Recent content by mariez

  1. mariez

    Tanzanian cases on easement and right of way

    Habari counsels ,mwenye soft copy (s)ya kesi za Tanzania on easement and right of way naomba,its very urgent,thanks in advance
  2. mariez

    Wanawake waliosoma Sheria (Law) ndio wanaoongoza kuwa 'single mothers' Tanzania

    Kudos to all the lady lawyers out there[emoji3][emoji3][emoji3],afu kama ukweli vile
  3. mariez

    Kutembea na mume wa mtu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  4. mariez

    Slow Love Songs Fans

    J.Rice thank you for the broken heart,boys 11 men feat Charlie More than you'll ever know,Mario I choose you
  5. mariez

    Nataka kununua simu aina ya apple

    hahahahaa mm mwenyewe nimecheka sanaaaaa labda vice versa ake 😂😂😂😂😂
  6. mariez

    Daimond Platnumz aonyesha muendelezo wa moja ya Nyumba zake

    Na mimi nlikuwa nawaambia watu ivo ivo,kaona jux kamzidi kajifanya kupost na yeye na caption inayoendana na ile ya jux
  7. mariez

    Wiki mbili tu za ndoa yake kaanza michepuko

    Yani wewe ndo kama mimi,nachokaaaa kabisa ndoa hizi khaaah
  8. mariez

    Kusoma insuarance law au human rights, kipi bora?

    Soma insurance law manake ukienda LS hutoisoma utaikuta kazini if at all ukifanikiwa kupata kazi inayoinvolve IL,tho itakusaidia ktk maisha yako,unavofika LS unaanza upya kufundishwa so utasoma HRL vizuri tuu,afu kwanza IL ni rahisi kwa hyo nakushauri soma hyo kwa ss,vya LS utavisoma
  9. mariez

    Bilionea wa IPTL Seth Sing kuihamishia mitambo Burundi

    Na sio facts tuu pia inatakiwa wajue the whole issue wasiamini vya bungeni tuu
  10. mariez

    Bilionea wa IPTL Seth Sing kuihamishia mitambo Burundi

    Uko na point sana,ngoja bei ya umeme ipande watu waanze kumkumbuka seth
  11. mariez

    Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

    kama nipo tayari kurisgn je nije upolisi?
  12. mariez

    Je! umeomba kujiunga na Jeshi la Polisi?

    na kwa wale wenye ajira serikalini inakuwaje?watachukuliwa mkuu?!
Back
Top Bottom