Kulikoni ndoa za siku hizi?

Kulikoni ndoa za siku hizi?

Mwanzo, mapenzi motomoto, mtaitana honey, baby na majina yote matamu, hatua ya pili ni kuheshimiana na hatua ya mwisho kuvumiliana. Halafu zamani wanawake walikuwa wanaolewa ili kutengeneza familia. Sasa hivi hilo halipo, wanaolewa kuondoa nuksi asije itwa Malaya, Alisha to a mkosi huo hanahaja na mwanaume kwani kama kulea watoto hilo wanaliweza. KUNAHAJA GANI YA KUFUGA NG'OMBE WAKATI UNAUWEZO WA KUNUNUA MAZIWA KILA SIKU? AU PALE UNAPO YAHITAJI MAZIWA UNAYAPATA KWA URAHISI? TECHNOLOJIA IMEWASHINDA WANAWAKE, UKIOMBA NAMBA YAKE NA AKATOA JUA AMELIWAAAAAA.
 
mi naona maisha ya ndoa ni mazuri km mtaishi kwa upendo ila kwa sasa zipo familia hali mbaya yaan baba analala kivyake mama kivyake na hakuna kupika kisa baba hajaacha chakula yani bwai ni bwai na zp familia baba akipata pesa mama anachukua anaweka kapuni ndo maan unakuja wasoweza vumilia wanakunywa sumu wanakufa

mmmmhhh wana roho ngumu aisee ulale kivyako nyumba hiyo hiyo ntajitahidi wwek tu then natia timu hukihuko uliko weee tusitaniane kwetu hamna ugali?
 
Utandawazi, mitandao ya kijamii na kumsahau Mwenyezi Mungu ni sababu kubwa sana ya kuharibika kwa Ndoa za siku hizi
 
Kwanza mwenyewe umeprove ulichosema ni uongo. Mwanaume ni wa kwanza kwenye Nini? Ujinga?

Imani, culture, malezi, elimu na utashi wa mtu ndo hum Shape mtu. Unajua mwenyewe ni vipi umekuja kushikilia huo UNANILIU wa mwanaume nafasi ya kwanza.

And I won't take that away from you.

Wala si wanaume wote wana mawazo kama yako, there are billions of men what makes you think wote wako kama wewe??? Si ningekuwa sista!

Jiongelee mwenyewe bro na waafrika wenzio labda.

Sijui unamaanisha Nini unaposema Feminism, watu wana mawazo hasi kupitiliza, kama huyo aliyesema feminism ni kukosea watu heshima, ambayo sijajua anamaanisha Nini.

Na haujajishtukia jinsi ulivyo MTU wa HOVYO? Kwanini hujaandika kupinga wanaume MALAYA?

nimeongelea furaha ya mwanamke umedismiss like nothing!! Kumbe furaha ya mwanamke si kitu?

HUO NDO MFUME DUME.

Ndo unakotaka kuturudisha huko, huko ambako wanawake ni wanyonge??

Huko ndo tunatoka ndomana ndoa kibao CHALI kwasababu ya wanaume WABINAFSI, WASIOJIHESHIMU wala KUJALI FAMILIA zao.

Familia imara ndo inatengenezwa na mwanaume MALAYA na mwanamke asiyefurahia maisha hayo?

Embu nielezee mwanamke anayechepuka anaharibuje familia na mwanaume MALAYA anajengaje?

Kwanza kwenye vitabu vya dini msingi wa talaka ni UZINZI.

na huwa mnashauri waume za wanawake wachepukaji wapige goti kusali na kuvumilia ili familia iwe imara?? AU NDO MUENDELEZO WS MFUMO DUME?

Familia itasimama tu kwani wangapi wanaishi hayo maisha Leo hii huku huku nje tunajua ni wana ndoa?

Mbona wanaume Malaya wa zamani walivumiliwa watu wakaishi tu? .

MBONA NYIE WANAUME HAMTAKI KUPRACTICE SIFA HII YA KIMUNGU YA UVUMILIVU?

Tusidanganyane na UIMARA!! huo uimara unapimwaje? Kama MTU yuko comfortable na umalaya wa mwenzako so be it, lakini sio kuwalazimisha wenzenu/kuwapa guilt conscience waishi hayo maisha kwa kuwadanganya watakuwa na familia imara. kwanza ndo itatuzalishia watoto Malaya kama baba zao.

Overall sikia brother, times have changed. It's all about mutual respect, individual rights, and happiness now. Anything against that is SIN.

Kila MTU atafute tu mwenzi mwenye viwango sawa na mtazamo sawa wa maisha ili mifarakano ipungue.

Mimi kwamfano nisingeweza kuolewa na muafrika, nisingekuwa na furaha KAMWE wala uwezo wa kumfurahisha MTU asiyeelimika kama wewe sina.
Unatisha, kwakuwa akina mama hubeba mimba na kulea basi kwa msimamo huu single mama ndiyo suruhisho. Mtatoa sana mimba na familia hazitawahi kuwepo hapo kesho napita tu
 
Tatizo kubwa la kuvunjika ndoa siku hizi ni hizi smartphones zaman kulikua hakuna mambo haya
 
Hahahahaaaaa, kuna kale kamsemo, hata chura anapenda maji lakini siyo ya moto
 
Unatisha, kwakuwa akina mama hubeba mimba na kulea basi kwa msimamo huu single mama ndiyo suruhisho. Mtatoa sana mimba na familia hazitawahi kuwepo hapo kesho napita tu
embu jiamini bro, mwanaume kujiamnini.

