NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Hacha hizo waambie wakasome.Kama unazo unazo tu hata kama watatunga mtihani mgumu kiasi gani utafaulu tu.
Habari ambazo nimezipata kutoka katika Chanzo nachokiamini ambacho kina uhusiano na Baraza la Mitihani (NECTA) ni kua ulikuwepo mkakati wa kuwafelisha wanafunzi wa Form six waliofanya somo la ISLAMIC KNOWLEDGE ambao matokeo yao yametoka hivi karibuni lakin mkakati huo UMEKWAMA.
Kukwama huko kwa mkakati huo kunakuja huku matokeo yakiwa yashatoka, na kuna habari kua kwa mara ya kwanza katika historia ya Board, wanafunzi hao wa kiislam watapewa upya matokeo yao badala ya yale ya awali ambayo iligunduliwa "yamechakachuliwa"
Uchakachuaji huo umekuja kwenye somo la "Islamic Knowledge" ambalo kawaida hua Lina "paper" 2.
Kuna tetesi kua Katika usahihishaji wa somo hilo, uchakachuzi umefanyika kwa kujumlisha paper zote mbili lakin "wastani" ukapatikana kwa kuchukua jumla ya alama na "kugawa kwa 3" jambo ambalo limepelekea wastani uwe mdogo kuliko uhalisia.
Hii imekuja baada ya kutopatikana angalau A moja tu.
Simply ukipata 80 na 82 wastani utakuja 81 tu.
But kama jumla (162) inagawanywa kwa 3 badala ya 2 ni wazi kua wastani utashuka kua 54 badala ya 81 (27 less).
Habari ambazo nimezipata kutoka katika Chanzo nachokiamini ambacho kina uhusiano na Baraza la Mitihani (NECTA) ni kua ulikuwepo mkakati wa kuwafelisha wanafunzi wa Form six waliofanya somo la ISLAMIC KNOWLEDGE ambao matokeo yao yametoka hivi karibuni lakin mkakati huo UMEKWAMA.
Kukwama huko kwa mkakati huo kunakuja huku matokeo yakiwa yashatoka, na kuna habari kua kwa mara ya kwanza katika historia ya Board, wanafunzi hao wa kiislam watapewa upya matokeo yao badala ya yale ya awali ambayo iligunduliwa "yamechakachuliwa"
Uchakachuaji huo umekuja kwenye somo la "Islamic Knowledge" ambalo kawaida hua Lina "paper" 2.
Kuna tetesi kua Katika usahihishaji wa somo hilo, uchakachuzi umefanyika kwa kujumlisha paper zote mbili lakin "wastani" ukapatikana kwa kuchukua jumla ya alama na "kugawa kwa 3" jambo ambalo limepelekea wastani uwe mdogo kuliko uhalisia.
Hii imekuja baada ya kutopatikana angalau A moja tu.
Simply ukipata 80 na 82 wastani utakuja 81 tu.
But kama jumla (162) inagawanywa kwa 3 badala ya 2 ni wazi kua wastani utashuka kua 54 badala ya 81 (27 less).
Taahira ni yule anae amini Mungu alikuja Duniani akaendesha mikutano ya hadhara !
Kuna ujinga unaopita wa kununua picha ya mzungu kwa pesa zako kisha ukasema ni Mungu!
Mkuu Ally hapa hujengi, unazidi kubomoa, Acha kabisa hii habari ya kukashifu imani ya mtu maana hata Allah(sw) hapendi. Hata kama umekasirishwa vipi ni bora ukakaa kimya kuliko kuanza kujibu kwa lugha ya kukashifu( Rejea kisa cha Umar(ra) wakati alipotukanwa sana akakaa kimya na mtume (saw) akawa anacheka lakini Umar(ra) alivyoanza tu kujibu, mtume alikasirika sana, kwa sababu tu Umar alishindwa kuzuia hasira zake).Kuna upumbavu unaopita ule wa kuamini Mungu alipigwa ili akusamehe wewe aliyekuumba ! Sasa wale waliompiga wako peponi !?
Kama ni kweli kuna kosa la kiufundi lililofanyika ktk kugawanya hayo matokeo kama mwanzisha thread anavyosema,huo ni utaratibu wa kawaida kabisa kwa baraza ambao hufanyika kwa mwanafunzi yoyote yule na wala usionekane kuwa ni special kwa kuwa umewagusa waislam kama thread yenyewe inavyoonekana kuegemea.. Ingekuwa ni somo la Bible Knowledge kwa upande wa wakristo wala isingekuwa issue maana ni procedure ya kawaida na wahusika wasingepoteza muda kuleta uzi kama huu hapa jukwaani..... tusipende kila kitu kukipeleka kwenye udini....Kwa hiyo udini umeingia NECTA!!!??? aibu kubwa hiii!!!!
Kwa hiyo udini umeingia NECTA!!!??? aibu kubwa hiii!!!!