Top Bottom