Naibu waziri wa mambo ya ndani na hotuba ya kambi ya upizani

Chadema kama ikibidi take it notch higher do Malcom X vibe. Sisi iko sambamba..
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap. <br />
<br />
Cha kujiuliza: <br />
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?<br />
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?<br />
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....<br />
<br />
Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.<br />
<br />
'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.
<br />
<br />

Cjui unawazungumzia wana Arusha kina nani walimchoka lema?
Labda Mayor wa jiji? Au Batilda Buriani(Zanzibar) au mkurugenzi? Au labda unamsemea Chatanda!!! Maana co sisi walala hoi, washindia mihogo, tunaomwagiwa maji ya kuwasha, na mabomu ya machozi, na risasi vifuan, ambao dada zetu wanajifungulia chini, tunaosoma na mshumaa, ambao nyumba zetu zina vuja!!

Na Lema Godbles kwa taarf yako ana master, heru yenu CCM mna maprofesa maji marefu! Chukua hiyo!
 
Ebu tuwekee huo uchambuzi usitupotezee muda ama kama unataka kuwasababishia wenzako ban.Kudai kuwa hotuba ile ni pumba ni kuwa out of touch.
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.

Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....

Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.

'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.

Tangu nimeingia hapa JF sijawai pitia post iliyokosa mshiko na tija kama hii...una upungufu mkubwa wa mawazo,fikra finyu,mawazo mgando na unaonekana umekosa la kusema...Hakuna mtu yoyote katika serikali hii ya kiuhuni anayeweza kutoa hoja yoyote juu ya hoja za CDM.Huyu waziri unayemzungumza ni yupi? Ni huyu Kilaza LUkuvi ambaye anacheti cha standard seven,au ni Kagasheki? Hakuna awamu ya uongozi serikalini iliyojaza vilaza kama hii.....
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.

Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....

Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.

'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.


Nendeni mkwaambie wananchi kwa nini mmeshindwa kuwaletea maji, umeme, elimu bora, na kwa nini wanaishi maisha magumu huko vijijini na mijini. sio kubwabwaja humu ndani ya JF, hata mkisema sisi hatuwataki tena nyie CCM hamna msaada zaidi kwa watz na mtaifikisha nchi pabaya. Hamtaki kuambiwa ukweli, yahani mmekaa uchi mnataka mwambiwe mmevaa nguo nyie vipi bwana. Mmekaa kutuibia miaka yote hiyo watu wanaota vitambi tu visivyo na tija. Sasa tutawapelekesha mpaka mjute.
 
Tangu nimeingia hapa JF sijawai pitia post iliyokosa mshiko na tija kama hii...una upungufu mkubwa wa mawazo,fikra finyu,mawazo mgando na unaonekana umekosa la kusema...Hakuna mtu yoyote katika serikali hii ya kiuhuni anayeweza kutoa hoja yoyote juu ya hoja za CDM.Huyu waziri unayemzungumza ni yupi? Ni huyu Kilaza LUkuvi ambaye anacheti cha standard seven,au ni Kagasheki? Hakuna awamu ya uongozi serikalini iliyojaza vilaza kama hii.....


Kweli kabisa kaka yahani hawa wamechukuana sijui wamezoana wapi. Hivi walifikiri kuongoza nchi ni kama kucheza mnanda? sasa si unaona nchi imewashinda na hata sasa hakukaliki kila siku kiguu na njia. Ndo maana wazee wenye busara zao wa CCM wamejikalia kimya kushuhudia jinsi chama kinavyokufa. Hawa vilaza ndo waliojaa CCM ndo maana unaona kinakufa. Enzi za kina Mangura, Mkapa CCM ilikuwa Strong kabisa si siku hizi wamebaki wa bora liende tu hivyo hivyo hakuna cha ziada.
 
Wanajaribu kuihujumu JF lakini JF tuko strong. Huyu jamaa alichokosea alipoingia madarakani akawatoa maintelligent wote (wenye IQ kubwa), wenye uwezo mkubwa wa kuchambua mambo (timu ya Mkapa) na akawaingiza wacheza mchiriku. Akadhani kapata kweli. Sasa anakula jeuri yake kila kitu hakishikikiki kabisa. Kifo cha nyani hiki kuelekea 2015. Na shame on CCM saizi wamebaki kupiga porojo majukwaani lkn 2015 tutawauliza na mtazomewa sana. Msicheze na wasomi bwana mtaanguka vibaya.
 
