NAPE: Watu wameshindwa kujitokeza kupiga kura wakiohofia kumwagiwa Tindikali

Nepi Naunye sijui ni kijana wa aina gani ambaye hawezi ku-sympathize na matatizo ya wananchi wa kawaida wa Tanzania na badala yake amekuwa akisupport kila upupu wa magamba na majangili hawa CCM!
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI

kama babe = baby; basi Nape = Nepi
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI

Moja ya hotuba za Baba wa Taifa Mwl Julius K.Nyerere alisema....."Moja ya umaskini mbaya na ambao unakula bara la afrika ni umaskini wa mawazo" Kama ni kweli Nape kasema hayo uliyosema,ana umaskini mkubwa sana wa mawazo,na zaidi sana uwezo wa kufikiri.Lakini pia hili ni tatizo kwa viongozi wengi wa CCM.Tazama kauli za watu kama Lusinde(Mbunge wa Mtera) nk.Ni dalili tosha kuwa kuna tatizo kubwa sana la umaskini wa mawazo kwa watu wa CCM.

Suluhisho:
Ni kumpuuza maana unapobishana au kufanya argument na mtu ambaye ana umaskini wa mawazo kuna hatari na wewe kuonekana kuwa ni maskini wa mawazo.
 
akili za nepi ziko kwenye makalio yake..kama safari hii watu hawakujitokeza kwa sababu waliogopa kumwangiwa tindikali je nini ilikuwa sababu ya watanzania kutojitokeza kupiga kura oktoba 2011..
 
akili za nepi ziko kwenye makalio yake..kama safari hii watu hawakujitokeza kwa sababu waliogopa kumwangiwa tindikali je nini ilikuwa sababu ya watanzania kutojitokeza kupiga kura oktoba 2011..

mtu(Nepi) anayefikiri kwa kutumia masaburi hawezi hesabu za uwiano, unaumiza akili yako bure kamanda.
 
Hivi CCM kweli wamekosa viongozi?

Mbona huyu bwana mdogo ni mzito sana wa kufanya tathmini ya mambo? Hivi walipo kuwa wananunua shahada walitegemea nini? kwamba idadi ya wapiga kura ibaki ileile?

Pili hivi walipo watuma NEC waongeze wapiga kura hewa ktk daftari la kudumu la wapiga kura walitegemea nini? maana hadi leo NEC haina kumbukumbu sahihi za waliojiandikisha kupiga kura mara watu mil 21 mara mil 19 kama NEC hawajui idadi kamili tutaamini vipi kama wapiga kura igunga walipaswa kuwa 170,000? NAPE atwambie kutoka moyoni mwake hivi uchaguzi mkuu wa oct 2010 walipojitokeza wapiga kura 49% ya waliojiandikisha (ina maana 51% hawakupiga kura) Napo wapiga kura walikuwa wanaogopa kumwagiwa tindikali ?

KWELI CCM KAZI IPO, MMEMTOA TAMBWE HIZA MMEINGIZA NAPE kweli kitengo cha propaganda bado kinatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na wakoloni dhidi TANU (NAPE amka dunia imebadilika badilini mbinu, kumekucha ndugu)
 
Nape amesahau, tusubiri tu kama hajaanza kuomba na kusema vijana wenzangu niliwakosea nini? Tunajua huu uchaguzi wa Igunga utampa kichwa, kiburi sana. Akumbuke anapambana na vichwa vilivyoenda shule.
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI

Kikwete/Shamsi vuai Nahodha/Chagonja wote hawa walichimba biti Kali na kweli Serikali+polisi wote walihamia huko.Nape ameamua tu kuuza sura na yeye aonekane anezungumza jambo japo mara nyingi huwa hafanani na maneno anayoyazungumza
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI

Kikwete/Shamsi vuai Nahodha/Chagonja wote hawa walichimba biti Kali na kweli Serikali+polisi wote walihamia huko.Nape ameamua tu kuuza sura na yeye aonekane anezungumza jambo japo mara nyingi huwa hafanani na maneno anayoyazungumza.Tunamsubiri aje alete umbea Arusha ktk uchaguzi Wa madiwani.
 
Katibu wa Itikatdi na Uenezi wa CCM.
Nape, kaongea kwenye taarifa ya habari TBC1, anasema sababu iliofanya watu wachache kujitokeza kupiga kura kwenye jimbo la Igunga, watu walihofiwa kumwagiwa Tindikali.

SOURCE: TBC1 HABARI
Hivi hata mtoto wa primary akiulizwa ni kipi kati ya tindikali au bastola ya Mh Rage kinachoweza kutishia raia mnadhani jibu ni nini?
 
