DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,496
- 5,099
U're welcomeU made my evening
U're welcomeU made my evening
Huuuhh.! Jamani muhusika hopeful nimeingia late on thread but naona kabisa your phone&Brain vimepiga alarm ya tiii tiii na message ipo sentWewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Kwani yumo humu jf....Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.

Tayari amekuanzishia uzi hukooo.....Wewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.
Kwamba ukitaka uwe bodyguard wa mumeo...

Mkiwa wachoyo tunawabaka tuHivi kweli sisi wanaume tukiamua kuwa wachoyo itakuaje?? Si unaona kuwa wanawake wote watakosa wanaume?? Wahurumie wenzio, dont take it too serious
Na wewe umeibiwa mkuuu??? Jf raha sana
Furahisha au kuumiza?Haha sijaibiwa. Story za wanaoibiwa zinafurahisha

Furahisha au kuumiza?![]()
![]()
![]()
![]()
Well said. Ila wanaume nao hata km huna kosa yaan kuchepuka loooh simaliziiAnayeumia ni mhusika huwez jua kosa ni la nani kwa kusikiliza utetezi wa upande mmoja pekee

Mkuu mbona umemshambulia sana huyo mwanamke , wakati wote wawili huyo mwanamke na mwanaume ni wakosaji ?
Well said. Ila wanaume nao hata km huna kosa yaan kuchepuka loooh simalizii![]()
Kwanza ningetaka kujua gender yako kama n mwanaume unaeza kua mjinga namba moja n wewe unaemfata mdada wa watu alikuita au kisabengo chako kama n mdada mjinga n wew ambae umeahndwa kumfunga kamba mumeo had anaenda nje... Nakushaur mtie kwapan uone kama kuna m2 atamchukua and hao unaosema wajinga kuna dada zako au ndugu zako n wamekubuhu kutembea na waume za watu cwatetei ila uez jua maisha wanayoptia had kutembea na wanaume za watu so just sit back and do ur things you can't control everything ktk hii dunia afu vngne viache tu.... Maisha yenyew mafup uez jua waache na wao wale kwa zamu yao as long as hawakufat kwako..... I just saidWewe mwanamke unayetembea na mume wa mtu ni mjinga sana, hivi wewe mwenzako katambulishwa wewe hujulikani zaidi ya guest acha ujinga unapotezewa muda ni sawa unasubiri basi la kwenda Zanzibar, nyie mnarudisha maendeleo nyuma wajinga sana, mnaleta migogoro katika familia wajinga sana, mnakumbatia bomu tumboni ondoka haraka katafute single mwenzako.