Kutembea na mume wa mtu

Kutembea na mume wa mtu

Acha hasira wewe huoni wanawake mko wengi kuliko sisi unataka wenzio wakagongwe wapi..... mm nina mke na vimada wanne na wote nimewaambia nina mke na wapo hepi kinyama
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Huuuhh.! Jamani muhusika hopeful nimeingia late on thread but naona kabisa your phone&Brain vimepiga alarm ya tiii tiii na message ipo sent
 
Pole mkuu, atakua ashagawa Mimba huko nje jiandae kuletewa mtoto ulee
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Kwani yumo humu jf....
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Tayari amekuanzishia uzi hukooo..... Kwamba ukitaka uwe bodyguard wa mumeo...
Hatari sana hii.....
 
Hivi kweli sisi wanaume tukiamua kuwa wachoyo itakuaje?? Si unaona kuwa wanawake wote watakosa wanaume?? Wahurumie wenzio, dont take it too serious
Mkiwa wachoyo tunawabaka tu
 
Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Kwanza ningetaka kujua gender yako kama n mwanaume unaeza kua mjinga namba moja n wewe unaemfata mdada wa watu alikuita au kisabengo chako kama n mdada mjinga n wew ambae umeahndwa kumfunga kamba mumeo had anaenda nje... Nakushaur mtie kwapan uone kama kuna m2 atamchukua and hao unaosema wajinga kuna dada zako au ndugu zako n wamekubuhu kutembea na waume za watu cwatetei ila uez jua maisha wanayoptia had kutembea na wanaume za watu so just sit back and do ur things you can't control everything ktk hii dunia afu vngne viache tu.... Maisha yenyew mafup uez jua waache na wao wale kwa zamu yao as long as hawakufat kwako..... I just said
 
Hahaha wajinga sana wanarubuniwa na vijisent na vijisimu wanatoa nyabe na mwisho wa cku unaachwa unarud hap jf k ulia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom