Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

Natafuta mchumba, mume mtarajiwa

Kwani imeshindikana kupata mchumba hadi ujitangaze.Ukoo wenu hawapo watu kama mashangazi,wajomba mashemeji n.k.?

Nahisi utakubaliana na mm kwamba now adays kuna watu ,,unasikia fulani anatafuta mchumba,,,so najaribu kuwafundisha njia nyingine ingawa hata mm natafuta kwa wenzetu social media na vitu km hiv ,,kawaida ila sisi tunaona tabu ,,hii haina tofauti na kukutana kwenye basi tukakaa kiti kimoja,,then ,,,
 
Nimepungukiwa sifa moja ya kabila, hizo nyingine ninazo,ni halali nikukose kisa simo kwenye hayo makabila?
 
Nimepungukiwa sifa moja ya kabila, hizo nyingine ninazo,ni halali nikukose kisa simo kwenye hayo makabila?



MMMh! Nashukuru kuwa interested ila nahisi naelekea kwenye final ya kumpata,,so nataka niwape nafasi walio wahi! asante
 
Unaweza ukawa unakazi nzuri ila huna pesa. Nini maana ya kazi nzuri? ni kuvaa kitanashati yaani nguo nyeupe na tai/kuchomekea/kuvaa vimodo nk.....Mm sijaelewa bora ungekuwa unatumia kigezo cha mtu ambae atleast kwa mwezi anaingiza kipacho cha kati ya USDX hadi USDX. Habari za kazi nzuri sipendi kusikia.......Maana kuna jamaa yangu mmoja yupo Buguruni tulihitimu wote yeye anagoma kuajiriwa hai leo, kazi anayoifanya huko buguruni ni kuuza matunda yaani ndizi, maembe, machungwa, nanasi, papai etc kwa siku ananiambia anafikisha hadi laki 4. Nilipomtembelea nikakuta yupo ovyoovyo kama sio msomi........Ana tunyumba tutatu Dar na tuuwanja tunne bado hajatuendeleza, ana kausafiri, na huko kwao kaweka mambo poa na kanihakikishia kwamba hawezi kufanya kazi hizi za kulipwa sijui laki ngapi alafu kwa mwezi!!!. Wale tuuvao kitanashati kununua eneo tu tunaona ni miujiza kutoka kwa YEHOVA!, kwa muonekano utapenda aisee ila pesa ya maendeleo ni siri ya Kata.
Awe na kazi nzuri? au awe na mahali pa kujipatia kipato cha halali? au awe na uhakika wa kupata pesa ya kuwafanya muishi?............Hiyo kazi unaitaka ya aina gani mtoa mada?
Shikamoo mtafuta MUME!
 
Are trying to tell me there is no a single man from 30 and above, with job, a Christianity (Lutheran- KKKT) ,from kagera, msoma, mwanza, mara, mwembamba , mrefu kiasi,,mpole,,???education -degree level????
Inawezekana sana wanaume wa aina hiyo wakawepo tena wengi tu ila na wana aina ya wanawake ambao wanawapenda na wewe usiwe mmojawapo kati ya hao. 'Perfecrt patnership is a compromise"
 
Hiyo nimeipenda sana, kwa kweli umenifurahisha. Hapo sifa niliyokosa kwako ni dini maana vingine ninavyo
 
tehe tehe tehe nshomile on fleek
.........Asiyejua kutongoza wanawake wengine..........
 
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).

Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).

Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).

Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.

Kama utakuwa interested ni-pm.
Haya kila la heri dada
 
Hakuna aliyenichezea ila mm ndie sipendi kuolewa na mtu asiekuwa chaguo langu kutoka moyoni,,,coz kama weye sifa za kawaida km ww nimekutana nao wengi na husband material ,,sema sipo tayar,,sijataka kuongeza namba ya mahusiano ndo maana nkaandika iyo only two men.
Hahahahah vipi umeshapata??
Kama hujapata nimekuja mimi hapa mwenye sifa za kawaida
 
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 25, natafuta mchumba anayenizidi miaka mitano(5) na kuendelea. Sharti awe mkristo ( Mlutherani sitaki kuwachanganya watoto na pia nahitaji familia yangu iwe ya dini), mpole ( Kuna wanaume wanaoogopapa kuwatongoza wanawake type kama hizo ndo nataka).

Usijali mapenzi tutafundishana kwenye ndoa (yaani ujuzi), uwe mrefu mwembamba, uwe na kazi nzuri (coz na mimi nina kazi nzuri) na ni mwembamba pia. Kabila utoke ndani haya matatu- msukuma, mhaya, na mkurya (mimi mhaya).

Elimu uwe na degree, usiwe na mtoto au ulishawahi kumpa mimba mdada yeyote akatoa (sitaki laana mimi, nataka kitu fresh kama mimi ingawa kufanya nilishafanya yaani ku do).

Nitakuheshimu na kukupenda kwa dhati kama utakuwa serious. Kama mzungu pia unakaribishwa ila sio mhindi au mchina.

Kama utakuwa interested ni-pm.

MKOREA YUKO HAPA IKO NAFASI ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom