Recent content by Marquee

  1. M

    Nina Ekari 30, maji yapo, naomba ushauri nifanye nini nitoke?

    Lima matikiti mkuu yanalipa Sana ......tena watu wananunua maeneo huko mkuranga wengi wanalima matikiti
  2. M

    Nimemrudisha mke na mtoto ukweni baada ya kukosa kazi kwa miezi 3

    Pambana kaka .....maisha ni mapambano Kingine take risks ....jaribu kufanya jambo jipya linajitokeza mbele yako Grab any opportunity you come across ... Ukijituma utafika mbili Sana ..... Usikate tamaa ....you were not born to quit ..... Usife moyo .
  3. M

    Chui avamia shule katika jiji alilodhalilishwa mwanafunzi mtanzania nchini India

    NAOMBA MLETA HABARI REKEBISHA HABARI YAKO PAMOJA NA KICHWA CHA HABARI. BANGALORE HUKO NDIKO CHUI ALIINGIA KWENYE SHULE YA PRIMARY YA WATOTO ASUBUHI MAPEMA KABLA WANAFUNZI HAWAJAWASIRI .....HUU MJI UNAPAKA NA MSITU WA WANYAMA BANGALURU NI MJI MWINGINE OUT OF TOWN NDIKO MWANAFUNZI ALIPIGWA WA...
  4. M

    Sina raha na dunia hii tena

    Kifungoni ulijingiza mwenyewe tafuta namna ya kutoka. Hivi sikuhizi watu wanashindwa kufanya maamuzi madogo madogo IPO siku utaingia chooni kujisaidia utaomba ushauri wa kuchamba vipi.
  5. M

    Msichana wa ndani (Housegirl) anatafutwa

    Nikihitaji binti unansaidiaje?
  6. M

    Onyo!

    Hahahaha hii kweli kabisa ishanitokea Mara kadhaa alafu kukitumia inakuwa burudani kumbe unaharibu mambo.
  7. M

    Combination ipi inafit kwenye mahusiano?

    Swali lako limenikumbusha mbali Sana. Jmaa yangu enzi hizo alikuwa na mpenzi wake akamcheat jamaa alikuwa na watoto wawili umri under 8 na mkewe hawajapishana age Sana ni mwaka tu dem akajakuchepuka wakaachana baba abakabakia na watoto akaja kukutana na mdada age 24 na yeye akiwa 45. Wakawa...
  8. M

    Msichana wa ndani (Housegirl) anatafutwa

    Kweli au magumashi maana hizi deals zimekuwa nyingi sikuhizi na za kisanii unatoa pesa anasepa nayo
  9. M

    Wanaume ambao hawatumii pombe

    Inavyosemekana wanakuwa na kitu cha ziada wanachokipenda tofauti na pombe .......sio wote ila kwa ndugu yangu mm hanywi ila anapenda Sana big G anakwambia zinamtoa stress akianza kutafuna ni buruguntu mpaka utashangaa.
  10. M

    Mke mzuri lakini, Ungekuwa ni wewe ungefanyaje!?

    Muwasho muwasho muwasho muwasho muwasho...
  11. M

    Cheka kiduuchu, ili utoe uchovu

    Babu lazima alikuwa na macho mekundu hahaha
  12. M

    Kutoka mke mtarajiwa hadi mchepuko

    Kuonyesha kwamba na wewe unafikisha kileleni au????? FYI huyo mwanamke kilaza na wewe kilaza ........hilo nalo La kushauriwa .....mwanaume anachukua hatua na kutafuta jawabu mwenyewe....wakiume ndo waomba ushauri.
  13. M

    Tofauti 10 kati ya wanawake wanene na vimbaumbau hizi hapa

    Unene unazeesha hapo umenena ..... Unaweza kuta kibonge ukafikiri kimama kumbe miaka kumi na nane ...umemkute mwembamba ukafikiri miaka kumi na nane kumbe 20 something ....hiyo ndo raha yake
  14. M

    What quote changed your approach to life or opened your mind?

    When writing the story of your life ,Never let anyone else hold your pen.
Back
Top Bottom