Mnamjadi Nape ?
Kweli nyie mnapoteza mwelekeo .Yaani Nape mnamtolea comments huyu mpuuzi ?
 
pls pls moderator naomba uwaondeolee ban baadhi ya wadau hapa kwa muda walau kwa thread hii tu watukane watakavyo tuone kama wana matusi mapya kabisa, pls nakuomba ukubali ombi langu....
nape jirekebishe, unakera sana...unapoteza ile sifa ya kuwa leadership material..sio kila kitu cha kihuni ukijibu kihuni...vingine mezea vingine jibu kwa busara. Halafu ukiambiwa hoja jibu kwa hoja. Sio kila kitu unajibu kwa kuanza na statement ya "mbona chadema hivi, mbona chadema vile...." elewa kuwa sio kila wanachofanya chadema ni kizuri na sio kila wanachofanya chadema ni kibaya...jiheshimu ndugu..cheo kikubwa hicho!!!!
 
Jibu ni tindikali, unajua bastola inaweza kuwa imeishiwa risasi
ni mpaka pale itakapothibitika kuwa imeishiwa risasi BUT kama tunachukulia for granted kuwa haina risasi,kwa nini kupanda nayo jukwaani basi. kumbe ni kutishia basi. So suala hapa ni kutishia. THINK BIG MAN.....!
 
Hivi CCM kweli wamekosa viongozi?

Mbona huyu bwana mdogo ni mzito sana wa kufanya tathmini ya mambo? Hivi walipo kuwa wananunua shahada walitegemea nini? kwamba idadi ya wapiga kura ibaki ileile?

Pili hivi walipo watuma NEC waongeze wapiga kura hewa ktk daftari la kudumu la wapiga kura walitegemea nini? maana hadi leo NEC haina kumbukumbu sahihi za waliojiandikisha kupiga kura mara watu mil 21 mara mil 19 kama NEC hawajui idadi kamili tutaamini vipi kama wapiga kura igunga walipaswa kuwa 170,000? NAPE atwambie kutoka moyoni mwake hivi uchaguzi mkuu wa oct 2010 walipojitokeza wapiga kura 49% ya waliojiandikisha (ina maana 51% hawakupiga kura) Napo wapiga kura walikuwa wanaogopa kumwagiwa tindikali ?

KWELI CCM KAZI IPO, MMEMTOA TAMBWE HIZA MMEINGIZA NAPE kweli kitengo cha propaganda bado kinatumia mbinu zilizokuwa zinatumiwa na wakoloni dhidi TANU (NAPE amka dunia imebadilika badilini mbinu, kumekucha ndugu)
Naloli,
SIKU MKITUSUMBUA KWENYE UCHAGUZI TUTABADILI MBINU, LAKINI KWA STYLE HII YA KUTAMBAA WAKATI WENZENU TWAKIMBIA HII INAWATOSHA, GOLI LINALOUMA NI LILE UNALOFUNGWA MOJA BILA AU MBILI MOJA NA SIO KUMI KWA TATU
 
nape jirekebishe, unakera sana...unapoteza ile sifa ya kuwa leadership material..sio kila kitu cha kihuni ukijibu kihuni...vingine mezea vingine jibu kwa busara. Halafu ukiambiwa hoja jibu kwa hoja. Sio kila kitu unajibu kwa kuanza na statement ya "mbona chadema hivi, mbona chadema vile...." elewa kuwa sio kila wanachofanya chadema ni kizuri na sio kila wanachofanya chadema ni kibaya...jiheshimu ndugu..cheo kikubwa hicho!!!!

Mchakamchaka,
Nakushukuru sana kwa ushauri wako, lakini ungewashauri pia wanaojibu hapa tujadili hoja sasa kama wanageuza jukwaa the commedy, eneo la kutukana tu... Tulikimbie jukwaa? Hapana sie ndo waanzilishi humu hAtutoki ila tutajibu kwa uwezo na jinsi ya akili unaye mjibu,,!!!!
 
Naloli,
SIKU MKITUSUMBUA KWENYE UCHAGUZI TUTABADILI MBINU, LAKINI KWA STYLE HII YA KUTAMBAA WAKATI WENZENU TWAKIMBIA HII INAWATOSHA, GOLI LINALOUMA NI LILE UNALOFUNGWA MOJA BILA AU MBILI MOJA NA SIO KUMI KWA TATU

NAPE atwambie kutoka moyoni mwake hivi uchaguzi mkuu wa oct 2010 walipojitokeza wapiga kura 49% ya waliojiandikisha (ina maana 51% hawakupiga kura) Napo wapiga kura walikuwa wanaogopa kumwagiwa tindikali ?
Nape hujajibu hii statement! umeona tatizo lako eee?
 
Back
Top Bottom