Recent content by Manyanza

  1. Manyanza

    Tupia nguo yako kali unayoikubali muda wote

    Muanzisha mada umeanza kuvaa lini ?
  2. Manyanza

    Askari aliyemkamata Rais wa Venezuela akamatwa kwa tuhuma za ku-bet

    Askari wa kikosi maalum cha Jeshi la Marekani, Gannon Ken Van Dyke, amekamatwa kwa tuhuma za kutumia taarifa za siri za kijeshi kujipatia fedha kupitia kamari. Kwa mujibu wa waendesha mashtaka wa Marekani, Van Dyke alikuwa sehemu ya operesheni ya siri iliyosababisha kukamatwa kwa aliyekuwa Rais...
  3. Manyanza

    Mwaka mmoja wa Tundu Lissu gerezani, nini kinaendelea?

    Leo Aprili 9, 2026, imetimia mwaka mmoja tangu Tundu Lissu, Mwenyekiti wa Chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania (CHADEMA), kukamatwa na kuwekwa gerezani kwa mashtaka ya uhaini na uchochezi. Kesi yake imekuwa ya kivutio kimataifa, ikichochea mjadala kuhusu haki za kikatiba, uwazi wa mahakama...
  4. Manyanza

    Serikali yafafanua kauli ya Rais Samia kuhusu Bei za Mafuta

    Yaani hiki kitengo cha Usemaji wa Serikali apewe yule Martin Maranja Masese sio huyu Bwana Msigwa 😃
  5. Manyanza

    Picha: Kuku mwenye manyoya yaliyojigeuza nje ndani. Je, wanakazi Gani hasa huko ulimwenguni?

    Kuna mahali Mbezi Beach kuna Tajiri anao lakini anawachunga ile mbaya na inasemekana ni kwa ajili ya mifumo ya Kiisrael na KiIran 😀😀😀
  6. Manyanza

    Tuwasimange mpaka waone aibu

    Watajwe live kwa majina halafu tumalizane nao huku mtaani, maana wanatuibia sisi wananchi
  7. Manyanza

    DIAMOND vs ALI KIBA: Nani mkali zaidi?

    Hii sio debate ya leo wala jana ni mjadala unaoendelea kila kizazi. Kila upande una hoja, kila shabiki ana msimamo. Lakini leo, tuweke mapenzi pembeni… tuangalie ukweli kwa jicho la uchambuzi. Kwanza kabisa, tukubali jambo moja muhimu: Hawa si wasanii wa kulinganishwa kirahisi ni nguzo mbili...
  8. Manyanza

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Kweli we Mwanaume uliye timamu unaweza Kuja hadharani kutangaza unatafuta mke wa kuoa? Hebu kuwa timamu basi
  9. Manyanza

    Iran yaangusha F-35 ya Kimarekani

    kimsboy hivi muda unaopoteza kuokoteza hivi habari so ungeutumia kwa mambo mengine?
  10. Manyanza

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Hauko serious Kaka Hivi toka lini mwanaume rijali anakuwa na kelele kama hizi 😃😃😃
  11. Manyanza

    Mwamuzi CAS ameeleza msimamo wake kwa mtazamo wa kikanuni na haki ya matokeo ya uwanjani

    Kuhusu ubingwa wa Senegal AFCON, Raymond Hack alieleza msimamo wake kwa mtazamo wa kikanuni na haki ya matokeo ya uwanjani: Alisisitiza kuwa matokeo ya uwanjani yanapaswa kuheshimiwa, hivyo kama Senegal walishinda kwa mujibu wa mchezo, wanastahili kubaki mabingwa. Alieleza kuwa hata kama...
  12. Manyanza

    Haturudishi kombe medali wala pesa zao wasahau-Shirikisho la Senegal

    Atakuwa bado hajapiga vitu 😃😃😃
  13. Manyanza

    Mazingira ya Lissu Bado tata Gerezani!

    Jana, tarehe 17 Machi 2026, nimemtembelea Tundu Lissu katika Gereza Kuu la Ukonga kwa ajili ya mazungumzo ya kisheria kuhusu mwenendo wa kesi yake. Hata hivyo, mazungumzo kati yangu na yeye yalifanyika katika mazingira yasiyozingatia faragha inayotakiwa kisheria, kinyume na Kanuni za Usimamizi...
  14. Manyanza

    Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

    Ya Dar pale Sinza Legho
  15. Manyanza

    Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

    Kuna jamaa yangu humu humu mwaka 2011 aliwashobokea Maslay Queen pale San Siro, hatosahau Alimuita Mhudumu akawaulize wanatumia nini? Waliagiza Kuku mzima wa kubanika na Savanna mbili mbili, yaani yule Kuku walinyofoa hata vipande vitatu havikuisha. Waliamuacha pale pale yule Kuku, na...
Back
Top Bottom