Recent content by Marco Machumu

  1. Marco Machumu

    Chanzo Cha bifu la Mo Dewji na Swedi Mkwabi

    Kwan c niliwahi kumsikia CEO Magori akidai kuwa baada ya Kilomoni kukatalia hati walienda RITA kupata nyingine?Ubabaishaji mkubwa!
  2. Marco Machumu

    Usajili huu wa simba,mashaka matupu

    Mimi nasubiri matokeo ndipo ni-coment positively or negatively. Musimu uliopita vyura walikuwa wanapiga kelele sana kwamba simba kasajili wazee, matokeo yake tumeyaona. Hivyo maadam usajili tayari,tusubiri matokeo ndipo tu-judge kipi ni kipi!
  3. Marco Machumu

    PICHA: Mchezaji wa Manchester United, Paul Pogba akiwa Macca

    Yote kwa yote..........,matendo ndo kila kitu kwenye imani.
  4. Marco Machumu

    Liko wapi tamko la Polepole kuhusu ushahidi wa Lema, Nassari na Msigwa?

    Sema umeshapuuza siyo watanzania wamepuuza. Green fly nn?!
  5. Marco Machumu

    Tigo yawatega Washindani wake

    Weka uwekwe au tia usiwe. Ah, ipo mingi tu mkuu! Acha kabisa.
  6. Marco Machumu

    Point zetu vipi?

    Kuna jb toka FIFA lililoletwa likionesha +ve au - ve? Kama kweli rufaa ilikatwa basi jb litaletwa. Vinginevyo iwe kwamba hawakupeleka rufaa
  7. Marco Machumu

    Unakumbuka nini miaka ya 90's kushuka chini?

    Leo wamepangiwa nn kama siyo ndo wameongeza na skin tight?
  8. Marco Machumu

    Mwanaume kutovaa chupi

    Mimi ndo huwa sivai tu nguo yoyote. Afadhali wewe unavaa walau hiyo. Nishauri nifanyeje?
  9. Marco Machumu

    Nitawamiss nyote

    Siyo mbaya mkuu. Maadamu ulipoingia hukubisha hadi ukasubiri ukaribishwa, kuaga kwako ni busara tu. Panapo majaliwa mkubwa wangu!
  10. Marco Machumu

    Mke wa Trump kichwa wazi Saudi Arabia

    Usimlazimishe mtu kufuata au kufanya jambo kinafiki wakati nafsini ni dhoofu hali. Sidhani wasaudi wanapoenda nchi za kikristo huvua vazi lao walivaalo kwa sababu tu ya kuheshimu mila na desturi za wenyeji wao. Mbona wao wanapiga nao stori tu kama kawaida, kama wanavyoonekana pichani? Ila wewe...
  11. Marco Machumu

    CCM 2020 kuna uwezekano mkubwa wa kushindwa kuliko 2015! Hakuna dalili za ushindi kabisa.

    Labda ikitungwa sheria ya kuzuia kugawa kofia, skafu na khanga! Vinginevyo, thithiemu ni ile ile.
  12. Marco Machumu

    ZIMBABWE: Mchungaji aliwa na Mamba Watatu akijaribu kutembea juu ya maji kama Yesu

    Alikuwa anamjaribu Mungu, ilhali yeye (Mungu) alishasema HAJARIBIWI!
  13. Marco Machumu

    Simuelewi aliyekuwa shemela wenu...

    Tafakari, chukua hatua!
Back
Top Bottom