Recent content by Manyanza

  1. Manyanza

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Kweli we Mwanaume uliye timamu unaweza Kuja hadharani kutangaza unatafuta mke wa kuoa? Hebu kuwa timamu basi
  2. Manyanza

    Iran yaangusha F-35 ya Kimarekani

    kimsboy hivi muda unaopoteza kuokoteza hivi habari so ungeutumia kwa mambo mengine?
  3. Manyanza

    Nahitaji mwanamke wa kuoa njoo inbox Moja kwa Moja awe Dodoma na viunga vyake

    Hauko serious Kaka Hivi toka lini mwanaume rijali anakuwa na kelele kama hizi 😃😃😃
  4. Manyanza

    Mwamuzi CAS ameeleza msimamo wake kwa mtazamo wa kikanuni na haki ya matokeo ya uwanjani

    Kuhusu ubingwa wa Senegal AFCON, Raymond Hack alieleza msimamo wake kwa mtazamo wa kikanuni na haki ya matokeo ya uwanjani: Alisisitiza kuwa matokeo ya uwanjani yanapaswa kuheshimiwa, hivyo kama Senegal walishinda kwa mujibu wa mchezo, wanastahili kubaki mabingwa. Alieleza kuwa hata kama...
  5. Manyanza

    Haturudishi kombe medali wala pesa zao wasahau-Shirikisho la Senegal

    Atakuwa bado hajapiga vitu 😃😃😃
  6. Manyanza

    Mazingira ya Lissu Bado tata Gerezani!

    Jana, tarehe 17 Machi 2026, nimemtembelea Tundu Lissu katika Gereza Kuu la Ukonga kwa ajili ya mazungumzo ya kisheria kuhusu mwenendo wa kesi yake. Hata hivyo, mazungumzo kati yangu na yeye yalifanyika katika mazingira yasiyozingatia faragha inayotakiwa kisheria, kinyume na Kanuni za Usimamizi...
  7. Manyanza

    Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

    Ya Dar pale Sinza Legho
  8. Manyanza

    Hakuna mwanamke ambaye hajawahi ‘kujiuza’

    Kuna jamaa yangu humu humu mwaka 2011 aliwashobokea Maslay Queen pale San Siro, hatosahau Alimuita Mhudumu akawaulize wanatumia nini? Waliagiza Kuku mzima wa kubanika na Savanna mbili mbili, yaani yule Kuku walinyofoa hata vipande vitatu havikuisha. Waliamuacha pale pale yule Kuku, na...
  9. Manyanza

    Malezi magumu ya utotoni ndiyo yaliyonijenga kuwa mtu wa kanuni na utaratibu mpaka leo

    Basi mzee wangu hata hakua mnoko kabisaa, Maza ndio alikuwa Jau sana 🤣 Asalaam Aleykum
  10. Manyanza

    Kiukweli kama mtumishi Boniface Mwamposa anafanya utumishi wa kweli wa Mungu. Mungu ambariki sana

    Nakumbuka kuna siku mwaka 2017 nilienda kanisani kwake siku ya Jumanne kuombewa, nikamwambia shida yangu kuna kazi sehemu niombee ili niitwe kwenye interview, heee katika kuniombea nashangaa nasikia baba Mungu napandisha nyota za huyu Kijana ili akainuke na kuangaza🤣 Sasa wiki hiyo hiyo nipo...
  11. Manyanza

    Sentinelese jamii ya watu walioamua kujitenga na ulimwengu wa kisasa

    Poor Brain chimbo la kuishi hilo 😃😃😃
  12. Manyanza

    Sentinelese jamii ya watu walioamua kujitenga na ulimwengu wa kisasa

    Katikati ya Bahari ya Hindi, ndani ya visiwa vya Andaman vilivyo chini ya India, kuna kisiwa kidogo kinachoitwa North Sentinel Island. Hapa ndipo wanaishi watu wanaoitwa Sentinelese mojawapo ya jamii zilizojitenga kabisa na ulimwengu wa kisasa. Inaaminika mababu zao waliwasili katika visiwa...
  13. Manyanza

    Malezi magumu ya utotoni ndiyo yaliyonijenga kuwa mtu wa kanuni na utaratibu mpaka leo

    Maisha kama haya nimepitia Mkuu, na ndio maana niko stable sana. Nakumbuka mwaka 1995 nikiwa darasa la kwanza Marehemu babu alikuwa anatuamsha kwenda kulima na jembe la ng'ombe na Nilikuwa na miaka 7 tu tunaamshwa saa 10 alfajiri. Ukirudi ile saa 5 unakula ugali na mtindi unaenda kuchunga wale...
  14. Manyanza

    Netanyahu "Bibi" Jioni hii Kapost kwenye Mtandao wa X

    Kiongozi wa Israel, Benjamin Netanyahu, amemaliza uvumi na nadharia za njama zilizokuwa zikisambaa kuhusu kifo chake kupitia video mpya. Katika video hiyo yenye maelezo “Wanasema nimefanya nini? Tazama hii…”, kiongozi huyo anaonekana akitania kuhusu uvumi huo. Akiwa katika duka la kahawa...
  15. Manyanza

    Makonda ni balaa, atwanga Kiingereza kilichonyooka na Mkandarasi utafikiri amezaliwa ndani ya jumba la Malkia Elizabeth Uingereza

    Mtihani wa uchawa nilipata sifuri 🤣 Naona huyu Mwashambwa ana A ya uchawa kabisaaa
Back
Top Bottom