Kwanini niwe single mother, hunioni me wife material kabisa. Unajua barua ngapi zilipelekwa nyumbani? 😀

Najua umekuzwa KUMDHARAU mwanamke la sivyo usingenipinga. Itabidi uanze kujifunza kuheshimu wanawake, especially mkeo.

Ukimuheshimu MTU utaogopa kumfanyia USHENZI. Utaogopa wakati una subiri maamuzi yake baadae ya USHENZI wako na utakuwa MDOGO.

MTU anayekufanyia USHENZI ni MTU ANAYEKUDHARAU.

DHARAU zinazidi pale anapotegemea wewe uliyekosewa ndo uwe mdogo na kubeba burden ya makosa yake.

DHARAU ZAIDI ni pale MSHENZI huyu anapolalamika na kupinga hata WAZO la kufanyiwa USHENZI ule ule.

Ndomana Africa haiendelei, watu wanatafuta tu njia za kuendelea kutawala wenzao badala kutafuta njia za maendeleo. Eti unanitishia u single mother.

Halafu ona mwanaume ana access na JF na hajui kuhusu UZAZI WA MPANGO. ETI ndo kiongozi wa familia. hatuendelei Leo wala kesho.
 
Binafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo
Daaaah too sad
 
lol duh

sasa mapenzi watoe wapi??

au ndo wale una mwenzi wa kulea naye watoto ambaye ndo unaishi naye na mwenzi mwingine huko nje wa kuufurahisha moyo??
Maana yangu ni hii. Usiingie kwenye ndoa kwa kufikiri utapata mapenzi huko tu ila ingia kwasababu unataka kujenga familia bona ukifanya hayo mapenzi yatakuwepo automatically mfano ukifika unafanya majukumu yako yote kwa mume/mke na watoto ili familia iwe bora na nzuri lazima huyo mume na hao watoto watakupenda na kukuheshimu
 
Maana yangu ni hii. Usiingie kwenye ndoa kwa kufikiri utapata mapenzi huko tu ila ingia kwasababu unataka kujenga familia bona ukifanya hayo mapenzi yatakuwepo automatically mfano ukifika unafanya majukumu yako yote kwa mume/mke na watoto ili familia iwe bora na nzuri lazima huyo mume na hao watoto watakupenda na kukuheshimu
Naona kama unacheza na maneno tu. Mara usiingie ukitegemea kupata mapenzi tu Mara ukifanya hivi utapata mapenzi automatically.

Halafu na kwa comment zako za "kutoshindana na mwanaume ili familia iwe imara" ni kama umeshakubaliana na hali ya mwenzi asiye muamimifu, halafu hapo hapo unaniambia mke akifanya "majukumu" yake ataheshimiwa na kupendwa.

Inawezekana tuna definition tofauti za heshima na upendo.

Kuwa mzazi haindoi hitaji la kuwa na mpenzi. Ndo kwanza itabidi MTU ajitahidi kuplay role zote za mzazi na mpenzi wa MTU.

Hadi watoto wakikua nao watamani kuwa na couple kama baba na mama.

MTU anaye Downplay role ya mpenzi kisa watoto naona kama yalishamchujia kabaki kushikilia hilo alilo nalo tu la mzazi secretly hoping for a better love life.

Of course kila MTU anakuwa na expectations zake kwa mwenzake, na mwenzake asipo deliver inakuwa disappointing na penzi linaweza kuchuja.

Lakini kama mapenzi hamna, watu wabinafsi wasiojiheshimu wala kufanya effort kulirudisha waenda kukitembeza huko, mke unabaki kuwa house keeper, hata sidanganyiki.

Hata sio ndoa hii ni taasisi ya kukuza binadamu wachanga ambao nao watakuja kuadapt na kuendeleza this SAD PATHETIC lifestyle. Yale Yale marriage is a hypocritical institution.

HII HAIAPPLY KWA WATU WASIO NA TATIZO NA UKE WENZA.

People just want to be happy these days.

kama vipi couple ikubali kuwa in an open relatioship au waachane kila mtu atafute furaha yake sio mmoja kumuonea mwenzie (including any form of abuse.)

Na generation zitakazofuata watazoea hii lifestyle.

Children just need love and attention from their HAPPY parents whether living together or not.
 
kabisa. watu we are wired differently. hiyo pamoja na uelewa/imani ya MTU. some people genuinely believe wanafanya ibada wakikaa matesoni!!

waje wafanye utafiti bongo za watu wanaokubali/vumilia mateso na wenye zero tolerance. our brain structures must be different.

Reina princess why your ndugu fight in front of their kids?? hawajui sio vizuri?
Ni wasomi lakini nadhani hawajui madhara ya kugombana mbele ya watoto. Laiti wangejua na wangekuwa wanawajali hao watoto wasingefanya hivyo.
 
Mie ni victim wa hvyo vitu!daah!acha tu!

Nilipenda,niliheshimu,ndugu walinipenda nilijishusha nilipambana!

Nilikua nampa kila anachokitaka kwa muda muafaka!!

Mwisho akaniambia hanihitaji akiulizwa sababu anasema basi tu nimemchoka!hana hata ubaya Ila mie sasa hivi sitaki mke!

Mungu ananiona simsingizii hata angekuepo hapa!

Mwisho nakuja Dar kuuguza narudi nakuta replacement ndani!

Nikageuza kwetu sijarudi tena nmna niliacha kila kitu!

Naanza upyaaa maisha moja kabisa!

Ndoa kwa sasa hapana kwa kweli badoooo!!!

Wacha waoane!
Pole mpenzi..maisha ya ndoa hayana mwenyewe....wanayoyafurahia ni wachache kwa kweli
 
Back
Top Bottom