Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
<br /><font color="#a52a2a"><b>Hawana hadhi tena , wametolewa km watoto huku askari wakiwasukuma ! WAJIUZULU</b></font>
<br />
Sera ya magamba wanamacho hawaoni wana masikio hawasikii wabunge waliowasha maiki ni wengi wakiwemo na magamba kwavire haoni/hasikii akawaona 3 asikari haohao ndo wanauwa ndugu zao kira kukicha walisha poforewa macho nikukumbushe wapo wangapi? Nasi wachovu tupo wangapi tukisimama nakusema imetosha jibu unaro