AiseeJana nilizungumzia kuwa roho mtaka mali katutawala na hatuna akili mtugonge mpk tuchanike sababu ni hatuna akili ukajitia kushangaa
Yamekukuta leo!!!
Endelea kumgonga halafu mdampo akili imsogee au mfundishe wewe unataka aweje
Bado unashangaa!!! Endelea kushangaa ndo maana umegeuzwa dangaAisee
Mkuu, sasa kama hana unatakaa akaibe? Times have changed, maisha nayo yamebadilika. Inawezekana ukaona ana huo mtaji wa kuongezea, lakini labda ana majukumu mengi ambayo wewe huyajui(depending on the nature of your relationship).Ila wanaume jamani mie naona akili zenu hazitaki tu kuombwa hela
Mbona mimi nimeomba ya kuongezea mtaji naambiwa pambana na hali yako?
Binafsi kwanza nimefurahi sana.Huyo kweli hafai kabisa. We emdelea kum drill mpaka akili yake ikae sawa.
"OFF TOPIC" Una maoni gani juu ya game ya jana. Kuna jamaa (chuki binafsi) zinasema tumebebwa.
Man wewe ndio mwenye pesa wewe ndio mwenye maamuzi. Mpe option mbili 1 - akubaliane na usbauri wako or 2- hamtafika mbali kwa tabia yake hiyo kama ataendelea nayo.Mkuu huyu mtu anajua misimamo yangu, anajua ninavyosimamia matumizi na kupinga anasa za kijinga lakini still kaweza kuja kunipa hii biashara napata wapi nguvu za kumpa somo?!
Mawazo kama haya ni ya watu malimbukeni wa starehe wasiojua nini maana ya future kwenye maisha.RRONDO kujenga ukiwa bado kijana ni uoga wa maishaa
Kwa kauli hii mtu akikwambia wewe ni chombo cha starehe kwa mwanaume atakuwa amekutukana?Na papuchi utapata kwa hao wamama?
Mkuu regression na correlation sinahusika VIP? Au mhusika kashapata huo mlinganyo![]()
r=-1





Hapana, omba lakini kwa utaratibu maalumu. Hornet mimi ukiniomba pesa ya mradi. Biashara, na ukiniaonyesha exactly matumizi yanavyoenda basi natoa hela papo hapo, au nakukabidhi siku hiyo hiyo.Ila wanaume jamani mie naona akili zenu hazitaki tu kuombwa hela
Mbona mimi nimeomba ya kuongezea mtaji naambiwa pambana na hali yako?
Bila shaka ni miongoni mwa wale walioenda kwa makonda.Hahahaha kweli kaka. Kuna ex wangu mmoja alikuwa materialistic nikashindwana naye. Yeye alikuwa anapenda sana kula starehe. Ukimwambia twende shamba au site anasema "kwanini unahangaika kujenga mbali kote huko wakati unaweza kukodi nyumba mikocheni ya laki saba". Ukiwa naye barabarani akiona gari nzuri anapagawa kabisa. Anawaza furniture za milioni 15 wakati kipato chake hata milioni haifiki. Kalagabaho! nikamwaga kilaini. Akaja kuwa kama zulia, watoto wa mbwa wanajisevia tu. Kajichokea bure siku hizi.
12Mawazo kama haya ni ya watu malimbukeni wa starehe wasiojua nini maana ya future kwenye maisha.
Una umri gani??
Michango ya birthday na sherehe huwa sitoi kabisaaa. Na huwa namwambi kuwa havinihusu..Unakuta mpk birthday mtu anataka achangiwe yani mambo tasiyokuwa ya msingi mtu ndio anahangahika nayo ili aweke picha instagram
Hata mpwa wangu mwenyewe umri wa miaka 10 hana akili ndogo kiasi hicho chako. Ukipiga nae stori anakwambia mipango yake ya 2060 huko ikiwa ni pamoja na yeye kuwa raisi.
Leo nimekamilisha uchunguzi wangu kwake hafai kuwa mke.
