CCM muhurumieni Nape, ameanza kuchanganyikiwa

Bumpkin Billionare

JF-Expert Member
Jan 5, 2012
1,332
621
Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?

Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye ukarabati na utanuzi) pamoja na maafisa kadhaa wa Hospitali hiyo na Magamba wenzake. Kilichonishangaza hapo ni kauli za Nape kwa wale maafisa wa hospitali.

Mara baada ya hotuba za blah blah (kama kawaida ya CCM) Nape alisema (nanukuu) ''....nitaiagiza serikali ikae na kufanyia marekebisho ya hii sheria maana inakwamisha ujenzi wa majengo ya serikali kwa.........''.

Kama haitoshi Nape ambaye mimi nimekuwa nikimfahamu kama kiongozi wa CCM na si Serikali aliongezea "Haya majengo ma3 yaliyokwisha kukamilika yaanze tu kutumika, sioni sababu za kusubiri wakati wananchi wanahitaji kuyatumia......"

Je huyu Nape amekuwa nani kiasi anaweza kuamua yeye majengo ya hospitali yaanze kutumika as if Waziri wa wizara husika na uongozi wa serikali ya Mkoa hauna mamlaka mpaka aje kuamua yeye?

Si kwamba dogo anachanganyikiwa baada ya magamba kumshinda sasa kichwa kinamruka na anapata illusions kuwa yeye ni waziri au mkuu wa mkoa wa Singida?

Imefikia wakati sasa CCM imuonee huruma huyu ndugu yetu. Majukumu waliyompa yamemzidi uwezo kiasi ameanza kuyakimbia na kuingilia kazi za watu wengine absent minded. Poor him, illusions.
 
Kitendo alichokifanya Nape leo yaani utafikiri ni kiongozi wa serikali kama RC au DC kumbe ni mtu wa chama tena upande wa propaganda!!!!

Ndiyo haya ya kumpigia salute mama Salma na kumsomea ripoti kama kiongozi wa nchi!!!!!
 
Foolish Nape Nnauye.. Nimetoka kumchana laivu kule FB, cjambakisha hata kidogo matokeo yake kani'block kweli Nape juha.
 
Kitendo alichokifanya Nape
leo yaani utafikiri ni kiongozi wa serikali kama RC au DC kuwa na mtu wa
chama tena upande wa propaganda!!!!

Ndiyo haya ya kumpigia salute mama Salma na kumsomea ripoti kama
kiongozi wa nchi!!!!!

yeye si mjumbe wa CC ya chama tawala? anaweza kuiagiza serikali ya CCM
 
Ni lazima achanganyikiwe hofu yangu akipitia kahama akakutana uso kwa uso na Fisadi Maige patakua hapatoshi
 
Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?

Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye ukarabati na utanuzi) pamoja na maafisa kadhaa wa Hospitali hiyo na Magamba wenzake. Kilichonishangaza hapo ni kauli za Nape kwa wale maafisa wa hospitali.

Mara baada ya hotuba za blah blah (kama kawaida ya CCM) Nape alisema (nanukuu) ''....nitaiagiza serikali ikae na kufanyia marekebisho ya hii sheria maana inakwamisha ujenzi wa majengo ya serikali kwa.........''.

Kama haitoshi Nape ambaye mimi nimekuwa nikimfahamu kama kiongozi wa CCM na si Serikali aliongezea "Haya majengo ma3 yaliyokwisha kukamilika yaanze tu kutumika, sioni sababu za kusubiri wakati wananchi wanahitaji kuyatumia......"

Je huyu Nape amekuwa nani kiasi anaweza kuamua yeye majengo ya hospitali yaanze kutumika as if Waziri wa wizara husika na uongozi wa serikali ya Mkoa hauna mamlaka mpaka aje kuamua yeye?

Si kwamba dogo anachanganyikiwa baada ya magamba kumshinda sasa kichwa kinamruka na anapata illusions kuwa yeye ni waziri au mkuu wa mkoa wa Singida?

Imefikia wakati sasa CCM imuonee huruma huyu ndugu yetu. Majukumu waliyompa yamemzidi uwezo kiasi ameanza kuyakimbia na kuingilia kazi za watu wengine absent minded. Poor him, illusions.
Nadhani unaweza kupata picha ya upeo wa viongozi wateuliwa wa JK,...huyo ndo alikuwa DC wa wilaya fulani na utendaji ulikuwa kama hivyo. Hajui mipaka yake wala job descriptions za post yake. Hajui kama yeye na Mnyika ni sawa, tunasubiri Mnyika nae aende kukagua miradi ya serikali na kutoa amri kwa viongozi wa serikali. Nadhani siku hio FFU wote wa ukonga watahamia huko. Kaaaaaaazi queli queli....
 
Alitegemea angepata uwaziri sasa yote hyo anataka kumueleza jk wake kuwa hata yeye kazi zingine anaweza siyo kutoa matanganzo ya chama tu.
 
Lakini tusilaumu kauli zake, badala yake tumlaumu aliyemwalika Nape kwenda kukagua hayo majengo? Labda hayo majengo yamejengwa kwa hela ya CCM! Maana kama yamejengwa kwa hela ya serikali, Nape hakustahili kwenda kukagua, anakagua kama nani? Kwa hiyo kama kuna mtu aliamua kumpa kichwa Nape kwamba anaweza kukagua majengo ya serikali, basi ni sahihi pia kwake kutoa tamko. Kwani mlitaka baada ya kukagua aseme nini? Matatizo haya yanaanzia kwa viongozi wetu wa mikoa na kitaifa. Kama mkuu wa mkoa au wilaya aliona Nape ndiyo mtu sahihi wa kwenda kukagua majengo ya Serikali basi tatizo ni kubwa kuliko tunavyolidhania.
 
Mhhh,
Siwashangai sana watu wa aina yako, maana cha kwenu sio chama cha siasa ni kundi la wanaharakati hata Mwenyekiti wenu kakiri kwamba sasa ndo mnafanya juhudi za kukigeuza kuwa chama cha siasa. Ndio maana kutojua kwanini nakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi za CCM kwa umma si jambo linaloshangaza!
Lakini hebu tafakarini hili, kwa muda mrefu hapahapa jf mlipigana vita ya kisaikolojia kuwa ahadi za jk na ilani havitekelezwi na mlikuwa mkiniuliza mie ni kwakiasi gani ahadi zinatekelezwa, sasa leo nafuatilia kuona kasi ya utekelezaji, MNAKURUPUKA BILA AIBU MNABWABWAJA MANENO YA AJABU!!
AMA KWELI NDO TABU YA KUWA WAFUASI WA KUNDI LA WANAHARAKATI BADALA YA CHAMA CHA SIASA!!



QUOTE=Bumpkin Billionare;3977484]Leo katika taarifa ya habari ya ITV ya saa mbili usiku, kwa macho yangu nikiwa mzima sijalewa nimeshuhudia jambo ambalo mpk sasa nimeshindwa kulielewa. Nape anaanza kudata au siasa za Tanzania zinaruhusu hiyo?

Nape anaonekana akiwa katika Hospitali ya Mkoa wa Singida (ambayo iko kwenye ukarabati na utanuzi) pamoja na maafisa kadhaa wa Hospitali hiyo na Magamba wenzake. Kilichonishangaza hapo ni kauli za Nape kwa wale maafisa wa hospitali.

Mara baada ya hotuba za blah blah (kama kawaida ya CCM) Nape alisema (nanukuu) ''....nitaiagiza serikali ikae na kufanyia marekebisho ya hii sheria maana inakwamisha ujenzi wa majengo ya serikali kwa.........''.

Kama haitoshi Nape ambaye mimi nimekuwa nikimfahamu kama kiongozi wa CCM na si Serikali aliongezea "Haya majengo ma3 yaliyokwisha kukamilika yaanze tu kutumika, sioni sababu za kusubiri wakati wananchi wanahitaji kuyatumia......"

