pilato93
JF-Expert Member
- Jun 28, 2014
- 6,967
- 7,661
Sijakuelewa mkuu?
Sijakuelewa mkuu?
mi naona maisha ya ndoa ni mazuri km mtaishi kwa upendo ila kwa sasa zipo familia hali mbaya yaan baba analala kivyake mama kivyake na hakuna kupika kisa baba hajaacha chakula yani bwai ni bwai na zp familia baba akipata pesa mama anachukua anaweka kapuni ndo maan unakuja wasoweza vumilia wanakunywa sumu wanakufa
Ndo hvyo mkuu,hali ni mbaya.Makofi? Too much
ExactlyKwa utafiti usio rasmi, inaonekana Ndoa changa (miaka 0 hadi 5) ndio zinaongoza kuvunjika..
Hapana kiongozi mimi sio mwenyeketi ila ni muweka hazinaNa sisi ambao mikuyati yetu imeshaingia kwingi tufanyeje mkuu? Halafu wewe utakuwa ni mwenyekiti wa CHAWAPUTA.
Unatisha, kwakuwa akina mama hubeba mimba na kulea basi kwa msimamo huu single mama ndiyo suruhisho. Mtatoa sana mimba na familia hazitawahi kuwepo hapo kesho napita tuKwanza mwenyewe umeprove ulichosema ni uongo. Mwanaume ni wa kwanza kwenye Nini? Ujinga?
Imani, culture, malezi, elimu na utashi wa mtu ndo hum Shape mtu. Unajua mwenyewe ni vipi umekuja kushikilia huo UNANILIU wa mwanaume nafasi ya kwanza.
And I won't take that away from you.
Wala si wanaume wote wana mawazo kama yako, there are billions of men what makes you think wote wako kama wewe??? Si ningekuwa sista!
Jiongelee mwenyewe bro na waafrika wenzio labda.
Sijui unamaanisha Nini unaposema Feminism, watu wana mawazo hasi kupitiliza, kama huyo aliyesema feminism ni kukosea watu heshima, ambayo sijajua anamaanisha Nini.
Na haujajishtukia jinsi ulivyo MTU wa HOVYO? Kwanini hujaandika kupinga wanaume MALAYA?
nimeongelea furaha ya mwanamke umedismiss like nothing!! Kumbe furaha ya mwanamke si kitu?
HUO NDO MFUME DUME.
Ndo unakotaka kuturudisha huko, huko ambako wanawake ni wanyonge??
Huko ndo tunatoka ndomana ndoa kibao CHALI kwasababu ya wanaume WABINAFSI, WASIOJIHESHIMU wala KUJALI FAMILIA zao.
Familia imara ndo inatengenezwa na mwanaume MALAYA na mwanamke asiyefurahia maisha hayo?
Embu nielezee mwanamke anayechepuka anaharibuje familia na mwanaume MALAYA anajengaje?
Kwanza kwenye vitabu vya dini msingi wa talaka ni UZINZI.
na huwa mnashauri waume za wanawake wachepukaji wapige goti kusali na kuvumilia ili familia iwe imara?? AU NDO MUENDELEZO WS MFUMO DUME?
Familia itasimama tu kwani wangapi wanaishi hayo maisha Leo hii huku huku nje tunajua ni wana ndoa?
Mbona wanaume Malaya wa zamani walivumiliwa watu wakaishi tu? .
MBONA NYIE WANAUME HAMTAKI KUPRACTICE SIFA HII YA KIMUNGU YA UVUMILIVU?
Tusidanganyane na UIMARA!! huo uimara unapimwaje? Kama MTU yuko comfortable na umalaya wa mwenzako so be it, lakini sio kuwalazimisha wenzenu/kuwapa guilt conscience waishi hayo maisha kwa kuwadanganya watakuwa na familia imara. kwanza ndo itatuzalishia watoto Malaya kama baba zao.
Overall sikia brother, times have changed. It's all about mutual respect, individual rights, and happiness now. Anything against that is SIN.
