Hajawahi tokea Raisi mwanamke marekani lakini wanapo kua kwenye acting zao wanakuwepo na waume zao lakini huwa silence kuhusu jina la mume wa rais labda tuangalie reference kwenye hizi movies
alicho kifanya Rais ni kupunguza ukali wa maneno. kwa mtu mkubwa kama Professor kumwambia nimekufukuza kazi is not good. lakini alimaanisha hivyo na utaona.
jamani eeee kwa niaba ya wanatakaofanya usaili wa TRA kesho ni kodi ipi na ipi ilikiukwa wakati wa utowaji na ugawanaji wa fedha kutoka account ya escrow
jamani eeee kwa niaba ya wanatakaofanya usaili wa TRA kesho ni kodi ipi na ipi ilikiukwa wakati wa utowaji na ugawanaji wa fedha kutoka account ya escrow
nyinyi kazi fitna tu mkiambiwa mulete ushahidi mnakimbia tumewashtukia mnataka washtushe na tuhuma wabadili muelekeo wachague wakristo watupu hapa mwenye sifa tu na mpaka uadilifu sifa.
nyinyi kazi fitna tu mkiambiwa mulete ushahidi mnakimbia tumewashtukia mnataka washtushe na tuhuma wabadili muelekeo wachague wakristo watupu hapa mwenye sifa tu na mpaka uadilifu sifa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.