sasa kwa sie tuliokosa mail jaman tufanyaje?
Jamani kwa wale wadau ambao tumeitwa interview NSSF mwenye idea ya maswali yanayoulizwa kwenye iyo interview tuje tudiscuss hapa,au kama unakumbuka position description tupeane hapa,..najua maswali hayatakua exactly like here but tupeane ideas alafu at the end of the day kwenye mtihani unachanganya na akili zako za kuzaliwa ,haimaaninishi kama ukuleta idea hapa tutakuzidi au tutakupita najua kila mtu ata gain na kupata kitu kipya. karibuni waDAU WAPENDWA
naomba majibu wadau:
1.what are the core function of operations officer?
2.what are difference of NSSF scheme benefits from other schemes?
3.what are the categories does scheme covers?
4. what are the bendfits does scheme offer!!!
dear friends let leave dialogue of religiism!!! let focus what is ahead my dear friends!!!!!
Naomba msaada email inasema nini?Kwa maana mimi sijapokea email ila nimepata sms!
Mleta mada msaada tafadhali,email inasema nini?,mimi nimetumiwa sms pekee,itakua saa ngapi?
mie nimepata sms emai cjapata. tusaidien maswali jaman
hata mimi nimepata text message but email sijapata..
Nilisha sahau kama niliomba kazi huko duuuh
sasa kwa sie tuliokosa mail jaman tufanyaje?
Habari zenu wadau?wadau mwenye kujua kima cha mshahara wa graduate anayeanza kazi NSSF. Ahsanteni sana
Kama kwenye inbox yako haujaiona hiyo msg kutoka NSSF jaribu kuingia kwenye upande wa SPAM MESSAGE utaikuta huko... Kumbuka hiyo e-mail ya NSSF ni muhimu sana kuliko hata hiyo sms kwa kuwa pasipo kuipata hiyo hauwezi kuattend interview yao kwa kuwa hautakuwa na serial number yako ya kujaza kwenye answer booklet
wengine hatujaona email kbsa yani cjui itakuaje