Pambana kaka .....maisha ni mapambano
Kingine take risks ....jaribu kufanya jambo jipya linajitokeza mbele yako
Grab any opportunity you come across ... Ukijituma utafika mbili Sana ..... Usikate tamaa ....you were not born to quit ..... Usife moyo .
NAOMBA MLETA HABARI REKEBISHA HABARI YAKO PAMOJA NA KICHWA CHA HABARI.
BANGALORE HUKO NDIKO CHUI ALIINGIA KWENYE SHULE YA PRIMARY YA WATOTO ASUBUHI MAPEMA KABLA WANAFUNZI HAWAJAWASIRI .....HUU MJI UNAPAKA NA MSITU WA WANYAMA
BANGALURU NI MJI MWINGINE OUT OF TOWN NDIKO MWANAFUNZI ALIPIGWA WA...
Kifungoni ulijingiza mwenyewe tafuta namna ya kutoka.
Hivi sikuhizi watu wanashindwa kufanya maamuzi madogo madogo IPO siku utaingia chooni kujisaidia utaomba ushauri wa kuchamba vipi.
Swali lako limenikumbusha mbali Sana.
Jmaa yangu enzi hizo alikuwa na mpenzi wake akamcheat jamaa alikuwa na watoto wawili umri under 8 na mkewe hawajapishana age Sana ni mwaka tu dem akajakuchepuka wakaachana baba abakabakia na watoto akaja kukutana na mdada age 24 na yeye akiwa 45.
Wakawa...
Inavyosemekana wanakuwa na kitu cha ziada wanachokipenda tofauti na pombe .......sio wote ila kwa ndugu yangu mm hanywi ila anapenda Sana big G anakwambia zinamtoa stress akianza kutafuna ni buruguntu mpaka utashangaa.
Unene unazeesha hapo umenena ..... Unaweza kuta kibonge ukafikiri kimama kumbe miaka kumi na nane ...umemkute mwembamba ukafikiri miaka kumi na nane kumbe 20 something ....hiyo ndo raha yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.