Nyie kila kitu mnatafsiri ujinga kwani ww unajua ni maana gani kutoboa masikio hvyo??...huo ni urembo kama urembo mwngne hata hvyo vikuku ni urembo tu maana wapo wanaoliwa tigo na hawavai na wanaovaa vikuku hawaliwi hizo tigo mxieew [emoji57]
Mkuu...Kwahyo ukipima na unigold,kama ni positive inaonesha vipi na hakuna 1 na 2?
Alafu ,mfano unataka kupima ukipima direct na unigold bila kutumia determine na bioline ni sawa? [emoji87]
Habari za siku nyingi ndugu zangu.,
Nilikua na swali kidogo kuhusu hii ishu ya kuogeshewa na mfedha fedha...
Nimekua nikiskia sana kuhusu hii ishu lakini sijaelewa haswa;
[emoji654] maana yake
[emoji654] nia na lengo la kuogeshwa huo mfedha
[emoji654] na jinsi ya kuoshwa na huo mfedha fedha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.