The solution here is if the allegations are true,just to give the said Kamili the amount of cash she is demanding. This will make Dr Slaa and his Josephine free from this stupid nonsense....!
Kama ni kweli kuna kosa la kiufundi lililofanyika ktk kugawanya hayo matokeo kama mwanzisha thread anavyosema,huo ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa baraza ambao hufanyika kwa mwanafunzi yoyote yule na wala usionekane kuwa ni special kwa kuwa umewagusa waislam kama thread yenyewe inavyoonekana...
Nadhani unaweza kupata picha ya upeo wa viongozi wateuliwa wa JK,...huyo ndo alikuwa DC wa wilaya fulani na utendaji ulikuwa kama hivyo. Hajui mipaka yake wala job descriptions za post yake. Hajui kama yeye na Mnyika ni sawa, tunasubiri Mnyika nae aende kukagua miradi ya serikali na kutoa amri...
du kaaaazi kweli kweli,arusha pia umekatika. alie na mawasiliano na ile mikoa ya kiswahili lindi,mtwara,tanga pwani atujuze maana huko ndo ngome ya magamba sidhani kama wataweza wakatia na kura zote walizowapa. maana wadau niloona wanalala mika giza ni toka arusha,dar,mwanza. pia tunahitaja...
All in all,tunategemea kusikia kitakachojili toka kwako atakaporudi kuripoti hapo police hio saa nane, japo bado kuna mambo mengi tu ya kujiuliza maana kama polisi wanamhoji kujua kuhusu kilichoongelewa kwanye mkutano wa hadhara wakati mpaka mkutano ukafanyika inamaana walitoa kibali na hivyo...
ni mpaka pale itakapothibitika kuwa imeishiwa risasi BUT kama tunachukulia for granted kuwa haina risasi,kwa nini kupanda nayo jukwaani basi. kumbe ni kutishia basi. So suala hapa ni kutishia. THINK BIG MAN.....!
Well done.......! appreciated. nakushukuru sana kamanda Crashwise kwa jinsi unavyotuweka updated. Kwangu mimi hii ndo msg ya kuijibu baada ya kufuatilia mtirirko wa taarifa,zingine zote zipo nje ya "fact in issue". jioni njema na tunakutegemea tena kesho mechi ikianza.
Ukifuatilia kwa makini mtiririko wa taarifa na namna ya uchangiaji humu ndani utagundua kuwa anaeharibu chronological sequence ya thread sio watu kama Ngongo,Faiza Fox ua Ritz. Hao wapo kwa ajili ya ku-divate mind za watu kwa kupost irrelevant topics kama vile kuingiza personal life ya mtu basi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.