Guys, nadhani Benteke ndo best option tuliyokuwa tumebakiwa nayo baada ya Reus, Benzema na Lacazette kusema wanataka kucheza champions league. Option nyingine ni Higuan, lakini yuko kwenye decline stage na ni too expensive. Naamini Benteke atafanya vizuri. Uzuri wake ni kwamba ana uwezo wa kufunga magoli. Akiungana na midfielders wetu nadhani atafanya vizuri.
Kuna tofauti kati yao.Sidhani kwani ben10 anautofauti gani sana na lambert na ballo45
Hivi jamani baloteli ataendelea kubaki? Yaani huyu jamaa ametucost sanaKuna tofauti kati yao.
Lambert kwanza umri umeenda, na uwezo wake wa kumiliki mpira huwezilinganisha na Benteke - Ben is better.
Ballo anatatizo la kusubiri aletewe mpira na akiupata hakumbuki kucheza na wenzie, yeye akipewa mpira anachotaka ni kufunga tu (mbinafsi wa mpira). Lakini Ben anaweza kumiliki mpira, kuhadaa mabeki, na anatumia akili zaidi anapopiga mprira kutafuta goli. Angalia hata clips youtube uone uchezaji wake. Ben pia ni mzuri kwa kujiposition wakati time yake wanashambulia, bila kusahau uwezo wake wa angani - Ballo na Lambert hawana uwezo kabisa angani. Mi naamini atafanya vizuri.
Mkuu, una option nyingine tofauti na Benteke?
Hivi jamani baloteli ataendelea kubaki? Yaani huyu jamaa ametucost sana
Kuna tofauti kati yao.
Lambert kwanza umri umeenda, na uwezo wake wa kumiliki mpira huwezilinganisha na Benteke - Ben is better.
Ballo anatatizo la kusubiri aletewe mpira na akiupata hakumbuki kucheza na wenzie, yeye akipewa mpira anachotaka ni kufunga tu (mbinafsi wa mpira). Lakini Ben anaweza kumiliki mpira, kuhadaa mabeki, na anatumia akili zaidi anapopiga mprira kutafuta goli. Angalia hata clips youtube uone uchezaji wake. Ben pia ni mzuri kwa kujiposition wakati time yake wanashambulia, bila kusahau uwezo wake wa angani - Ballo na Lambert hawana uwezo kabisa angani. Mi naamini atafanya vizuri.
Mkuu, una option nyingine tofauti na Benteke?
Swali lako hapo juu (red) kuhusu Benteke na ukiondoa akina Lacazette, etc, jibu lake ni hakuna. Benteke is the best we can have at this minute.
As far as am concerned baada ya sasa kupata offensive players wa kutosha, going forward the LFC hierarchy inahitaji ku-focus zaidi kwenye eneo lililoendelea kutusumbua over the past 3 seasons - DEFENCE & A MORE SOLID DEFENSIVE MIDFIELD!
Pale nyuma tunahitaji reliable centre back wa ku-partner na Skrtel week in week out. Sakho is fine but not consistent enough in terms of fitness (huyu jamaa miguu yake ni biscuit kama ya Sturridge!!).
Halafu tunahitaji anchor man pale kati. I know kuna watu wanaamini Lucas is the man but (sorry) that guy has never been my cup of tea. Besides, he's not getting any younger now and there's this concern about his fitness as things hot up in the course of the season.
Who is available in the market for these two key positions?
mkuu mi ninachopingana na watu ni kuwaita wachezaji flani wazee wakati wakiwa uwanjani shughuli yake ni zaidi ya wale vijana, ona Leo hii milner kawapatia goli LA ushindi japokua ni pre season, vipi akina ibe vijana wamefanya nn ishu ya kwamba wanamda mfupi wa kucheza I don't care as long as club itawaleta wengine nao watafanya poa, suala la kwamba sijui pesa nyingi mi sijali maana pesa za club mi hazinihusu, mtu akikuwekea ronaldo 30 na sterling hapa utachagua nani? sidhani kama kigezo cha umri kitatumika, refers kikosi cha juve na ubabu wao wamefika uefa final
hey....brother...
ndio tuseme Teixeira hujamuona kabisa mkuu?
YEP...he's STAYING
View attachment 268932
..Mkuu MosDef habari za masiku...huyo dogo ni kifaa...
Benteke to LFC is DONE.
Benteke to LFC is DONE.
Huyu BR hana say yoyote ya kusema nani asajiliwe au huyu Benteke ndiyo chaguo lake?