Nasita kuamini kuwa ilikuwa ya CDM ninayoijua yenye akina Zitto, Mnyika Slaa etc.
Any way, kama ni kweli kuwa ni ya CDM....Chama Kikuu cha Upinzani....basi, Tz tumekwisha!
Kishongo kwa kawaida siasa za vyama vingi ni "kukosea kwako ni agenda kwa mwenzio" na impact yake sio ndani ya chama bali kwa wananchi, sasa tatizo la magamba wanajiangalia wao ndani ya chama tena wale vibopa hapo ndipo mnapokosea, pita mtaani sasa uliza kati ya hotuba ya waziri kivuli na ya waziri kamili ipi imeungwa mkono na wananchi - usifumbe macho yafungue uone yaliyopo kwenye hotuba ni ukweli au uongo kisha uje na uchambuzi wako hapa wa kina tuuone
 
@Kishongo na wenzake, kama umesoma magazeti leo utagundua kuwa karibu yote yameandika kuhusu hotuba ya Mh Lema na kutolewa nje kwa wabunge watatu wa CHADEMA (Lissu, Mchungaji Msigwa na Lema mwenyewe). Hotuba ya waziri wa mambo ya ndani imesahaulika kabisa na hata kwenye maongezi mitaani watu wanajadili yale aliyowasilisha Lema.Hili sio jambo jema hata kidogo kwa serikali kutosikika sio uraiani sio kwenye vyombo vya habari. Na watu wanaonekana kukubaliana na hoja za CHADEMA.

Tafsiri yake ni kwamba ccm wanaonesha dalili zote za kuwa 'out of touch'. This is a political suicide. Nina hakika ukiuuliza wananchi wa kawaida waseme nini kimeongelewa kwenye hotuba ya bajeti ya wizara ya mambo ya ndani, wengi (kama sio wote) watakumbia nini Mh Lema asema lakini sio yaliyosemwa na Mh Shamse Vuai Nahodha. Na huu ubunifu wa ccm wa kutaka kukandamiza hoja za CHADEMA kwa kisingizio cha kanuni cha bunge unaonekana kuwa na madhara makubwa kwa ccm kuliko wanavyofikiri. Inaonekana wazi kabisa wabunge wa ccm wanaiwakilisha serikali na sio wapiga kura wao. Sijui 2015 watatoa utetezi gani maana ushahidi wa ki-video utakuwepo. CCM ina hali ngumu na kama hawata -ji-define upya wanaweza kabisa kuwa kambi ya upinzani.
 
Nasita kuamini kuwa ilikuwa ya CDM ninayoijua yenye akina Zitto, Mnyika Slaa etc.<br />
Any way, kama ni kweli kuwa ni ya CDM....Chama Kikuu cha Upinzani....basi, Tz tumekwisha!
<br />
<br />

sema nimekwisha, umekwisha na nani? Wenzako tumeipenda hiyo hotuba tungependa hata irudiwe kila siku ili watu waelewe kinachoendelea ambacho magamba hawataki wakijue!

Kwani ulitaka Lema aipambe serikali ya magamba? Forget it!
 
Uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi Mhe Lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya Lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap. <br />
<br />
Cha kujiuliza: <br />
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya CDM wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?<br />
2. CDM Wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?<br />
3. Huyu Lema ndiye anatarajiwa kuwa Waziri wa Mambo ya Ndani pale ndoto za CDM zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-Katibu Kata.....<br />
<br />
Wana Arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.<br />
<br />
'A LITTLE LEARNING IN DEED MAY BE DANGEROUS'.....imenukuliwa na Naibu Waziri Mambo ya Ndani.
<br />
<br />
Mkuu ungetuchambulia kabisa na hizo pumba tuzione badala ya kutuhadithia vinginevyo tutaconclude 'mfa maji........'!
 
Ni aibu kujaribu kuua sisimizi kwa kutumia bomu. Kutumia nguvu nyingi kujibu hoja zinazotolewa na CDM ni wazi kwamba serikari imetishwa na ukweli uliotolewan na inajua muitikio wa wananchi ukoje.
Sioni kwa nini viongozi wa serikari wajaribu kuteka akili za wananchi walala hoi kwa kutetea wezi, wala rushwa, wauaji, wabadhilifu wa rasilimali na uozo wote.
Kweli serikari hii ni corrupt, inatumia gharama kuziba maonevu ya raia.
Tumeuawa.
 
Pole sana kwa kukurupuka, hotuba ya Lema inakubalika sana kufuatia maoni yaliyotolewa na watanzania kwenye mitandao mbali mbali kote duniani. Sasa sijui wewe ndugu unaishi duniani gani? Naibu waziri wa serikali iliyo paralize atawaeleza nini watanzania makini wenye uchungu na nchi yao.
 
Sijui, ila hata mimi nimeimindi ile budget aliyosoma Lema......imagine yeye ndio angekuwa waziri wa mambo ya ndani ya ukweli, halafu budget anayoipresent ndio ile......kuna kitu kweli pale?

