Ayatollah the Bird
Member
- Jul 30, 2026
- 86
- 213
Nina miaka 26 na nimeoa mwanamke wa miaka 36 na ndoa yangu haina tatizo naenjoy kinoma.Ningeoa 18 to 25 ningeisoma namba.
Anza hivyohivyo hakuna namna😅Hivi unaanzaje kumtia mtu mwenye umri sawa na bibi yako?
🌝Anza hivyohivyo hakuna namna😅
Kibo!Sasa kipi kimekuwasha mpaka ukatuambia sisi wanaJF hatukujui wala kukufahamu!
Nasema uongo bamkali?