Niliteseka sana na ile hela, mpaka nikashitukiwa na Bibi alikuwa ananipenda kunipiga alikuwa hataki , akamwambia mwalimu mkuu aisee nilichezea bakora zaidi ya laki 😂😂😂
Asubuhi nilipo amka makalio na mapaja yalikuwa yamevimba , Bibi akaanza tena kunikanda na maji ya vuguvugu.
What a love 😍