Mkuu hapo ukiona manyoya ujue mnyama kaliwa hakuna kazi hapo hiuyo kasharubiuniwa na tusent twa rushwa wanatopata hao ma LO cha msingi mchunguze ama la nicheki pm nikupe software ya kunasa mawasiliano yake ili ujue tu moja mkuu.otherwise pole sana
Kazi kweli yani kwanza wametupa aibu ya mwaka hawa wagambo kwa watalii maana mara zote watalii ni mabalozi wakubwa sana kwa wenzao wakirudi.kulikuwa hakuna haja ya kutumia nguvu kwa jambo jepesi linaloongeleka kama hilo.watalii wana nafasi ya kuwashtaki kwa yafuatayo.1.kudhalilishwa.2.kupotezewa...
Kenyata hajui alifanyalo kwa mustakabari wa taifa lake yy hasa anaangalia upepo wa kunufaika kiuchumi kasahau kwamba anaweza kuijenga kenya kwa kupitia rwanda na uganda lakini anaweza ibomoa kenya kwa kasi ambayo hataiamini hao jamaa wakishaanza onesha makucha yao ajifunze kwa rwanda alivyokuwa...
Duuu kwaiyo kimsingi hapa mbowe anakubali kwamba alipewa hela tena na wale ambao cdm wanawaitwa mafisadi kama akina rostam.hapa kuna mengi yamejificha na kuna mchezo mchafu sana.bora niwe na chama changu ccm chama kilicho nielea nimesoma ktk utawala wake na kupata kazi hawa wengine ni wanafiki...
kweli mkuu hawa mwisho wa siku wapende wasipende watakuja tu maana kimsing hawatajitosheleza kiuchumi ngoja watakapokuja kununua malighafi kweli bei juu cha msingi tukazanie mapinduzi ya kilimo tu na viwanda vya ndan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.