Recent content by malkiory

  1. malkiory

    Rais Kikwete ana SIRI!

    Ni article nzuri sana, lakini angalia upande mwingine wa shillingi. Mazingira ya nyumbani ni frustrating, hata mtu angekuwa na PhD 20 baada ya kurudi tanzania ni lazima PhD yake itaota kutu. Nchi ambayo haina sera chanya za kuleta maendeleo unategemea wasomi hao wangefanya miujiza bila...
  2. malkiory

    Hivi wanachofanya wabunge wa CHADEMA ni haki kweli!?

    Wabunge wa Chadema siyo yes Men, kwa watu wenye mawazo mgando wataona wanafanya vibaya kumbe wanapambana na udhalimu wa speaker na naibu wake pamoja na wabunge wa CCM ambao kazi yao ni kuchapa usingizi bungeni.
  3. malkiory

    Job Ndugai ni Kiboko ya Nidhamu Bungeni sasa

    Ndugai pamoja na speaker mwenyewe wote ni inferior, wamewekwa pale kutetea maovu ya serikali ya chama tawala. Sasa kwasababu wanazidiwa kihoja na wabunge wa Chadema kazi yao ni kujihami kwa kuwatoa kwenye vikao vya bunge. Kwa kifupi nikueleze kuwa hajiamini.
  4. malkiory

    Naibu waziri wa mambo ya ndani na hotuba ya kambi ya upizani

    Pole sana kwa kukurupuka, hotuba ya Lema inakubalika sana kufuatia maoni yaliyotolewa na watanzania kwenye mitandao mbali mbali kote duniani. Sasa sijui wewe ndugu unaishi duniani gani? Naibu waziri wa serikali iliyo paralize atawaeleza nini watanzania makini wenye uchungu na nchi yao.
  5. malkiory

    CCM vurugu tupu - Katibu CCM Mwanza ataka Nape na wenzake wapigwe stop

    Mizunguko ya Nape kwa nchi nzima haina tija zaidi ya kuchezea pesa ambazo wangeweza hata kununua madawati. Nape si mtu makini zaidi ya kufanya ushabiki na kueneza propaganda za chuki dhidi ya wapenda maendeleo.
  6. malkiory

    Ndugai alijianda kuwatoa kina lisu bungeni

    Speaker na naibu wake wote wanafanya kazi kwa kujihami (defensive mechanism) aidha kwasababu ya uwezo mdogo au kwa makusudi kutetea mafisadi .
  7. malkiory

    Jaman hali hii Bungeni!!....... enough is enough!!!!

    Unayejiita Genius Brain ondoa chuki binafsi na Nova Kambota! article yake inaongelea ukweli wa mambo yanayojiri pale bungeni, sasa ulitakaje wewe? atetee maovu. Badili hilo jina la Genius Brain, maana haifanani na hoja yako dhidi ya Kambota.
  8. malkiory

    Mbowe, Kunahitajika mkakati wa haraka Bungeni

    Lusinde kuwa mwangalifu na kauli zako, sijuu CCM ni chama cha waliolaaniwa, wabunge wa CCM wanafanya kazi kwa unafiki, woga na kuabudu viongozi na wala si kuwatumikia wananchi waliowatuma bungeni.
  9. malkiory

    Mbowe, Kunahitajika mkakati wa haraka Bungeni

    Hakuna wa kurudi kwenye chama cha magamba! Uvuaji magamba ni mbio za panya sakafuni, Nape kazi yake ni kuropoka afadhali ya Yusuph Makamba.
  10. malkiory

    Mbowe, Kunahitajika mkakati wa haraka Bungeni

    Hawezi kuwa na mawazo chanya kwani ubongo wake sehemu kubwa umejaa makamasi.
  11. malkiory

    Askofu Basileus Ezekiel Mabumba: Lowassa asipokuwa Rais 2015 mniue!

    Siyo swala la urais tu, tunasubiri afikishwe mahakamani kwa ufisadi.
  12. malkiory

    Majibu ya Kikwete na BBC: Tumevuna tulichokipanda

    He will never do that, in fact Maggid is a writer but a very tricky one with his hidden agenda, better Issa Michuzi who is straight foward! To be honest Maggid is typical writer of Michuzi type, the only difference is that he is not brave enough to reveal himself.
  13. malkiory

    Ridhiwani awaburuza mahakamani Dk Slaa na Mchungaji Mtikila

    Mtoto wa kikwete ni sawa na kichanga kinachochezea nepi mbele ya Dr. Slaa.
  14. malkiory

    Jakson Makweta...!

    Tumechoka na zilipendwa ndugu yangu.
  15. malkiory

    Rais kikwete tukueleweje?

    Serikali iliyoparalize itawezaje kufanya kazi?
Back
Top Bottom