mi natafuta kodi ya nyumba na hela ya umeme. mtu anaposafiri si anapokelewa mabegi tu sasa tukienda wote tutafanya nini. tusubiri mh. kikwete afike ahutubie taifa kuhusu uamuzi kwa manufaa ya watanzania
both are os. But i just want to know which one has been proven wealthy to the final user. my worry is that may be they want to switch to tizen basing on the market conflicts between them though technically it wont favour the customers
Mi mwenyewe nimemaliza miaka hiyo sijawahi tafuta ajira ila nimejitafutia ajira. Halafu huu mfumo wa elimu ya kibongo unafanya watu wategemee kuajiriwa tu si kujitengenezea ajira. Halafu hata tunaposoma angalia kitu ambacho kitakufanya ufit kuajiriwa au kujiajiri si kusoma kwa kukariri eti flani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.