Recent content by MANSLEAZY

  1. M

    Maajabu ya wanawake. Kuwaelewa ni ishu iliyowashinda mpaka wanafalsafa

    Mimi si mtu wa ku comment post za watu ila kwa hili imenibidi aisee nakuunga mkono ktk hili ni kweli kbsa
  2. M

    Je, yawezekana watanzania watamkumbuka na kummiss Magufuli atakapomaliza utawala wake?

    mkuu hii thread yako umeona mbali sana, hata mimi sikutarajia km watu wangemmiss jk Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Changamoto za kupata mwenza JF

    Wanaotafuta wenza wangekuwa wanaweka na picha ingekuwa poa sna
  4. M

    Bakhresa Group washusha Meli mpya

    Huyu Enzymes ni mdini na acha kuwadharau waislamu, unamaanisha kuwa waislamu si wataalam
  5. M

    Akina dada kulamba kunawanyima haki ya kuolewa

    Nilioa kwa kuwa alikuwa akinisuck vizuri
  6. M

    Nchi 10 afrika zenye wanawake wazuri zaidi, Tanzania yashika namba 3

    Naomba pia unipe orodha ya mikoa inayoongoza kutoa wanawake wazuri tanzania at least 10
  7. M

    Nichukue ipi kati ya Ractis, IST au Runx?

    Sorry mkuu kuna mtu kanishauri kuwa ractis iko poa atakuwa ameniongope AU NIPe ushauri au vipi kuhusu toyota raum?
  8. M

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Jamani naombeni ushauri nataka kununua gari kati ya toyota raum na toyota ractis ipi nzuri zaidi?
  9. M

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hivi jamani baloteli ataendelea kubaki? Yaani huyu jamaa ametucost sana
  10. M

    Soko la ajira kwa waliosoma nje

    Mimi nilipata scholarship ya seriali kusoma nje russia bussiness admin 5 years nilikaa 6 months nikarudi kusoma bongo BAF watu wakanicheka Sana sasa hivi ni Mhasibu na wale waliowaacha nimewapiga gape mbaya
  11. M

    Mahakama ya Kadhi: Tanzania inaanza kuvuna matunda ya kuikataa historia ya kweli

    Kuna watu wanakera jamani huyu kafiri hajitambui kabisa
Back
Top Bottom