Kila MTU atafute tu mwenzi mwenye viwango sawa na mtazamo sawa wa maisha ili mifarakano ipungue.
Mimi kwamfano nisingeweza kuolewa na muafrika, nisingekuwa na furaha KAMWE wala uwezo wa kumfurahisha MTU asiyeelimika kama wewe sina.
embu jiamini bro, mwanaume kujiamnini.Unatisha, kwakuwa akina mama hubeba mimba na kulea basi kwa msimamo huu single mama ndiyo suruhisho. Mtatoa sana mimba na familia hazitawahi kuwepo hapo kesho napita tu
Daaaah too sadBinafsi i don't believe in marriage japo nipo kwenye ndoa ila anytime ntaiacha maana ninayokutana nayo ni makubwa na si swala la uvumilivu no mimi nimevumilia kwa miaka minne unaenda wa tano ila mtu ndo kama anakuona unajipendekeza na huna pa kwenda, nadhani kiburi cha pesa na hulka ya mtu binafsi kuwa na wanawake wengi pia vinachangia ndoa nyingi kuvunjika,mwanamke unaweza ukavumilia na kujaribu kumrekebisha ila mwanaume anakuona km unampanda kichwani na kumfatilia mambo yake so hapo ndo kuna tatizo

Maana yangu ni hii. Usiingie kwenye ndoa kwa kufikiri utapata mapenzi huko tu ila ingia kwasababu unataka kujenga familia bona ukifanya hayo mapenzi yatakuwepo automatically mfano ukifika unafanya majukumu yako yote kwa mume/mke na watoto ili familia iwe bora na nzuri lazima huyo mume na hao watoto watakupenda na kukuheshimulol duh
sasa mapenzi watoe wapi??
au ndo wale una mwenzi wa kulea naye watoto ambaye ndo unaishi naye na mwenzi mwingine huko nje wa kuufurahisha moyo??
Naona kama unacheza na maneno tu. Mara usiingie ukitegemea kupata mapenzi tu Mara ukifanya hivi utapata mapenzi automatically.Maana yangu ni hii. Usiingie kwenye ndoa kwa kufikiri utapata mapenzi huko tu ila ingia kwasababu unataka kujenga familia bona ukifanya hayo mapenzi yatakuwepo automatically mfano ukifika unafanya majukumu yako yote kwa mume/mke na watoto ili familia iwe bora na nzuri lazima huyo mume na hao watoto watakupenda na kukuheshimu
Ni wasomi lakini nadhani hawajui madhara ya kugombana mbele ya watoto. Laiti wangejua na wangekuwa wanawajali hao watoto wasingefanya hivyo.kabisa. watu we are wired differently. hiyo pamoja na uelewa/imani ya MTU. some people genuinely believe wanafanya ibada wakikaa matesoni!!
waje wafanye utafiti bongo za watu wanaokubali/vumilia mateso na wenye zero tolerance. our brain structures must be different.
Reina princess why your ndugu fight in front of their kids?? hawajui sio vizuri?
Pole mpenzi..maisha ya ndoa hayana mwenyewe....wanayoyafurahia ni wachache kwa kweliMie ni victim wa hvyo vitu!daah!acha tu!
Nilipenda,niliheshimu,ndugu walinipenda nilijishusha nilipambana!
Nilikua nampa kila anachokitaka kwa muda muafaka!!
Mwisho akaniambia hanihitaji akiulizwa sababu anasema basi tu nimemchoka!hana hata ubaya Ila mie sasa hivi sitaki mke!
Mungu ananiona simsingizii hata angekuepo hapa!
Mwisho nakuja Dar kuuguza narudi nakuta replacement ndani!
Nikageuza kwetu sijarudi tena nmna niliacha kila kitu!
Naanza upyaaa maisha moja kabisa!
Ndoa kwa sasa hapana kwa kweli badoooo!!!
Wacha waoane!