Soko la ajira kwa waliosoma nje

Soko la ajira kwa waliosoma nje

kuhusu TCU as long as mambo yako yako straight forward hawana maneno na mtu, kwanza documents zote unaupload mtandaoni, pale ofisini unaenda kuchukua cheti chako tu, tena wanakupigia kabisa kukupa taarifa...ache ubabaishaji watanzania
 
kuhusu TCU as long as mambo yako yako straight forward hawana maneno na mtu, kwanza documents zote unaupload mtandaoni, pale ofisini unaenda kuchukua cheti chako tu, tena wanakupigia kabisa kukupa taarifa...ache ubabaishaji watanzania

TCU ina wajibu gani?
 
hahahaaa umenifurahisha kiranga,american civl war history af unataka kazi barrick. Ni kwel kuna umuhim wa kuangalia unachosoma,bado ndugu zetu wanaenda nje hata wengine weng humu wanataman kwenda nje..mi nasisitiza tu usijiwekee expecttions kubwa,na unaenda kusoma wap nin ni muhim,,

kuna wawili nawajua wameasoma nje nyuklia physics?balaa
 
Umeshauri kitu kizuri tatizo tz mitaji shida chukulia hata umalize degree ya kilimo utazunguka mno kutafuta mkopo angalau uwekeze ujuzi wako kwenye fan na hiyo ndo njia pekee ya kujiajiri
 
Nyie mliosoma nje kama mnavyojiita hua ninawashangaa sana hivi mfano ukiwa upo huko unakuja likizo bongo na wifi router za dola 25 mpaka 40 kumi na kuziuza 100,000 unafikiri ungekua un shilingi ngapi? kama mtaji? mfano trip 4 tu au mizigo mingine unaagiza wanaokuja bongo ungekua hauna mitaji? tatizo watanzania akili bado sana hata kusoma huko nje kwenu hakuwasaidii kuwaza nje ya boksi, mnachojua ni kuuza sura kupiga picha sijui guanzuu, sijui shanghai na kuaplod instagram,facebook etc sasa wewe uliesoma nje na mimi niliesoma Yanzania tofauti ipo wapi?
 
Mimi nilipata scholarship ya seriali kusoma nje russia bussiness admin 5 years nilikaa 6 months nikarudi kusoma bongo BAF watu wakanicheka Sana sasa hivi ni Mhasibu na wale waliowaacha nimewapiga gape mbaya
 
Ee bwana wakuu mimi nipo nje nasoma master mambo ya IT security, nataka nirudi bongo mwakani. Vipi ajira kwenye fani yangu iko vizuri au ndio imekula kwangu?
 
Nyie mliosoma nje kama mnavyojiita hua ninawashangaa sana hivi mfano ukiwa upo huko unakuja likizo bongo na wifi router za dola 25 mpaka 40 kumi na kuziuza 100,000 unafikiri ungekua un shilingi ngapi? kama mtaji? mfano trip 4 tu au mizigo mingine unaagiza wanaokuja bongo ungekua hauna mitaji? tatizo watanzania akili bado sana hata kusoma huko nje kwenu hakuwasaidii kuwaza nje ya boksi, mnachojua ni kuuza sura kupiga picha sijui guanzuu, sijui shanghai na kuaplod instagram,facebook etc sasa wewe uliesoma nje na mimi niliesoma Yanzania tofauti ipo wapi?

Mkuu maoni yako nayaheshimu, lakini nikujuze tu kuwa in most cases wanaolalamika wengi ni wale ambao wamekwenda kusoma kwa ufadhili, mtu aliyejisomesha huyo ana uwezo hata akija Tanzania na kazi akawa amekosa atajiajiri mwenyewe.
Wengi waliosoma kwa ufadhili hata hiyo nauli ya kuja likizo HAWANA, mtu anasoma miaka mitano na hajawahi kurudi mpaka wamemaliza. Scholarship value inakuwa calculated yani hakuna kinachobaki na kama kipo basi ni kidogo sana. Nchi nyingi siku hizi zimebadili/zimekaza sera zao kuhusu foreigners, kazi hakuna na hata hao wachache wanaojibana kutuma mizigo Tanzania kwa biashara wengi wao issue ya Transport inabana sana!! Cbm moja inakwenda mpaka 200-500 USD.
 
Nyie mliosoma nje kama mnavyojiita hua ninawashangaa sana hivi mfano ukiwa upo huko unakuja likizo bongo na wifi router za dola 25 mpaka 40 kumi na kuziuza 100,000 unafikiri ungekua un shilingi ngapi? kama mtaji? mfano trip 4 tu au mizigo mingine unaagiza wanaokuja bongo ungekua hauna mitaji? tatizo watanzania akili bado sana hata kusoma huko nje kwenu hakuwasaidii kuwaza nje ya boksi, mnachojua ni kuuza sura kupiga picha sijui guanzuu, sijui shanghai na kuaplod instagram,facebook etc sasa wewe uliesoma nje na mimi niliesoma Yanzania tofauti ipo wapi?
Ewe kijana usije fuata kila unachoambiwa haswa shauri kama hilo hapo juu.Yaani out of the box yake ni kununua router na kuleta Tz???Tunataka wasomi arif no disrespect there ila atleast ukienda nje njoo na mawazo ya uwekezaji,teknolojia za uzalishaji na the likes siyo kufanya uchuuzi ambao hata hauna sense.
 
Ewe kijana usije fuata kila unachoambiwa haswa shauri kama hilo hapo juu.Yaani out of the box yake ni kununua router na kuleta Tz???Tunataka wasomi arif no disrespect there ila atleast ukienda nje njoo na mawazo ya uwekezaji,teknolojia za uzalishaji na the likes siyo kufanya uchuuzi ambao hata hauna sense.
Usidharau uchuuzi, hivi unafikiri kuna kampuni gani inaweza ku fund start up capital? biashara nyingi za bongo ni self procured capital maana inakua ni vigumu kupata mkopo kwa kuwaeleza idea yako ya kutaka kuanzisha kitu fulani bila kua established....nina uhakika katika either ukoo wenu au familia yenu ukiwaambia unataka unaze kufanya biashara unakusanya mtaji kila mtu akuchangie 20,000 tu x 100 hakuna hata mmoja atakae kuelewa wala kukubaliana na wazo lako....kuanzisha biashara lazima ungalie prevailing economic situations za ulipo sijui umenisoma?
 
Mkuu maoni yako nayaheshimu, lakini nikujuze tu kuwa in most cases wanaolalamika wengi ni wale ambao wamekwenda kusoma kwa ufadhili, mtu aliyejisomesha huyo ana uwezo hata akija Tanzania na kazi akawa amekosa atajiajiri mwenyewe.
Wengi waliosoma kwa ufadhili hata hiyo nauli ya kuja likizo HAWANA, mtu anasoma miaka mitano na hajawahi kurudi mpaka wamemaliza. Scholarship value inakuwa calculated yani hakuna kinachobaki na kama kipo basi ni kidogo sana. Nchi nyingi siku hizi zimebadili/zimekaza sera zao kuhusu foreigners, kazi hakuna na hata hao wachache wanaojibana kutuma mizigo Tanzania kwa biashara wengi wao issue ya Transport inabana sana!! Cbm moja inakwenda mpaka 200-500 USD.

Inawezekana ikawa ni kweli lakini kuna kadhaa ambao binafsi nina wafahamu hovyo kosa nililolifanya ni kugeneralize lakini pia kuna wale ambao wanasomemwa kupitia ofisi za wazazi wao wengi wao nadhani hawana muamko wa kufikiria vitu vingine vya kufanya....
 
Habari wanajamii,

Mimi nimesoma shahada yangu nje ya nchi. Wakati nipo nasoma, watu wengi walikuwa wananiambia "aaah we ukija ajira fasta, vyeti vya mbele vinauza". Nimerudi hamna cha mauzo wala nini.

Kwa mnaosoma nje, usiweke high expections kuhusu ajira mkirudi Bongo, tena afadhal waliosoma huku wanajua pa kuanzia, ajira Bongo ni ngumu,,unless unajulikana. Kila la kheri kwa tunaotafuta kazi na wasomi wa nje masomo mema.

Nawasilisha.

Nilidhani shuleni kwenu hakukuwa na vyumba vya darasa so mkalazimkia kuaoma nje kwenye juwa kumbe nje ya nchi!
 
Tatizo wanaosoma nje ni course na kuenda kushangaa...
Wengi wangekuwa wana copy na ku innovate walichofanya nje na kuja kufanya Tanzania nina aamini Tanzania ingekuwa kama CHINA..
sasa kitu kingine Course sasa mtu anaenda nje utasikia Baachelor in International Business, Mara in accountancy...
Kama ikatokea mtu ana pesa na anataka kuenda kusomea nje na mshauri aende JAPAN akasomee AUTOMOBILE ENGINEERING alafu aje Tanzania na awe mbunifu wa hali juu...mtaniambia na kila siku watu waananua magari na mafundi wenyewe ndo hawa hata shule hawajaenda na magari ya kisasa kila siku yanaingia Mafundi hakuna.
 
Ee bwana wakuu mimi nipo nje nasoma master mambo ya IT security, nataka nirudi bongo mwakani. Vipi ajira kwenye fani yangu iko vizuri au ndio imekula kwangu?


imekula kwako mazima, jifanye umetokea Syria wakupe uraia aseee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom