Mdada wa Kisabato aliye tayari kuolewa

Mdada wa Kisabato aliye tayari kuolewa

Mti wa ajabu, mbinguni hatutabaguana na hivyo twapashwa kuanzia duniani kutobaguana.
Haya sasa je , waweza badili kanga kuwa Kuku?
Kama unaweza kuwa msabato na umeona unaweza kucopy na mimi karibu Dada angu.
Ubaguzi haupo ila natafuta angalau mdada mwwny sifa linganifu na mimi.ahsante sana, naomba unisamehe.
hapana mim sina shida ya mume,ila lzm niseme ukweli ni dhambi san Kubaguana na wajua vzr,nakumbuk nilipo kuwa chuo nilikuja kuomba fld sehem ambayo wasabato ndo wana ofis yao wakaniambia km sio msabato uwez kupata nafas ya kufanya kazi hapa au ukitaka tukubatize upya na uwache kuvaa heren,nikaja tena kwa walokole wakanitenga nisiolewe n kijana wao kisa sisali dhehebu lao nia yao waoane wenye kwa wenyew mchungaji ana mwambia kijan kwann utoke nje wakati kuna mabint humu wamo humu wahajaolewa,so nyiny nawajua vzr sana huwa na waangaliaga tu,ila mungu ni mmoja tu na mke mwem hutoka kwa mungu sio jf,wal popote,kazan maombi mungu atakupa,ila huwa sina hamu na nyie..
 
hapana mim sina shida ya mume,ila lzm niseme ukweli ni dhambi san Kubaguana na wajua vzr,nakumbuk nilipo kuwa chuo nilikuja kuomba fld sehem ambayo wasabato ndo wana ofis yao wakaniambia km sio msabato uwez kupata nafas ya kufanya kazi hapa au ukitaka tukubatize upya na uwache kuvaa heren,nikaja tena kwa walokole wakanitenga nisiolewe n kijana wao kisa sisali dhehebu lao nia yao waoane wenye kwa wenyew mchungaji ana mwambia kijan kwann utoke nje wakati kuna mabint humu wamo humu wahajaolewa,so nyiny nawajua vzr sana huwa na waangaliaga tu,ila mungu ni mmoja tu na mke mwem hutoka kwa mungu sio jf,wal popote,kazan maombi mungu atakupa,ila huwa sina hamu na nyie..
Kiukweli inaumiza kitendo cha kubaguana, na si kizuri kwa ujumla
Ila kwa masuala ya kuoa kuolewa inategemea na mtu na misimamo yake. Wapo watu wasabato wameolewa na madhehebu mengine na kubadili dini kuacha usabato na wanaume pia wamebadili usabato kufuata imani za wake zao, ni misimamo na imani ya mtu m1 m1, wazee wa kanisa hawana nafasi.

Mimi miezi michache iliyopita nimekataliwa na familia ya kikatoliki MZEE wake anafanya Kazi jimboni na binti ni mkrismatik hivo nikashindwa kbs. Ubaguzi upo tu Dada ang
 
Muda umefika wa kuvua majoho ya dini na kuitafta njia ya haki ya biblia ya kufundisha jinsi mke anavyopatikana, sasa ndugu wewe ni msabato nyie wa biblia inakuwaje mnayajua tu maandiko ya unabii alafu msiweze kung'amua kitendawili cha ndoa, Jiulize Isaka alioaje akiwa katikati ya Uru ya Wakaldayo, ?
 
Nenda kanisani utawapata wengi tu ikiwezekana mwambie mchungaji wenu akutangazie kanisani muda wa ibada
 
Wow!mi msabato nipm tuwe tunachat hayo mengne tutajua
Age is appropriate and elim
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom