point mkuuKuna ushauri wa kiafya kuwa, mwanaume usivae inayo kubanaa sana. Iwe legelege hivi ili korodani zisibanwe vifuko viweke mbegu vizuri. Haswa kwenye joto jingi ni vyema nguo hiyo iwe legelege kuruhusu cooling system itende kazi yake. Hivyo kama huvai na huna shida ni bora pia.
kusukuma ukuta ndiio nnEndelea hivyo hivyo tu Mkuu kutokuvaa Boksa wala Chupi kwani utaweza kufaulu with a distinction Somo la Usukumaji Ukuta ambalo unaweza hata kulitumia pale ukimaliza Chuo na ukiwa bado unatafuta Ajira na likawa bado linakuingizia tu Kipato kizuri tu kwa njia ya Kutukuka kabisa ya Kibaiolojia.