Wanaume, safisheni nyeti zenu jamani

kale kaharufu ka uvundo ndio utamu wenyewe ule acha ushamba monicca
Enyi wanaume acheni uchafu, jitahidi angalau mfue boxer zenu kila Siku, nyoeni makwapa na kwenye madushe yenu.

Harufu mbaya mnayotoa tuwapo faraghani ni matokeo ya kutofua hizi boxer zenu na kutonyoa hayo manyoa sehemu zenu za kujificha.

Uhandsome ni pamoja na usafi.
 
It depends, hao wa boyfriend wenu wapita njia ndo wa kuja kuwatangaza JF.

Wewe mwanamke, una mtu wako, umeona hali ni tofauti. Badala ya kukaa ukaweka sawa unakimbilia JF kutoa ujumbe ambao chances are, he might never see.

Mtoto wa kike kaa tulia, muite mwenzio faragha mchezee chezee muweke mambo sawa. Sio umuite umrukie uanze kumpara na kiwembe. No. Cheza cheza naaeee halafu rekebisha.

Nywele sana ndo huwa zinasababisha harufu. Zi yoe, muogeshe na shower gel flani amazing ama soak him in a bath tub and do the needful.

Sasa si umroweke kama ovaroli ama jeans. Ingia na wewe humo taratibu relax muogeshe, etc etc.

Kama ni boxers na chupi what harm will it do mkifua wote? Ama ukimfulia? Achageni tuenjoy ndoa zetu manake tunajua kuzilea. Na nyie andikeni tu mitandaoni udhaifu wa wenza wenu.
 
It depends, hao wa boyfriend wenu wapita njia ndo wa kuja kuwatangaza JF.

Wewe mwanamke, una mtu wako, umeona hali ni tofauti. Badala ya kukaa ukaweka sawa unakimbilia JF kutoa ujumbe ambao chances are, he might never see.

Mtoto wa kike kaa tulia, muite mwenzio faragha mchezee chezee muweke mambo sawa. Sio umuite umrukie uanze kumpara na kiwembe. No. Cheza cheza naaeee halafu rekebisha.

Nywele sana ndo huwa zinasababisha harufu. Zi yoe, muogeshe na shower gel flani amazing ama soak him in a bath tub and do the needful.

Sasa si umroweke kama ovaroli ama jeans. Ingia na wewe humo taratibu relax muogeshe, etc etc.

Kama ni boxers na chupi what harm will it do mkifua wote? Ama ukimfulia? Achageni tuenjoy ndoa zetu manake tunajua kuzilea. Na nyie andikeni tu mitandaoni udhaifu wa wenza wenu.
Asante mama kama bado hawajaelewa watakuja kuelewa siku wakiachika umuhimu wa kulea ndoa
 
Ha ha ha duh! inaelekea hao wanaume si wapenzi wako ndo mana umeona ni tatizo, kama ingekuwa ni mpenzi wako, ungemny'oa kote, na kumtia manukato mpaka huko unakolalamika kunanuka, ukimfanyia hivyo mara 2 au 3 atajua kuwa anatakiwa awe hivyo, nunua kabsaa mashine na vijimanukato vyakupaka, ukiondoka viache kwake....lakini kama uliamua kumpotezea usitake tuamini ni mchepuko tu.
Dah..Dada asmaa80 umefikisha ujumbe. Make kuna post watu wanaweza jua wewe ni mtu wa aina gani...Nampa pole kwa sample anazokutana nazo..ila mda bado upo anaweza badili gear Angani...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom