Utapeli huo huyo Said Abdallah hata kuandika hajui, eti gharaza za chakula badala ya gharama za chakula. Halamu hicho cheo ni Country Manager au County Manager ?:rolleyes:
Inauma sana aisee, huwa nafikiria wakati mwingine Kijana wa sasa hivi age ya 25 na kuendelea ni dereva bodaboda , je mtoto wake atafanya kazi gani ?
Serikali inatakiwa ifikirie sana hawa vijana watawapeleka wapi?
Hakuna kirusi kibaya kama binadamu, yaani kuna kirusi nilishakikataa toka mwaka 2019, juzi tu nikawa naongea na ndugu yake fulani tena baada ya kumsaidia hitaji lake, nikamwambia kabisa nasaidia halafu mnakuwa kama yule ndugu yenu na nilishamkataa sitaki chochote kile . Salamu, msaada wake...
🚨💣 BREAKING: MOHAMMED SALAH TO TRABZONSPOR, HERE WE GO! ⚪️✨
Agreement closed tonight with Trabzonspor for a 2 year deal for the Egyptian winger on a free transfer.
Salah will fly to Trabzonspor this week for medical tests and contract signing until August 2028.
DONE. 🇪🇬
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.