Bokohalamu
Member
- Mar 13, 2012
- 94
- 8
Dumejike vgezo ninavyo! leo nimepata sms yao ila bado sijapata email, naomba kujuzwa e-mail inasemaje na tunapaswa kuprint na kwenda nazo kama za TRA!?
Mim ni muislam na nina sijda na nina vigezo vyote vnavyotakiwa lakin tokea mwaka 2011 naomba kaz waktoa nafas na cijawah kuitwa hata interview na hizi za operation officers nimeomba tena kwa wakat na nimekdh vgezo vyote wanavyotaka na cijaitwa na c mim tu kuna rafk yangu anaitwa omari hajaitwa na anaaply kila waktangaza kaz.hi dhana c yakweli kabxa,je mmefatilia TRA,TANAPA,TPA,LAPF,TANROADS,HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI? huko kote ni wagala wala nguruwe lakin hujaskia waislam wakikoment hum jf,kuwen civilized,nawaomba nssf wafuatilien kwa makin hawa wakristo hapo HQ ndyo wanaoleta hz hoja chafu humu jf ambzo hazna msingi,swala la kuswali ofcn n utartbu wa mtu na c wa shirika,mkumbuke ibada za waislam znakwenda kwa muda usifananishe na misa yakwanza na ya pili.
Nawaomba watu wa management hapo NSSF HQ wafatilien wakristo wote hapo oficin tena weng wao hawa wenye vidigrii vyao waloajiriwa kuanzia 2010 wengi wakitoke UDSM,SAUT,MZUMBE na vyuo vingne vchache kama MAKUMIRA hawa ndo wameweka mpango wakuchafua uongozi wa ustadh DAU kwa kadri watakavyoweza na huo ni mpango madhubuti toka makanisani kwao wanakoabudu.Lengo uonekane uislam c din ya haki haohao wakisahau tupo waislam weng tunauona UOZO wa kidin maeneo mengi kama CRDB,TANAPA,TPA,TRA na hata majeshini,kuomba field tu kwa cc wakina ABDULWAKIL ni tatzo,wakristo 10 muislam 1 lakin hujawah kusikia muislam akileta hoja humu jf hata mara moja na wanayaona,je ni taasis gan hata iwe ya kdn inayotangaza kazi iseme upate barua ya uthbitisho kutoka kwa mufti/shehe lakn hawa wagalatia kaz nying znatangazwa hum na barua zptie kwa padre/mchungaji ila hatusemi,na WORD VISION ipo tanzania nchi isiyo na udin lakn haijiri waislam kabxa,naomba mnambie TRA ni ya wakristo? mbna waislam hawasemi?
Jamani mbona email hiyo hainifikii mimi,ama kwakua sio upande ule mwingine wa dini!!?Mbona za TRA zimeingia bila shida!
Mkuu nimechek kwenye spam hakuna kitu, ila sms nimeipata tatizo ni hiyo serial number kuipata shida!Kama umeomba operation officer fika tar 13 IFM Kuanzia saa sita kamili uje na kitambulisho chako.sasa unatakiwa usome email.ili upate serial number ambayo ndo namba yako ya mtihani.
chunguza email yako katia spamer .
Dumejike vgezo ninavyo! leo nimepata sms yao ila bado sijapata email, naomba kujuzwa e-mail inasemaje na tunapaswa kuprint na kwenda nazo kama za TRA!?
check e-mail zenu wameita written interview nafasi za operations officers
Website wanayo, kwa nn wasiweke majina hapo waziwazi, waliofanikiwa wajione na waliokosa wajijue. Kwa nn wanafanya kwa usitsiti? Kuna jambo hapa si bure!
Website wanayo, kwa nn wasiweke majina hapo waziwazi, waliofanikiwa wajione na waliokosa wajijue. Kwa nn wanafanya kwa usitsiti? Kuna jambo hapa si bure!
Ni vizuri tuliopata sms bila email tufahamiane ili siku hiyo tujue tunafanyaje!
mbona hatujaona email zaidi ya txt