Aliyakwambia Mh Lema amesoma Bajeti nani?
 
Muacheni mrembo wa A-town.(Hb)wanamuonea wivu.Kijanaa anajaribu kuamsha raia wenye wamelala at least wajielewe,kwani si munajua tena wabunge wa chama ccm wao sijui chai yao hua na nini kwani wakiingia mjengoni wao ni kuuchapa usingizi,kipindi hiki kulala no.
 
<br />
<br />

Cjui unawazungumzia wana Arusha kina nani walimchoka lema?
Labda Mayor wa jiji? Au Batilda Buriani(Zanzibar) au mkurugenzi? Au labda unamsemea Chatanda!!! Maana co sisi walala hoi, washindia mihogo, tunaomwagiwa maji ya kuwasha, na mabomu ya machozi, na risasi vifuan, ambao dada zetu wanajifungulia chini, tunaosoma na mshumaa, ambao nyumba zetu zina vuja!!

Na Lema Godbles kwa taarf yako ana master, heru yenu CCM mna maprofesa maji marefu! Chukua hiyo!

Hiyo master atakuwa ameipata toka kwako/
 
uchambuzi uliofanywa umemwacha uchi mhe lema na chama chake. Mengi katika hotuba ya lema yalikuwa ni off-point, anafanya nukuu zisizohusiana na mada, anatoa mifano isiyolandana na hoja na kwa kifupi ile hotuba ilikuwa ni crap.

Cha kujiuliza:
1. Wanaojifanya kuwa marafiki zake ktk serikali kivuli ya cdm wamemponza kwa makusudi na kumwacha awasilishe zile takataka?
2. Cdm wamemchoka kutokana na elimu yake duni hadi kumwacha atoe hadharani ule upuuzi?
3. Huyu lema ndiye anatarajiwa kuwa waziri wa mambo ya ndani pale ndoto za cdm zitakapotimia za kukamata dola. Je, ipo siku tz itakuwa na waziri kilaza/mbumbumbu kama huyu?...hafai hata kupewa u-katibu kata.....

Wana arusha, mlimpa kura na sasa mmeumia.....imekula kwenu.....ni miaka mitano ya maumivu.

'a little learning in deed may be dangerous'.....imenukuliwa na naibu waziri mambo ya ndani.
huku arusha lema ni kama mungu muulize nape kwanini alishindwa kutia mguu, tungemf******a. Aje aone ili mjue lema ni nani hasa.
 
@kishongo na wenzake, kama umesoma magazeti leo utagundua kuwa karibu yote yameandika kuhusu hotuba ya mh lema na kutolewa nje kwa wabunge watatu wa chadema (lissu, mchungaji msigwa na lema mwenyewe). Hotuba ya waziri wa mambo ya ndani imesahaulika kabisa na hata kwenye maongezi mitaani watu wanajadili yale aliyowasilisha lema.hili sio jambo jema hata kidogo kwa serikali kutosikika sio uraiani sio kwenye vyombo vya habari. Na watu wanaonekana kukubaliana na hoja za chadema.

Tafsiri yake ni kwamba ccm wanaonesha dalili zote za kuwa 'out of touch'. This is a political suicide. Nina hakika ukiuuliza wananchi wa kawaida waseme nini kimeongelewa kwenye hotuba ya bajeti ya wizara ya mambo ya ndani, wengi (kama sio wote) watakumbia nini mh lema asema lakini sio yaliyosemwa na mh shamse vuai nahodha. Na huu ubunifu wa ccm wa kutaka kukandamiza hoja za chadema kwa kisingizio cha kanuni cha bunge unaonekana kuwa na madhara makubwa kwa ccm kuliko wanavyofikiri. Inaonekana wazi kabisa wabunge wa ccm wanaiwakilisha serikali na sio wapiga kura wao. Sijui 2015 watatoa utetezi gani maana ushahidi wa ki-video utakuwepo. Ccm ina hali ngumu na kama hawata -ji-define upya wanaweza kabisa kuwa kambi ya upinzani.
mkuu hawawezi jua hao maana kwao ni kiza kinene, heri yao wenye ufahamu watatambua nchi ikoje kuliko vilaza kama lukuvi
 
Acha kujivika uwakilishi. Unamsemea nani wewe? Hujatumwa kuwazungumzia watu wa Arusha. Wengi wanasikitika na upuuzi unaofanywa na mtu waliyempa kura zao, hawakumtuma Lema akawaaibishe mbele ya macho ya Wa tz na dunia. Ni aibu tupu....inashangaza unaitetea.
Sasa wewe ndo unawasemea wengi. Hebu kuwa na ujasiri tutajie mbunge wako ni nani kama sii Lukuvi atakua Prof Majimarefu.
 
Back
Top Bottom