Sungurampole
JF-Expert Member
- Nov 17, 2007
- 984
- 205
Kwa siku za karibuni nimewasikia mkiwatangazia wateja wenu kuwa wakiongeza salio kwa M Pesa wanapata nyongeza ya 25% lakini kila nikiongeza sijaona hiyo nyongeza. Hii ikoje?
Kwa siku za karibuni nimewasikia mkiwatangazia wateja wenu kuwa wakiongeza salio kwa M Pesa wanapata nyongeza ya 25% lakini kila nikiongeza sijaona hiyo nyongeza. Hii ikoje?
Kwa siku za karibuni nimewasikia mkiwatangazia wateja wenu kuwa wakiongeza salio kwa M Pesa wanapata nyongeza ya 25% lakini kila nikiongeza sijaona hiyo nyongeza. Hii ikoje?
Kwa siku za karibuni nimewasikia mkiwatangazia wateja wenu kuwa wakiongeza salio kwa M Pesa wanapata nyongeza ya 25% lakini kila nikiongeza sijaona hiyo nyongeza. Hii ikoje?
Kwa siku za karibuni nimewasikia mkiwatangazia wateja wenu kuwa wakiongeza salio kwa M Pesa wanapata nyongeza ya 25% lakini kila nikiongeza sijaona hiyo nyongeza. Hii ikoje?
Mbona wanakuongezea asilimia 25 ya salio lile ulilonunua?sema ulichokuwa hujui ni jinsi ya kuangalia hilo salio,huwa hawaliongezi kwenye salio lile la kawaida.kuangalia salio la bonus unapiga *102* 01#na utaona salio lako.
Mbona wanakuongezea asilimia 25 ya salio lile ulilonunua?sema ulichokuwa hujui ni jinsi ya kuangalia hilo salio,huwa hawaliongezi kwenye salio lile la kawaida.kuangalia salio la bonus unapiga *102* 01#na utaona salio lako.
Nashukuru kwa maujanja ni kweli tatizo ilikuwa nategemea liingie kama sehemu ya salio la kawaida - Big up jf hatuishi kujifunza humu