Recent content by Manyanza

  1. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Leo nimeamua nikomae na kitabu cha MMEA MWANZO MWISHO “HEMP”

    sijaelewa chochote
  2. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Hii ni kazi kweli au mi ndo kazi?

    Utapeli huo huyo Said Abdallah hata kuandika hajui, eti gharaza za chakula badala ya gharama za chakula. Halamu hicho cheo ni Country Manager au County Manager ?:rolleyes:
  3. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Kila mtu huwa anachanganyikiwa kwa wakati wake :4WeirdJam::4WeirdJam::4WeirdJam:
  4. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Maafisa usafirishaji wa mtandao, maarufu kama bodaboda za mtandao, wamefunga barabara katika eneo la Chuo cha Biashara (CBE) Posta, Jijini Dar es sala

    Inauma sana aisee, huwa nafikiria wakati mwingine Kijana wa sasa hivi age ya 25 na kuendelea ni dereva bodaboda , je mtoto wake atafanya kazi gani ? Serikali inatakiwa ifikirie sana hawa vijana watawapeleka wapi?
  5. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Tuelewane waungwana, kuna tofauti gani kati ya hizi style?

    Nimepotea njia
  6. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Mwilini na Kirusi cha Kijamii!

    No second chance to make the first impression
  7. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Mwilini na Kirusi cha Kijamii!

    Yaani kufikia kumkataa mazima ni uamuzi bora kabisa kwa sababu hana msaaada wowote ule kwangu, akae pembeni na maisha yaendelee tu.
  8. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Mwilini na Kirusi cha Kijamii!

    Una upeo mpana sana Muslimah
  9. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Kirusi cha Mwilini na Kirusi cha Kijamii!

    Hakuna kirusi kibaya kama binadamu, yaani kuna kirusi nilishakikataa toka mwaka 2019, juzi tu nikawa naongea na ndugu yake fulani tena baada ya kumsaidia hitaji lake, nikamwambia kabisa nasaidia halafu mnakuwa kama yule ndugu yenu na nilishamkataa sitaki chochote kile . Salamu, msaada wake...
  10. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Yalaaniwe mawigi

    Na wewe huwa unavaa?
  11. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Is it a mad shout to say Iraola had better depth at Bournemouth? Bench for his final game: Doak, Kluivert, Adli, Unal, Cook, Diakite & Brooks..
  12. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Wanawake waliokuzid umri wanafaa kwa ndoa

    Hakuwa na mtoto ?
  13. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    🚨💣 BREAKING: MOHAMMED SALAH TO TRABZONSPOR, HERE WE GO! ⚪️✨ Agreement closed tonight with Trabzonspor for a 2 year deal for the Egyptian winger on a free transfer. Salah will fly to Trabzonspor this week for medical tests and contract signing until August 2028. DONE. 🇪🇬
  14. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

    Jina la dogo X Æ A-Xii Mshua anamkubali sana huyu EksiEiAi
  15. Manyanza

    JamiiForums Tanzania Elon Musk : Vipofu sasa wataanza kuona

Back
Top Bottom