du kaaaazi kweli kweli,arusha pia umekatika. alie na mawasiliano na ile mikoa ya kiswahili lindi,mtwara,tanga pwani atujuze maana huko ndo ngome ya magamba sidhani kama wataweza wakatia na kura zote walizowapa. maana wadau niloona wanalala mika giza ni toka arusha,dar,mwanza. pia tunahitaja verification ya kulipuka kwa hizo transforma