Hamissi Hamza Jr
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 529
- 1,049
- Thread starter
- #21
😀😀😀 Nani Tena Huyo Mkuu?Kuna mtu huko tayari kisha uziwa Mbuzi kwenye Gunia.
😀😀😀 Nani Tena Huyo Mkuu?Kuna mtu huko tayari kisha uziwa Mbuzi kwenye Gunia.
Naunga Mkono Hoja mkuuUzuri wa asili unavutia zaidi na unadumu kwa mda mrefu,
Mkuu Pia Ni Dalili Ya kutojiamini Vile WalivyoMtu akivaa wigi ni dalili ya kutokujitambua. Au anabandika kucha juu ya kucha huo ni wendawazimu. Na wengi wao wenye hizo pigo hawana bikra japo hawajaolewa. Nina uhakika na hilo.
😀😀😀Razima tupatee tupatee tupate razima tupate kitu roho inapenda
Ndivyo ilivyo ila sivyo inavyotakiwa kuwaBiashara za watu hizo zinawaingizia mabillion hazizuiliki kirahisi
Na wewe huwa unavaa?Mawigi wanavaa wengine iweje uteseke au wanakulazimisha na wewe uyavae?
Sivai ila sioni tabu wanawake kuvaa wigiNa wewe huwa unavaa?