Job Ndugai ni Kiboko ya Nidhamu Bungeni sasa

Wazee natizama bunge sasa,hali ni shwari hakuna vurugu wala kelele na kikao kiko chini ya Job Ndugai-Naibu Spika.Wabunge wanasimama kwa heshima bila kugusa Mic,anawachagua kisha anatoa ruhusa kwa kila mmoja kuuliza ama kuchangia bajeti hii ya Mambo ya Ndani.

Hakuna kubwata na kwakweli nimeona Tundu Lissu kwa unyenyekevu kasimama N/Spika kamuona na baadae kapewa ruhusa ya kushika Mic.Tundu Lissu si yule ninaemfahamu leo ananidhamu ya juu na Wabunge wote.Mpaka sasa Mnyika anaongoza kwa hoja nyingi na anazitoa kwa heshima bila kubwabwaja.

Hiyo nidhamu angeanza kuonyesha ndani ya chama chake dhidi ya mafisadi wakubwa. Asilete unafiki bwana anampepea mgonjwa ambaye yuko mahututi lkn ndo hivyo walishamchelewesha haponi tena.

Hii ni sawa mtoto mdogo anamwambia baba yake 'baba mbona umelewa sana?' baba lazima atajibu we mtoto huna adabu siku hizi eh? Ndugai hawataki kuambiwa ukweli na hao waliomtuma kama ndo waliamini kuwa anaweza kachemsha maana mwisho wa siku Ndugai ni aibuu. Hata hakiwatoa nje hawezi rudisha imani kwa watz tena.
 
Subutu, moto bado utawaka tuuuuuu, leo hakuna hoja ya maana lakini ujumbe jana umefika
Wazee natizama bunge sasa,hali ni shwari hakuna vurugu wala kelele na kikao kiko chini ya Job Ndugai-Naibu Spika.Wabunge wanasimama kwa heshima bila kugusa Mic,anawachagua kisha anatoa ruhusa kwa kila mmoja kuuliza ama kuchangia bajeti hii ya Mambo ya Ndani.<br />
<br />
Hakuna kubwata na kwakweli nimeona Tundu Lissu kwa unyenyekevu kasimama N/Spika kamuona na baadae kapewa ruhusa ya kushika Mic.Tundu Lissu si yule ninaemfahamu leo ananidhamu ya juu na Wabunge wote.Mpaka sasa Mnyika anaongoza kwa hoja nyingi na anazitoa kwa heshima bila kubwabwaja.
<br />
<br />
 
Basi Ndugai awe spika, Makinda awe naibu wake!

huyu mpuuzi kwenye AVATAR yako namchukia ni mnafiki hakuna mfano, kijijini anapiga magoti akija mjini DODOMA anatetea magamba pumb..u kabisa huyo yaani umeniaribia siku kumuona huyu mbunge

sorry out of topic lakini nimeshindwa kujizuia na ili dubwana
 
Wazee natizama bunge sasa,hali ni shwari hakuna vurugu wala kelele na kikao kiko chini ya Job Ndugai-Naibu Spika.Wabunge wanasimama kwa heshima bila kugusa Mic,anawachagua kisha anatoa ruhusa kwa kila mmoja kuuliza ama kuchangia bajeti hii ya Mambo ya Ndani.

Hakuna kubwata na kwakweli nimeona Tundu Lissu kwa unyenyekevu kasimama N/Spika kamuona na baadae kapewa ruhusa ya kushika Mic.Tundu Lissu si yule ninaemfahamu leo ananidhamu ya juu na Wabunge wote.Mpaka sasa Mnyika anaongoza kwa hoja nyingi na anazitoa kwa heshima bila kubwabwaja.

Wewe una upungufu wa akili...na siwezi kuchangia hii thread yako,maana na mie nitaonekana kichaa..
 
Hivi majimbo ya kina Ndugai/Simbachiwane yana nidhamu sana katika mapato/matmizi eeh.
Maendeleo huko nafikiri ni mazuri kwa sababu ya nidhamu. Kila mwanakijiji atakuwa na nyumba ya kuridhisha na maji ya bomba.
Binafsi natamani niwe nimezaliwa katika hiya majimbo ya mfano wa kuigwa.

.
 
Nimekuwa nasumbuka na kale ka dhahabu kanakopigiwa salute na yule mzee wa bluu. Je kuna mtu anaweza nipa ufafanuz wa kuwa nako coz naona mzee wa anga wiki hajapaa. So mie nashauri nako akauze ili anunue mafuta ya gulf stream. Mie naboleka kumoona kinoma
 
huna hoja .... unabwabwaja tuu

ujinga kitu kibaya sana
hili sio jibu zuri kwake ....hata mimi nilikuwa natak kujua misimamo ya hao watu .. japo nina uhakika kuwa kile kinachotokea bungeni kimebarikiwa na uongozi wote wa chadema na wananchi wote ambao sio ndugu au sio watoto wa viongozi wa ccm
 
Acheni unafiki someni alama za nyakati kipindi cha ndio mzee kimepitwa na wakati magamba safari hii mmekamatwa pabaya nyie tumieni nguvu sisi ni nguvu ya umma tu ni always the end will tell the truth.
 
