Recent content by Manyanza

  1. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    MEKANIX TANZANIA LTD JOB:FIELD SALES OFFICERS(SELLING THREE WHEELER VEHICLES(BAJAJ) POSITIONS:5 AREA OF WORK :DAR ES SALAAM QUALIFICATIONS; BACHELOR OF MARKETING 3 YRS EXPERIENCE IN SALES 3 WHEELER VEHICLES RESULTS ORIENTED MODE OF APPLICATIONS:Send only CVS don't call: 0716 340351...
  2. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Wanahidajika Waitress Hotelin kigamboni-kisiwani Mshahara: 150,000 Kukaa palepale ukiwa mkoani unaruhusiwa kufika✅ Fika ofisi za ajira na biashara kigamboni kesho saa3 au unaweza kuwasiliana nasi kwa namba hizi 0725 110 177 0799529422 Wanahitajika wadada wawili wa stationary 📍kijitonyama...
  3. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Location: Kilimanjaro Region Available Position: Chemical Engineering (Female) ✅ Applicant Requirements Must hold a Bachelor’s Degree in Chemical Engineering, or a Bachelor's in chemical and process engineering from a recognized institution. Strong technical knowledge and ability to work in...
  4. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Akshar Mining Services Ltd Location: New Luika Gold Mine, Songwe Positions: Drillers – 5 Mechanic (Drill Rig Machines) – 5 Auto Electricians – 5 Boiler Makers – 4 Requirements: Updated CV, relevant certificates, passport photo, valid driving licence, and at least 5 years’ experience...
  5. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Nafasi za kazi mbalimbali - 2026 Mega thread

    Ajira na Biashara available positions 1_Wanahitajika vijana jinsia zote kufanya kazi kiwandani kigamboni (Packages kwa wanawake) Mshahara ni kulingana na kitengo Range 230,000-300,000(Bado kuna nafasi 4) 2_Vijana wa kufanya kazi kiwanda kipya cha unga keko Posho kwa siku 10,000-15,000...
  6. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Doooh 😅 Usiniambie na wewe unataka tu-merge hii siku 😃😃😃
  7. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Noti nyingi Mkuu na noti yenye thamani ilikuwa ni ya sh 1,000
  8. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Yangu jumatano ya wiki kesho kutwa 16th
  9. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Video: Wakati mwingine sauti ya mtoto huibua maswali ambayo watu wazima huogopa kuyauliza

    Kama angekuwa amepangwa angekuwa anababaika na kushangaa lakini inafikirisha pia
  10. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Hekima huanza pale Ego inapoishia

    Naona umeifunga pm yako
  11. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Hata mimi nikitaja mbele ya Mwalimu mkuu 🤣🤣🤣 Noti za shilingi 20,50 na 100 nilificha kwenye malando (majani ya viazi)
  12. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Video: Wakati mwingine sauti ya mtoto huibua maswali ambayo watu wazima huogopa kuyauliza

    Mtoto wa miaka 5 au 6 anamjua Mwalimu Nyerere, lakini anapoulizwa rais wa sasa anasema hamjui. Video hii si kuhusu mtoto pekee yake; ni kioo cha swali kubwa kuhusu uhusiano kati ya uongozi na kizazi kinachokua. Baada ya uchaguzi wa 2025 uliomalizika kwa matokeo ya karibu asilimia 98 kwa rais...
  13. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wakuu haya Madini Yana thamani yoyote hapa Tz?

    Wachaa weee 🤣🤣🤣 Nitafanyaje hivyo siku ya birthday yangu next weekend
  14. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Sijamwita Muhenga nimemwambia huyo ni Gen Z , mwaka 2004 nilikuwa form 3 mimi
  15. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wahenga tujuane hapa..

    Niliteseka sana na ile hela, mpaka nikashitukiwa na Bibi alikuwa ananipenda kunipiga alikuwa hataki , akamwambia mwalimu mkuu aisee nilichezea bakora zaidi ya laki 😂😂😂 Asubuhi nilipo amka makalio na mapaja yalikuwa yamevimba , Bibi akaanza tena kunikanda na maji ya vuguvugu. What a love 😍
Back
Top Bottom