Je huyu Nape amekuwa nani kiasi anaweza kuamua yeye majengo ya hospitali yaanze kutumika as if Waziri wa wizara husika na uongozi wa serikali ya Mkoa hauna mamlaka mpaka aje kuamua yeye?

Si kwamba dogo anachanganyikiwa baada ya magamba kumshinda sasa kichwa kinamruka na anapata illusions kuwa yeye ni waziri au mkuu wa mkoa wa Singida?

Imefikia wakati sasa CCM imuonee huruma huyu ndugu yetu. Majukumu waliyompa yamemzidi uwezo kiasi ameanza kuyakimbia na kuingilia kazi za watu wengine absent minded. Poor him, illusions.[/QUOTE]
 
Hata mi nlimuona nikajua ameshakabidhiwa ile nafasi ya mwanri TAMISEMI.nlimshangaa bt sijastaajabu coz cku izi amechizika coz ya cdm
 
haya nape, unaweza kutembelea na kukagua utekelezaji wa ilani, lakini si kuamuru majengo yatumike kabla hayajathibitishwa kutumika. utaua watu wewe
 
huna lolote nape wewe ni sawa na punguanu tu. kama hiki chetu ni cha harakati umesahau kuwa chenu ni cha mauwaji, kichaka cha wezi, uchakachuaji, kilichobobea kuhonga ilimradi kinapata uongozi, chama kinachoididimiza tanzania kuanzia elimu,afya,uchumi na hata taswira yetu nje kuonekana omba omba kila kukicha. ukitaja chama chetu kuwa ni cha harakati basi tuseme tumefanikiwa sana kufungua wananchi macho na sasa japo kidogo wanaona ukweli. propoganda zisizo na mishiko hazina weledi kisiasa zaidi ya kukuweka pabaya na chama chako. hebu tuambie nape since umeingia ccm kuna badiliko chanya kweli? tafakari. elewa kauli zako na unavyotenda kunakufanya uzidi kudharaulika hata kwa wale waliokuwa wanakuona mchapa kazi. nakuambia nape, wanakuwa karibu nawe kwa sasa ni kwa sababu ya hicho cheo kini kaka huna lolote mbele ya watanzania. tunaumizwa sana na kauli zako za kitoto kana vile watanzania hawaoni wala hawana ubongo wa kufikiri. na ukitoa mada yoyote jua humu jf kuna visima vya knowledge kuliko unavyofikiri.
Ushauri wangu kwako ni kuwa kaa chini ujipange kwa kuwa umeshafeli uitikadi na una mda mgumu ujao kwa indicators za wapinzani ndani ya ccm na vyama vingine. Blabla ili mradi umeshasema au umeshafika vitakuwa na tija kwako? Hapana think twice,take action.
 
Bora kuwa na wanaharakati wanaojari na kutetea maslahi ya wanyonge kuliko chama cha siasa kinachopuuza wanyonge na kukumbatia mafisadi
 
Mhhh, Siwashangai sana watu wa aina yako, maana cha kwenu sio chama cha siasa ni kundi la wanaharakati hata Mwenyekiti wenu kakiri kwamba sasa ndo mnafanya juhudi za kukigeuza kuwa chama cha siasa. Ndio maana kutojua kwanini nakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi za CCM kwa umma si jambo linaloshangaza! Lakini hebu tafakarini hili, kwa muda mrefu hapahapa jf mlipigana vita ya kisaikolojia kuwa ahadi za jk na ilani havitekelezwi na mlikuwa mkiniuliza mie ni kwakiasi gani ahadi zinatekelezwa, sasa leo nafuatilia kuona kasi ya utekelezaji, MNAKURUPUKA BILA AIBU MNABWABWAJA MANENO YA AJABU!! AMA KWELI NDO TABU YA KUWA WAFUASI WA KUNDI LA WANAHARAKATI BADALA YA CHAMA CHA SIASA!!
unafuatilia kama nani serikalini, we kazi yako kubwa uliyopewa ni kupuliza vuvuzela huko kwenye kambi yenu ya majangili, si kukagua miradi iliyotekelezwa kwa kodi za wananchi
 
Kama kawaida siasa nyingi na kukimbia mambo ya msingi.Nape hajajibu swali la msingi, yeye ni nani mpaka aamuru majengo yaanze kutumika? Hivi nchi haina taratibu na mipaka?
 
