Bintiwangara
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 551
- 287
mh,kusema kweli sijawahi kukorofishana na mpenz wangu kiasi cha kufikia hapo,,huwa tunakorofishana sekunde,,harafu sekunde tunapatana,,na huwa inatokea haturuhusu usiku mzima upite bila kupatana na kusamehehana