Standards Person
JF-Expert Member
- Apr 22, 2021
- 673
- 859
Pole mkuuSijaomba ninalijua toka kitambo halina dereva. Ndio nikawa naliendesha yaani hakuna raha kbs ila kwa nje lipo bomba.
Pole mkuuSijaomba ninalijua toka kitambo halina dereva. Ndio nikawa naliendesha yaani hakuna raha kbs ila kwa nje lipo bomba.
CaterpillarAina gani SAKAI ama KOMATSU
Wewe ni Dereva wa kijijini !! Endelea kuzunguka hapo hapo ROUND ABOUT
Ndio unataka dereva wa kuliendesha.Caterpillar
Nalimudu mwenyewe mkuu. Labda uniongezee jingine.Ndio unataka dereva wa kuliendesha.
Anaogopa kuchomwa na mbigiriVua hizo gloves endesha kavukavu utafika fasta
Aupakae Lubricant ili gia iingie SmoothAnaogopa kuchomwa na mbigiri
Yeah hili anapaswa alizingatie haswa
Madhara ya kupima Oil na Kuzoea kupita topeniHii hali ipo kwa kila dereva? Nina tatizo la kutofika kabisa mwisho wa safari hata nikibadilisha rubber maana mimi ni mpenzi wa kutumia raba naogopa mpigiri.
Juzi moja nilipata gari moja hivi nikaendesha kwa muda wa saa 3 lakini nikashindwa kufika kbs safari ya Kibaha tu. Nikabadilisha raba wapi nikalala njiani.
Nikaamkia asubuhi holaa gari linaunguruma hasa mpaka linachoka lakini mimi dereva nashindwa kufika, na sio kama gari mbovu linasimama hasa ila hali hii ikeshanitokea mara nyingi uwa napata hasara tu gari linaondoka bila kufika safari lenyewe linamwaga oil sana.
Je, jamani mimi dereva goigoi ama natakiwa kuendesha guta na TOYI?