DAFU NA NDIMU
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,497
- 5,088
Ukiwa mkali ataona unamwonea. Unamsikiliza, unatoa maoni yako na ukiona hakuelewi unafanya unaloona linafaa. Kujibizana au kupambana naye ni kuongeza mgogoro.Mkuu mzazi wako anapozeeka kama akili zake zinarudi utoto haina budi kuwa mkali na kumuwekea mipaka vinginevyo hizo akili zake za utoto ataharibu familia yako.