Nataka kununua simu aina ya apple

Nataka kununua simu aina ya apple

Ninazo IPhone phones mpya
4s gb16 Tsh 250,000
5c gb16 Tsh 300,000
5s gb 32 Tsh 500,000
6 Gb 16 Tsh 700,000
6+ gb 16 Tsh 900,000

Mkuu hata kama ni wizi huu wako umezidi
Haya ma iphone ya kichina unayauza ghali sana bana
 
Watumiaja wengi wa simu wamenunua simu wanazotumia na wanazitumia kwa kupiga picha, whatsapp, facebook, insta pekee. Wengi hawatumii email au bidhaa nyingine zaidi ya hapo na wengine wao ni games pekee.
Mimi nimebakia na Nokia Asha na Torch na BB
 
Kama Fedha Ipo Nunua Tu iPhone 5 plus kwa bei ya laki nane Mimi Natumia iPhone 6c pia nina macbook,iPod,iPad wako vizuri sana sinaga cha kuongea..

Mkuu unaelewa ulichoandika? Hakuna iPhone 5+ wala iPhone 6c, hawajawahi kuzitengeneza
 
Watumiaja wengi wa simu wamenunua simu wanazotumia na wanazitumia kwa kupiga picha, whatsapp, facebook, insta pekee. Wengi hawatumii email au bidhaa nyingine zaidi ya hapo na wengine wao ni games pekee.
Mimi nimebakia na Nokia Asha na Torch na BB

Mawazo ya kimasikini sana haya
 
Kama Fedha Ipo Nunua Tu iPhone 5 plus kwa bei ya laki nane Mimi Natumia iPhone 6c pia nina macbook,iPod,iPad wako vizuri sana sinaga cha kuongea..
Lol promota katika ubora wake ww kama ckosei una Huawei ya promosheni tena hauja unlock
 
Habari?. Je, hii ni aina nzur ya smartphone? Je zipo apple za aina tofauti? Nishauri ni ipi nzuri,na bei nafuu.

Jombaa nina iphone 6+ hapa but used from USA,ina hali nzuri kabisa inahitaj 1.2
 
Nimetumia sim zote iphone 6 plus and now am using samsung s6..... previous wewk nilikua natumia s5.... jaman samsung n amazing phone... kwanza quality ya pcha, network speed ipo poa sana.. pia hawana restriction katika application in playstore..... more over accesory zake unawezareplac kwa bei chip....

Umesema kweli kuna watu humu jf hufikiri eti kutumia kitu cha bei juu ndy sifa. iphone inafaa lkn haiwezi kushindanishwa na samsung katika matumizi ya kawaida kama simu. Angalia uwezo na jinsi ya matumizi ktk mitandao sifa ni baba wa ujinga
 
Mkuu wewe hatari mno, unatumia mpaka simu ambazo bado hazijatengenezwa..... Noma sana 🙌🏽

hahahahaa mm mwenyewe nimecheka sanaaaaa labda vice versa ake 😂😂😂😂😂
 
Umesema kweli kuna watu humu jf hufikiri eti kutumia kitu cha bei juu ndy sifa. iphone inafaa lkn haiwezi kushindanishwa na samsung katika matumizi ya kawaida kama simu. Angalia uwezo na jinsi ya matumizi ktk mitandao sifa ni baba wa ujinga


Iphone is the best. Best of best.. Wao kimya kimya tu no kelele kama samsung. Keep that in mind, best of bestest. Thanks
 
Unataka kununua iPhone viziri sana.. Swali Jee ina credit card.. Manake matumizi ya iPhone ni tofauti na samsung.. U will enjoy using iPhone if u have credit card so u can purchase whatever u want..
 
Umesema kweli kuna watu humu jf hufikiri eti kutumia kitu cha bei juu ndy sifa. iphone inafaa lkn haiwezi kushindanishwa na samsung katika matumizi ya kawaida kama simu. Angalia uwezo na jinsi ya matumizi ktk mitandao sifa ni baba wa ujinga

Hata mm i real appreciate samsung ni noma kwa swala kama la pict wana 16mp kwa simu zao kuanzi S5,S6 na note 4
 
Back
Top Bottom