Niko mbeya apa, dakika 5zilizopita police wamepita na gari zao nying na silaha za Moto ni shida, ni. Nimeshindwa kuchukua video..... Lkn ntakuwa nawajuza kila linaloendelea
Kinachoshangaza zaidi kwa wabongo, utakuta mtu hapendi vitu vinavyopostiwa na huyo lkn bado amemfollow ko kazi yake nikutukana matusi kweny post za huyo mtu, kuna siku nilijikuta kweny page ya huyu jamaa baada ya kuona young killer kapostiwa, sa kuna ukipress instagram zinakuja picha nying sana...
Jamaa alikujaga NIT pale na hizo ndio zilikuwa tips za mafanikio yake, nilinotice kwamba watu waliofanikiwa ni wahongo sana.... Af wengi wanesaidiwa na wazazi wao kama huyu, ukimsikiliza vzr hizo tips zake hata haziaapply kitaa
Ya kutopata kombat mpya sio utani, ni kweli kqbisa jamaa toka aingie hawajapewa..... Mwenyew niliambiwa na jamaa yupo airwing ukonga pale...... Ko inawezekana kabisa nao wakaandamana
Kama manala kasomea public relations basi hakuna hata siku moja kafanya inavyotakikna zaidi ya kuitia doa hii proffession ila ukifwaata kama inavyotakiwa ni lazima itakuwa kama ulaya...... Kama jmaa akivyikwambia branding na sio anavuofanya bwana manala
Njoo nit coz ya markerting ipo full package,utasoma na public relation pia ambayo itakusaidia both side yan markerting na public relation unlike vyuo vingine vinatoa markerting na madude fulan ambayo hayakupi full package ya marketing, mie ngazi ya degree pale... Karibu sana marketing bonge la...
Bado ni brand kubwa mchele wakyela, mbolea inatumika kote hata huko kamsamba.... Sema kiasi cha matumizi ndio hutofautiana..... Hata pale kyela kuna mbuga ambazo hazionji mbolea na hizo ndo hutoa mpunga mzuri, na kuna mbuga lazima utumie mbolea lama tenende, na ibungu, lkn the rest kama ngonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.