Majighu2015
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 2,924
- 3,904
Huyo binti ana miaka mingapi?? Miaka 30 sio mchezo. Muache mtoto asome ukitaka mtoto tafuta msichana mwingine
Unaabudu usemi wa 'SHAKE WELL BEFORE USE'?Mambo vipi wadau,
Naomba nielekee moja kwa moja kwenye mada yenyewe. Ni kwamba nimedumu katika uhusiano na mpenzi wangu takribani 3 years. Niseme ukweli katika mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kudumu muda mrefu kiasi hicho, kwahiyo inamaana nilimpenda sana tena zaidi ya sana.
Yeye pia hakuwa nyuma kunionesha upendo wa dhati. Nakiri wazi alinipenda pia sana, japo matatizo madogo madogo katika uhusiano huwa hayakosi. Nasikitika kuanzia leo sitoshiriki nae baadhi ya vitu kama hapo zamani.
Niende kwenye inshu yenyewe ambayo imenifanya nimuache huyu mlimbwende wangu. Ni kwamba mimi katika mahusiano yetu nilikuwa nasisitiza sana juu ya kupata mtoto. Napenda mtoto, napenda niitwe baba.
Ikumbukwe huyu manzi alikuwa anasoma na hapa juzi ndo kamaliza form six na tuliahidiana nimsubiri mpaka amalize six then taratibu za kupata mtoto zianze. Lakini leo hii nimegeukwa, nimekuwa nikimkumbusha juu ya ahadi yetu lakini ananizungusha tu mpaka nilipombana na kutaka kujua iwapo atanizalia au hawezi.
Nasikitika alinijibu kuwa anaogopa sasa hivi kuzaa hivyo nimvumilie eti mpaka amalize chuo. Nimeumia sana, sio siri nilijihsi vibaya sana. Kwanini hakuniambia siku zote kwamba hawezi kunizalia basi nikae najua kuliko kunidanganya hivyo?
Nimemuacha,na maisha yake japo amelia sana juu ya kuvunjika kwa uhusiano wetu lakini siwezi kurudi nyuma tena.
Kwaheri mama kwaheri!
Hahaha nimecheka kama mazuriKwa kichwa chako tu cha uzi wako, umeniboa sana. Umefanya jambo ambalo utajiju... Nenda ukazaliwe huko, vizuri umemuacha na Mungu atambariki ampate anayempenda kwa dhati wavumiliane na wazae watoto wao tena wazuri kuliko utakaozaa wewe kama ukibarikiwa.
mkuu una uhakika kama wewe c tasa?Mambo vipi wadau,
Naomba nielekee moja kwa moja kwenye mada yenyewe. Ni kwamba nimedumu katika uhusiano na mpenzi wangu takribani 3 years. Niseme ukweli katika mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kudumu muda mrefu kiasi hicho, kwahiyo inamaana nilimpenda sana tena zaidi ya sana.
Yeye pia hakuwa nyuma kunionesha upendo wa dhati. Nakiri wazi alinipenda pia sana, japo matatizo madogo madogo katika uhusiano huwa hayakosi. Nasikitika kuanzia leo sitoshiriki nae baadhi ya vitu kama hapo zamani.
Niende kwenye inshu yenyewe ambayo imenifanya nimuache huyu mlimbwende wangu. Ni kwamba mimi katika mahusiano yetu nilikuwa nasisitiza sana juu ya kupata mtoto. Napenda mtoto, napenda niitwe baba.
Ikumbukwe huyu manzi alikuwa anasoma na hapa juzi ndo kamaliza form six na tuliahidiana nimsubiri mpaka amalize six then taratibu za kupata mtoto zianze. Lakini leo hii nimegeukwa, nimekuwa nikimkumbusha juu ya ahadi yetu lakini ananizungusha tu mpaka nilipombana na kutaka kujua iwapo atanizalia au hawezi.
Nasikitika alinijibu kuwa anaogopa sasa hivi kuzaa hivyo nimvumilie eti mpaka amalize chuo. Nimeumia sana, sio siri nilijihsi vibaya sana. Kwanini hakuniambia siku zote kwamba hawezi kunizalia basi nikae najua kuliko kunidanganya hivyo?
Nimemuacha,na maisha yake japo amelia sana juu ya kuvunjika kwa uhusiano wetu lakini siwezi kurudi nyuma tena.
Kwaheri mama kwaheri!
Sa si uoe? Taahira wa kwanza wewe unataka mtoto si uoe? Unataka umzalishe binti wa watu abaki single mother? Unajisifu maisha mazuri yap hata kuandika hujui?Mfanya biashara mkubwa, sili kwetu, sitegemei cha mtu, wazazi wangu Wana uwezo nashukuru mungu kwa kunijaria pesa nikiwa na umri mdogo, kila kitu napata' kwa hilo Namshukuru pia, kitu nilichohitaji Ili kuongeza furaha yangu ni mtoto pekee ,, nawashukuruni wote kwa maneno yenu ya busara na wengne kwa matusi pia asanteni... Kila mmoja anaishi maisha ambayo anaona yanamfaa mwenyewe , Kama wewe ulizaa ukiwa na miaka 40,, ustake na mimi niwe hivyo .... Nawapenda wote
Kwa maelezo yako wewe ndio umeshindwa kumzalisha ukapimeMambo vipi wadau,
Naomba nielekee moja kwa moja kwenye mada yenyewe. Ni kwamba nimedumu katika uhusiano na mpenzi wangu takribani 3 years. Niseme ukweli katika mahusiano yangu yaliyopita sijawahi kudumu muda mrefu kiasi hicho, kwahiyo inamaana nilimpenda sana tena zaidi ya sana.
Yeye pia hakuwa nyuma kunionesha upendo wa dhati. Nakiri wazi alinipenda pia sana, japo matatizo madogo madogo katika uhusiano huwa hayakosi. Nasikitika kuanzia leo sitoshiriki nae baadhi ya vitu kama hapo zamani.
Niende kwenye inshu yenyewe ambayo imenifanya nimuache huyu mlimbwende wangu. Ni kwamba mimi katika mahusiano yetu nilikuwa nasisitiza sana juu ya kupata mtoto. Napenda mtoto, napenda niitwe baba.
Ikumbukwe huyu manzi alikuwa anasoma na hapa juzi ndo kamaliza form six na tuliahidiana nimsubiri mpaka amalize six then taratibu za kupata mtoto zianze. Lakini leo hii nimegeukwa, nimekuwa nikimkumbusha juu ya ahadi yetu lakini ananizungusha tu mpaka nilipombana na kutaka kujua iwapo atanizalia au hawezi.
Nasikitika alinijibu kuwa anaogopa sasa hivi kuzaa hivyo nimvumilie eti mpaka amalize chuo. Nimeumia sana, sio siri nilijihsi vibaya sana. Kwanini hakuniambia siku zote kwamba hawezi kunizalia basi nikae najua kuliko kunidanganya hivyo?
Nimemuacha,na maisha yake japo amelia sana juu ya kuvunjika kwa uhusiano wetu lakini siwezi kurudi nyuma tena.
Kwaheri mama kwaheri!
Tena haswaaaa yaan mwenzie amalize tu akimbilie mimba kwani sio mume mwema why ataki mwenzie asomeKakuweza aiseeee