Ni kweli Ila sio Mlipuko Mkubwa ila Moto Unaendelea Taratibu!! Katika Kitondo cha air release Friction imekuwa Kubwa Hadi Moto Ukatokea!! Sijajua Kama Wataweza Kuudhibiti!!
Nilikua pale ubungo kwy mataa wakati transfomer inalipuka ghafula nikawaza unaweza kutokea moto mkubwa sana kutokana na Songas kuwa karibu nilizima gari mikatoka nje nataka nikimbie bahati nzuri traffic akaruhusu gari za upande wetu duh!!
Morogoro pia hakuna umeme nipo maeneo ya forest huku umekatika wakati mechi ya stars inaenda mapumziko baada ya hapo radio zote hazipatikani mpaka sasa hakuna umeme
Moto mkubwa umelipuka katika National Grid Control Centre iliyopo Ubungo jijini Dsm. Moto huo umedhibitiwa na wazima moto wa kampuni binafsi ya Knight Support ambao walikuwa wameweka Base yao maeneo ya karibu. Inasemekana kampuni hiyo haikuwa tayari kuzima moto huo hadi ilipothibitishiwa malipo na TANESCO.
Vikosi vya zimamoto vya jiji kama kawaida vilikuja huku vikiwa vimechelewa sana.
du kaaaazi kweli kweli,arusha pia umekatika. alie na mawasiliano na ile mikoa ya kiswahili lindi,mtwara,tanga pwani atujuze maana huko ndo ngome ya magamba sidhani kama wataweza wakatia na kura zote walizowapa. maana wadau niloona wanalala mika giza ni toka arusha,dar,mwanza. pia tunahitaja verification ya kulipuka kwa hizo transforma
Hata uku Zanzibar umeme umekatika mida iyo ya saa kumi na moja kasoro.
Basi hii inaweza tuchukua masaa mengi tukiwa kizani.
Kama huwa tnakua kizani bila sababu leo je?
Hata hapa kakola umekatika lakini tunamagenerator ya dharula tumeisha washa maisha yanaendelea sasa hivi kama kawa. Poleni wengine kwa sababu huku tumeambiwa itachukua muda mrefu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.