Recent content by marigy

  1. marigy

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Piga mahesabu
  2. marigy

    Jeshi la Polisi Mkoa wa Kilimanjaro lafanya mazoezi ya kujiweka sawa na ukakamavu

    Niko mbeya apa, dakika 5zilizopita police wamepita na gari zao nying na silaha za Moto ni shida, ni. Nimeshindwa kuchukua video..... Lkn ntakuwa nawajuza kila linaloendelea
  3. marigy

    Huyu mtu anayejiita James Delicious hastahili kuwepo uraiani. Jeshi la Polisi mkamateni

    Ipo hivyo, ukijalib kumfollow mtu, kaandika muuza **** basi utaletewa wa aina hiyo kibao..... Kwa hiyo tujaribu kufollow mambo ya msingi jaman
  4. marigy

    Huyu mtu anayejiita James Delicious hastahili kuwepo uraiani. Jeshi la Polisi mkamateni

    Kinachoshangaza zaidi kwa wabongo, utakuta mtu hapendi vitu vinavyopostiwa na huyo lkn bado amemfollow ko kazi yake nikutukana matusi kweny post za huyo mtu, kuna siku nilijikuta kweny page ya huyu jamaa baada ya kuona young killer kapostiwa, sa kuna ukipress instagram zinakuja picha nying sana...
  5. marigy

    Benjamin Fernandes Ni nani?

    Tips zake za mafanikio ET ndio hizo
  6. marigy

    Benjamin Fernandes Ni nani?

    Jamaa alikujaga NIT pale na hizo ndio zilikuwa tips za mafanikio yake, nilinotice kwamba watu waliofanikiwa ni wahongo sana.... Af wengi wanesaidiwa na wazazi wao kama huyu, ukimsikiliza vzr hizo tips zake hata haziaapply kitaa
  7. marigy

    Tetesi: Watumishi waliostaafu tangu 2016 hawajalipwa mafao yao na wanaisoma namba

    My mama toka mwaka jana mwezi wa 6 mpaka leo kimyaaaaaaaa..... Huyu magu gavamenti yake ni wasegeeeee
  8. marigy

    US, UK and France launch airstrikes in Syria

    Ya kutopata kombat mpya sio utani, ni kweli kqbisa jamaa toka aingie hawajapewa..... Mwenyew niliambiwa na jamaa yupo airwing ukonga pale...... Ko inawezekana kabisa nao wakaandamana
  9. marigy

    Wanawake wazuri wote hawa wametuzunguka. Unaamua kuwa Mende? Una tatizo gani?

    Yysjufdud5trdhht5ttf:ffguff ď[emoji12] [emoji23] [emoji20] [emoji23] [emoji20] [emoji20]
  10. marigy

    Bae niongezee hela ninunue S9+

    Mkuu regression na correlation sinahusika VIP? Au mhusika kashapata huo mlinganyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
  11. marigy

    Ukweli kuhusu kustaafu Askofu Pengo, Ashauriwa akaishi Mtoni Kijichi katika uzee wake

    Mkuu ina maana yeye yupo tu kama auxiliary verb is, be, are ambazo hazina maana mpaka ziwekwe na main verb milele? [emoji16][emoji16]
  12. marigy

    Diamond Platinumz kweli hana uadui na Kiba Square

    Kwenye dstv wapo mkuu?
  13. marigy

    Haji Manara atokwa na povu baada ya kulipuliwa na Abdi Banda

    Kama manala kasomea public relations basi hakuna hata siku moja kafanya inavyotakikna zaidi ya kuitia doa hii proffession ila ukifwaata kama inavyotakiwa ni lazima itakuwa kama ulaya...... Kama jmaa akivyikwambia branding na sio anavuofanya bwana manala
  14. marigy

    Karibu Chuo cha Taifa cha Usafirishaji, Mabibo

    Njoo nit coz ya markerting ipo full package,utasoma na public relation pia ambayo itakusaidia both side yan markerting na public relation unlike vyuo vingine vinatoa markerting na madude fulan ambayo hayakupi full package ya marketing, mie ngazi ya degree pale... Karibu sana marketing bonge la...
  15. marigy

    Hii ya mchele wa Mbeya ni kali

    Bado ni brand kubwa mchele wakyela, mbolea inatumika kote hata huko kamsamba.... Sema kiasi cha matumizi ndio hutofautiana..... Hata pale kyela kuna mbuga ambazo hazionji mbolea na hizo ndo hutoa mpunga mzuri, na kuna mbuga lazima utumie mbolea lama tenende, na ibungu, lkn the rest kama ngonga...
Back
Top Bottom