Nahitaji kufanya biashara ya kuuza pumba

kiri12

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
637
555
Habari wanajamvi,

Nahitaji kufanya biashara ya kuuza pumba, nilikuwa naomba kufahamishwa faida zake na je, gunia moja la pumba lenye debe saba huwa linauzwa bei gani?

Mwenye uzoefu anijuze tafadhali.

1622536574572.png

 
Ukikosa msaada uku,nenda manzese kama uko dar,ulizia mama neema,pale kwenye machine nyingi nyingi za kusaga na kukoboa.bei zinapandaga na kushuka kulingana wingi wa mazao kutoka shamba
Sawa asante kwa ushauri wako, nitafuatilia
 
Mimi ni dereva wa truck nimeona watu wengi wanachukua pumba mikoa ya nyanda za juu kusini hasa songea kule pumba ni bei chee sana mala mwisho mwezi wa 3 debe ilikuwa elfu 1000 kijijini hadi mia 800.

Kuna kipindi nilikuwa nikikosa mzigo wa kurudi nao nanunua pumba nakuja kuuza Dodoma debe Dom walikuwa wananunua elfu 4000.

Gunia mpaka linaingia kwenye gari linakuwa limekosti sh elfu 80 coz Debe 6 ni elfu 6000, kuna wapakiaji kamba, ushuru, wajazaj, mifuko na mambo mengine so kwa kila gunia nikiuza nilikuwa napata elfu 16000 profit so kama wewe hauna gari tulikuwa tunasafilisha kwa sh elfu 6000 kila gunia Songea to Dom.
 
Mimi ni dereva wa truck nimeona watu wengi wanachukua pumba mikoa ya nyanda za juu kusini hasa songea kule pumba ni bei chee sana mala mwisho mwezi wa 3 debe ilikuwa elfu 1000 kijijini had mia 800. kuna kipindi nilikuwa
Nipe maujanja mkuu vipi huko pumba inapatikana kwa wingi? Na soko lake linauhakika?
 
Mimi ni dereva wa truck nimeona watu wengi wanachukua pumba mikoa ya nyanda za juu kusini hasa songea kule pumba ni bei chee sana mala mwisho mwezi wa 3 debe ilikuwa elfu 1000 kijijini hadi mia 800.

Kuna kipindi nilikuwa nikikosa mzigo wa kurudi nao nanunua pumba nakuja kuuza Dodoma debe Dom walikuwa wananunua elfu 4000.

Gunia mpaka linaingia kwenye gari linakuwa limekosti sh elfu 80 coz Debe 6 ni elfu 6000, kuna wapakiaji kamba, ushuru, wajazaj, mifuko na mambo mengine so kwa kila gunia nikiuza nilikuwa napata elfu 16000 profit so kama wewe hauna gari tulikuwa tunasafilisha kwa sh elfu 6000 kila gunia Songea to Dom.
Unazungumzia pumba ya mahindi au pumba lain ya mpunga?
 
Back
Top Bottom