Mimi ni dereva na nina washikaj zangu madereva kwenye hizo tasmadisi zote mbili ila mahaka aiseee kule ni balaaaa na kingne kuhama mahakana ni kama kutafuta bikra kwenye wodi ya wazazi so bora local govement kidogo unaweza ukatusua mahakama labda kumhebdesha jaji na kama ni dereva mgeni ni kazi...
mali mbichi kwa milion mbona mtaj mdogo sana coz huo ni mtaji wa mfanyabiashara wa matunda ndan ya dar anae nunua mzgo kutoka kwa mfanyabiashara wa arusha au Tanga
Mimi ni dereva wa truck nimeona watu wengi wanachukua pumba mikoa ya nyanda za juu kusini hasa songea kule pumba ni bei chee sana mala mwisho mwezi wa 3 debe ilikuwa elfu 1000 kijijini hadi mia 800.
Kuna kipindi nilikuwa nikikosa mzigo wa kurudi nao nanunua pumba nakuja kuuza Dodoma debe Dom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.