Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Hiyo kwangu nadhani ndiyo sababu, wanahisi maandalizi ya maandamano ndiyo yameanza. Mjibuni OCD kuwa kibali cha mkutano kilikuwa kinahusu nini mpaka yeye apaniki?Kamanda kaachiwa na kaambiwa arudi saa nane mchane, wanasema mkutano wa jana ulikuwa unahamasisha wananchi kuandamana kupinga amri halali ya mahakama kulipa dowans....
Haki ya mungu ccm wamechanganyikiwa kwa mkutano wa jana wa chadema.