Radhia Sweety
JF-Expert Member
- Aug 10, 2011
- 4,433
- 1,772
Chukua harrier
Mi IST yangu iko njiani from Japan. Nimeagiza mwa dollar 2200. Nasubiri bandarini wanitandike kodi watavyo wao.
Ist ya kike, chukua ractis au runx za kiume.
Ist ya kike, chukua ractis au runx za kiume.
ye hajataka uyeboyebo kataka ubora utumiaji mzuri wa mafuta na matumizi kwa ujumla.Ractis ya kike zaidi bora hata ist. Bora achukue runx maaana ile ni sawa na corola 110 utofauti ni body tu.ist yeboyebo sana mjini
Malizia nyumba yako kwanza ndiyo ufikirie kununua gari
Kweli mkuusio kila mtu ana uwezo wa kujenga wengine ni kupanga tu mwanzo mwisho.
Chukua harrier
Mkuu nunua baskeli haili mafuta kbsa maana hz options zako zote zinkula mafuta pia hukai foleni
Malizia nyumba yako kwanza ndiyo ufikirie kununua gari
Renux ipo vizur
Mkuu nunua baskeli haili mafuta kbsa maana hz options zako zote zinkula mafuta pia hukai foleni
Chukua harrier
barafuyamoto...umetishaHivi kwa nini waTz wengi hupenda kutoka nje ya mada? Ni kwa makusudi au ugonjwa?
Inaelekea unamiliki ist wewe. Kama ishu ni mafuta. Harier hybrid inatumia mafuta kidogo kuliko hiyo istye hajataka uyeboyebo kataka ubora utumiaji mzuri wa mafuta na matumizi kwa ujumla.
hapa ndipo napopatashida na baadhi ya watu unataka kitu uwe nacho peke yako utakipata wapi duania hii.
basi achukue hammer ama BMW 7series ndio chache bongo ambazo nazo baada ya muda zitakuwa yeboyebo tu.
Sorry mkuu kuna mtu kanishauri kuwa ractis iko poa atakuwa ameniongope AU NIPe ushauri au vipi kuhusu toyota raum?Runx/Allex ndio gari ya ukweli kwani ime jengwa katika platform ya corolla,engine ni ya corolla pia halafu ni hatchback.Yangu inatimiza mwaka december na haijawahi sumbua hata kidogo na nimepiga nayo route ya Dar/Mbeya zaidi ya mara 10.
Ractis naona kama ni gari ambayo wabongo wame ichangamkia sana Kwa sasa may be Kwa sababu zina engine ndogo kuanzia cc 1350 - cc1600 ika sizijui vizuri Kwa hiyo siwezi kuziongelea sana. Ila sijavutiwa na shape yake, raum nzuri pia lakini usisahau ina milango ya ku-slide nyuma kama hiace.Sorry mkuu kuna mtu kanishauri kuwa ractis iko poa atakuwa ameniongope AU NIPe ushauri au vipi kuhusu toyota raum?