Nchi 10 afrika zenye wanawake wazuri zaidi, Tanzania yashika namba 3

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,314
33,108
Bila kubisha naamini Africa ni bara lenye wanawake wazuri sana japokuwa linasumbuliwa na matatizo mbalimbali. Hii ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa wanawake wenye mwonekano mzuri zaidi.

10. South Africa
Aliwahi kushinda taji la miss S.A, na kuiwakilisha nchi yake katika Miss Universe beauty Pageant 2013.





9. Ghana
Mdada huyu anatokea Ghana, ni miongoni mwa waigizaji wazuri nchini Ghana na Nigerian movie industry.


8.Morocco
Rabat – Fati Jamali ana taji la mwanamke mzuri zaidi wa kiarabu mwaka 2014.



7. Tanzania
Aliwai kuwa miss Tanzania


6. Eritrea
Ni nchi iliyopo katika pembe ya Africa, mji wake mkuu ni Asmara. Wanawake wengi nchini humo wanavipaji mbalimbali ikiwemo wanamitindo


5. Djibouti




4. Misri
Nchi hii ilishawai kuwa na world best female model 2004-2006



3.Ethiopia
Model wazuri kuanzia sura hadi maumbile yao wengi wapo Ethiopia



2. Rwanda
Ndio kila sehemu duniani ina wanawake wazuri ila wanawake wa Rwanda wapo class za juu zaidi



1. Somalia

Hatuwezi kuaribu urembo, Somalia ni nchi yenye wanawake wazuri sana Africa, Unamkumbuka Iman, yule model wa Kisomari na ule mwendo wake wa kupendeza katika Word best fashion competition, uzuri wao unatokana na ngozi zao(chocolate skin), na nywele zao ndefu na laini.




Chanzo: Kwetu Sar Bloghttp://www.kwetustar.com/2016/02/nchi-10-afrika-zenye-wanawake-wazuri.html#more
 
Ndio mkuu lkn ktk hao kumi yupi tatu bora?
TATU BORA HAO HAPO CHINI
3.Ethiopia
Model wazuri kuanzia sura hadi maumbile yao wengi wapo Ethiopia



2. Rwanda
Ndio kila sehemu duniani ina wanawake wazuri ila wanawake wa Rwanda wapo class za juu zaidi



1. Somalia

Hatuwezi kuaribu urembo, Somalia ni nchi yenye wanawake wazuri sana Africa, Unamkumbuka Iman, yule model wa Kisomari na ule mwendo wake wa kupendeza katika Word best fashion competition, uzuri wao unatokana na ngozi zao(chocolate skin), na nywele zao ndefu na laini.

 
Kenya hakuna Wanwake Wazuri
09c6766dc203e831d86e7862ad76d4e8.jpg

CC wakenya wote wa JF.
 
Bila kubisha naamini Africa ni bara lenye wanawake wazuri sana japokuwa linasumbuliwa na matatizo mbalimbali. Hii ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa wanawake wenye mwonekano mzuri zaidi.

10. South Africa
Aliwahi kushinda taji la miss S.A, na kuiwakilisha nchi yake katika Miss Universe beauty Pageant 2013.





9. Ghana
Mdada huyu anatokea Ghana, ni miongoni mwa waigizaji wazuri nchini Ghana na Nigerian movie industry.


8.Morocco
Rabat – Fati Jamali ana taji la mwanamke mzuri zaidi wa kiarabu mwaka 2014.



7. Tanzania
Aliwai kuwa miss Tanzania


6. Eritrea
Ni nchi iliyopo katika pembe ya Africa, mji wake mkuu ni Asmara. Wanawake wengi nchini humo wanavipaji mbalimbali ikiwemo wanamitindo


5. Djibouti




4. Misri
Nchi hii ilishawai kuwa na world best female model 2004-2006



3.Ethiopia
Model wazuri kuanzia sura hadi maumbile yao wengi wapo Ethiopia



2. Rwanda
Ndio kila sehemu duniani ina wanawake wazuri ila wanawake wa Rwanda wapo class za juu zaidi



1. Somalia

Hatuwezi kuaribu urembo, Somalia ni nchi yenye wanawake wazuri sana Africa, Unamkumbuka Iman, yule model wa Kisomari na ule mwendo wake wa kupendeza katika Word best fashion competition, uzuri wao unatokana na ngozi zao(chocolate skin), na nywele zao ndefu na laini.




chanzo.Nchi 10 Afrika zenye wanawake wazuri zaidi | Kwetustar

Naomba pia unipe orodha ya mikoa inayoongoza kutoa wanawake wazuri tanzania at least 10
 
Bila kubisha naamini Africa ni bara lenye wanawake wazuri sana japokuwa linasumbuliwa na matatizo mbalimbali. Hii ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa wanawake wenye mwonekano mzuri zaidi.

10. South Africa
Aliwahi kushinda taji la miss S.A, na kuiwakilisha nchi yake katika Miss Universe beauty Pageant 2013.





9. Ghana
Mdada huyu anatokea Ghana, ni miongoni mwa waigizaji wazuri nchini Ghana na Nigerian movie industry.


8.Morocco
Rabat – Fati Jamali ana taji la mwanamke mzuri zaidi wa kiarabu mwaka 2014.



7. Tanzania
Aliwai kuwa miss Tanzania


6. Eritrea
Ni nchi iliyopo katika pembe ya Africa, mji wake mkuu ni Asmara. Wanawake wengi nchini humo wanavipaji mbalimbali ikiwemo wanamitindo


5. Djibouti




4. Misri
Nchi hii ilishawai kuwa na world best female model 2004-2006



3.Ethiopia
Model wazuri kuanzia sura hadi maumbile yao wengi wapo Ethiopia



2. Rwanda
Ndio kila sehemu duniani ina wanawake wazuri ila wanawake wa Rwanda wapo class za juu zaidi



1. Somalia

Hatuwezi kuaribu urembo, Somalia ni nchi yenye wanawake wazuri sana Africa, Unamkumbuka Iman, yule model wa Kisomari na ule mwendo wake wa kupendeza katika Word best fashion competition, uzuri wao unatokana na ngozi zao(chocolate skin), na nywele zao ndefu na laini.




chanzo.Nchi 10 Afrika zenye wanawake wazuri zaidi | Kwetustar


Halafu Waafrika tukiitwa niga na kutupiwa ndizi tunalia ubaguzi wakati sisi wenyewe tunajibagua, haya Mwanamke mzuri Afrika ni Mwarabu au yule mwenye ukaribu na Uarabu yaani uzuri kwetu ni chochote ambacho hakina asili au kilicho mbali na asili yetu ya Kiafrika!
 
Back
Top Bottom