M marhaba02 Member Joined Sep 28, 2014 Posts 19 Reaction score 0 Dec 15, 2014 #1 Amani ya Mungu iwe kwenu wadau mwenye taarifa juu ya matokeo ya Usaili wa NSSF Atujuze mwisho wa kuwasilisha.
Amani ya Mungu iwe kwenu wadau mwenye taarifa juu ya matokeo ya Usaili wa NSSF Atujuze mwisho wa kuwasilisha.
bampami JF-Expert Member Joined Nov 5, 2011 Posts 5,700 Reaction score 4,126 Dec 15, 2014 #2 keep calm the results are not yet.
A aikambe Member Joined Jul 5, 2014 Posts 90 Reaction score 14 Dec 15, 2014 #3 Results not yet come down
Ngowi Junior Senior Member Joined Aug 4, 2014 Posts 102 Reaction score 38 Dec 15, 2014 #4 Kwani walisema watatoa matokeo baada ya mda gani?
K KoreaKaskazini JF-Expert Member Joined Nov 25, 2014 Posts 219 Reaction score 52 Dec 15, 2014 #5 presha inapanda presha inashuka maana ile pepa 100 Qns si mchezo
Ndesalee JF-Expert Member Joined Apr 17, 2014 Posts 1,092 Reaction score 522 Dec 16, 2014 #6 Ila inaonekana yatawahi kutoka,si watatumia OMR katika usasahishaji. Mungu atusaidie jamani tuweze kutokelezea.
Ila inaonekana yatawahi kutoka,si watatumia OMR katika usasahishaji. Mungu atusaidie jamani tuweze kutokelezea.
Dudus Coke Member Joined Aug 31, 2014 Posts 42 Reaction score 39 Dec 16, 2014 #7 duh kuna kiumbe kimeniambia yametoka nikahisi haja imenishika
talentizo JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 461 Reaction score 115 Dec 16, 2014 #8 watu wako kazini
Brightdeemed JF-Expert Member Joined Nov 3, 2014 Posts 291 Reaction score 139 Dec 16, 2014 #9 Dudus Coke said: duh kuna kiumbe kimeniambia yametoka nikahisi haja imenishika Click to expand... Hehehe
Dudus Coke said: duh kuna kiumbe kimeniambia yametoka nikahisi haja imenishika Click to expand... Hehehe