Mhhh,
Siwashangai sana watu wa aina yako, maana cha kwenu sio chama cha siasa ni kundi la wanaharakati hata Mwenyekiti wenu kakiri kwamba sasa ndo mnafanya juhudi za kukigeuza kuwa chama cha siasa. Ndio maana kutojua kwanini nakagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na ahadi za CCM kwa umma si jambo linaloshangaza!
Lakini hebu tafakarini hili, kwa muda mrefu hapahapa jf mlipigana vita ya kisaikolojia kuwa ahadi za jk na ilani havitekelezwi na mlikuwa mkiniuliza mie ni kwakiasi gani ahadi zinatekelezwa, sasa leo nafuatilia kuona kasi ya utekelezaji, MNAKURUPUKA BILA AIBU MNABWABWAJA MANENO YA AJABU!!
AMA KWELI NDO TABU YA KUWA WAFUASI WA KUNDI LA WANAHARAKATI BADALA YA CHAMA CHA SIASA!!
Si kila jambo unaloulizwa lazima uihusishe CDM ku-justify jibu, jibu linatakiwa lijitegemee, inaonekana uko obsessed sana na Chadema. Ulitakiwa ujibu swali la msingi la mleta hoja kuwa ulikagua kama nani, kama unadai ni kupata taarifa za utekelezaji wa ilani ungeweza kuzipata kwa DC au RC au Mkurugenzi wa Halmashauri. Njia uliyotumia si sahihi kwa kiongozi wa ngazi yako ya kisiasa kukagua utekelezaji.
 
Nape was ryt kutembelea na kukagua hayo majengo maana si ndio ilani na ahadi ya chama kwenye uchaguzi, hii mi naona ni jambo zuri maana badala ya kuanza kupiga propaganda za ubaguzi na uongoz kwa vyama vingine yy ameenda kukagua ilani ya chama lao CCM na maana chao lao CCM ndo lenye mamlaka na ndio liloiweka hii serkali na hata kwenye uchaguzi ss hatutaigusa serkali bali tutaiuliza CCM maana ss ndio wenye dhamana nayo na sio serkali,
Pia kuhus Nape kuagiza hapo amekosea kwani huko ni kuingilia madaraka ambayo sio yake, pia nape UNAPOSEMA tunabwabwaja ujue kwamba unakiponda chama CDM ambacho 2015 ndo kitashika dola so ni vyema ujiandae kuwa mpinzani.
 
yeye si mjumbe wa CC ya chama tawala? anaweza kuiagiza serikali ya CCM

Zama za chama kushika hatamu hazipo tena kwenye siasa za sasa za Tanzania, maagizo anayotoa ni batili kwanza akaangalie wajibu wa wadhifa wake aone kama anahusika na masuala hayo, wapo watendaji ambao ndio wahusika wakuu na mambo yakiharibika ndio wanaopaswa kulaumiwa sasa yeye kimbelembele cha nini? analewa sifa huyu binadamu au labda hajui majukumu yake.
 
Wakubwa!....Nape ajajibu hoja,...atuambie matamko yale aliyokua anaagiza alikua anaagiza kama nani?.,acha upuuzi pesa za walipa kodi wa vyama mchanganyiko unakwenda kukagua wewe kama nani?posho ya safari imetoa wapi?au ndio yaleyale kama ya Self,tena ulivyo wa ajabu eti unaagiza wewe ni nani serikalini hadi uje uagize,hatukujua tu tungekupiga mawe ndo ungejua
 
Back
Top Bottom