Kale kafimbo kanaitwa Siwa sio Siha kama title yako inavyosomeka, kametengenezwa kwa madini ya dhahabu na shaba na kazi yake ni kuonyesha mamlaka ya Spika au kiongozi wa bunge anapoendesha vikao vya bunge, na ndo maana bunge likikaa kama kamati kinaondolewa na spika au naibu spika title yake inabadilika na kuwa m/kiti wa kamati ya kupitisha kamati ya matumizi au ilivyozoeleka kamati ya matumizi.
 
Ndugai pamoja na speaker mwenyewe wote ni inferior, wamewekwa pale kutetea maovu ya serikali ya chama tawala. Sasa kwasababu wanazidiwa kihoja na wabunge wa Chadema kazi yao ni kujihami kwa kuwatoa kwenye vikao vya bunge. Kwa kifupi nikueleze kuwa hajiamini.
 
hata mie leo nimefurahishwa yaani bunge la leo ni tulivu hakuna mbunge anayewasha mic bila ruhusa ya kiti. hongera ndugai.
 
Jamani, sina nafasi ya kufuatilia kwa karibu sana mambo yanayoendelea huko bungeni Dodom, ila JF imekuwa ndiyo sehemu ya kupata taarifa. Kwa kipindi cha wiki nzima nimekuwa nikisoma taarifa za vikao vya bunge na challenges ambazo CDM (chama cha upinzani) kinazipeleka kwa serikali ya CCM na taharuki (pamoja na ubabe) unaoonyeshwa na serikali na wabunge wa CCM kujaribu kukabiliana nazo. Kilichonipa kujiuliza ni kuwa vikao hivyo vingi vimekuwa vikiongozwa na naibu spika (aliyeishia kuwatoa waheshimiwa Lema, Lisu na Mch Msigwa) au wenyeviti. Naomba kufahamu, spika mwenyewe yuko wapi?

Amesafiri kikazi au yuko busy na masuala mengi au changamoto za bungeni zimekuwa za moto mno hivyo kusevu kwa kuwaachia wenyeviti na naibu? Au kuna ratiba ya zamu za kuongoza Bunge? Naomba kufahamishwa nisipitwe na taarifa.
 
jamani, sina nafasi ya kufuatilia kwa karibu sana mambo yanayoendelea huko bungeni dodom, ila jf imekuwa ndiyo sehemu ya kupata taarifa. Kwa kipindi cha wiki nzima nimekuwa nikisoma taarifa za vikao vya bunge na ‘challenges’ ambazo cdm (chama cha upinzani) kinazipeleka kwa serikali ya ccm na taharuki (pamoja na ubabe) unaoonyeshwa na serikali na wabunge wa ccm kujaribu kukabiliana nazo. Kilichonipa kujiuliza ni kuwa vikao hivyo vingi vimekuwa vikiongozwa na naibu spika (aliyeishia kuwatoa waheshimiwa lema, lisu na mch msigwa) au wenyeviti. Naomba kufahamu, spika mwenyewe yuko wapi? Amesafiri kikazi au yuko busy na masuala mengi au changamoto za bungeni zimekuwa za moto mno hivyo kusevu kwa kuwaachia wenyeviti na naibu? Au kuna ratiba ya zamu za kuongoza bunge? Naomba kufahamishwa nisipitwe na taarifa.

mimi mwenyewe simuoni, ila hata wa kambi ya upinzani kamanda freeman c muoni.
 
Jamani, sina nafasi ya kufuatilia kwa karibu sana mambo yanayoendelea huko bungeni Dodom, ila JF imekuwa ndiyo sehemu ya kupata taarifa. Kwa kipindi cha wiki nzima nimekuwa nikisoma taarifa za vikao vya bunge na &#8216;challenges' ambazo CDM (chama cha upinzani) kinazipeleka kwa serikali ya CCM na taharuki (pamoja na ubabe) unaoonyeshwa na serikali na wabunge wa CCM kujaribu kukabiliana nazo. Kilichonipa kujiuliza ni kuwa vikao hivyo vingi vimekuwa vikiongozwa na naibu spika (aliyeishia kuwatoa waheshimiwa Lema, Lisu na Mch Msigwa) au wenyeviti. Naomba kufahamu, spika mwenyewe yuko wapi? Amesafiri kikazi au yuko busy na masuala mengi au changamoto za bungeni zimekuwa za moto mno hivyo kusevu kwa kuwaachia wenyeviti na naibu? Au kuna ratiba ya zamu za kuongoza Bunge? Naomba kufahamishwa nisipitwe na taarifa.
kama angekuwa safarini ingejulikana! labda pressure tu kaka !ndugu zake wa karibu wanasema huwa anapiga sala kwa sana kabla ya kuingia bungeni kupambana na changamoto za chadema!
 
Tanzania hakuna nidhamu bila adhabu.Hii ni kutokana na malezi ya fimbo toka msingi mpaka Sekondari.Hivyo maoni ya Watanzania kumtaka Spika kushape bunge,naona Ndugai ametekeleza.

Kimsingi wote wakorofi wameufyata na nilazima kutamka ''mheshimiwa Spika/naibu Spika/Mwenyekiti'' hata kama umenuna teeeeh...teeeeh.
 
Back
Top Bottom