Mapenzi bila true love ubunifu mpelekee Bill getMapenz ni ubunifu tu, mtoe out sehemu ambazo hamkuwahi kwenda pamoja, fanyeni hata utalii wa ndani kwa wiki endi moja. Sio miaka yote hata kwa walio kwenye ndoa eti wanakuwa na hisia kwa kila mmoja wapo kuna taimu wanaishi ishi tu.
Duh...Ulilipa mahari bei gani mkuu nikuridishie pesa zako ili Mkalimani nichukue goma.
Umechoka wewe! 🤣 🤣 🤣Mimi nikimchoka mpenzi wangu huwa natafuta jamaa ambae nae amemchoka mpenzi wake pia kisha tunabadilishana wapenzi kwa muda hata wa miezi miwili au mitatu.
Ashalipa mahari huyo! 🤣Hii hutokea mkuu.. hii ni kwasababu bado moyo wako unahitaji kula ujana, haujawa tayari kujifunga kwa mtu. Chakufanya jipe muda.. usikimbilie ndoani sasahivi, moyo unaamini kuna mtu bora zaidi ya unaekuwa naye wakati huo, ukijifunga kwa ndoa sasahivi utajuta. Jipe muda
Kaka! Achana na wanaokukatisha tamaa.. ukweli mchungu ni kwamba mapenzi ni lazima yahusishe ‘rise and falls’. Kuna magomvi, kuna kuchokana na kuna kipindi kinafika mnachukiana kabisa (refer kipindi wanandoa wanapofumaniana).
Kikubwa usisahau kwamba wewe na mwenzako mmetoka kwenye matumbo tofauti, malezi tofauti, tabia tofauti na vitu vengine kibao mnavyoyofautiana, kwaiyo ili muweze kuishi ni lazima mjifunze kukubaliana madhaifu yenu, kusikilizana (maana hakunaga mapenzi ya utemi yanayodumu), kupendana na muhimu zaidi kuwa na ‘commitment’ ya mahusiano yenu. Hapo mtaishi...
Lastly, iyo hali ni ya kawaida. Baada ya muda flani mapenzi yatarudi tena (lakini kama kweli mnapendana). Ukipata mwanamke anayeweza kuvumilia matatizo yako usimuache. Best wishes
Nina maswali kadhaa ambayo ukiyajibu yatasaidia ktk kutoa ushauri sahihi.
1.Kipi kilichokufanya uvutiwe nae?
2.Mnashare common interests?
3.Kuna incident yoyote ilotokea baina yenu,kujibizana,kubadilishana kauli?
4.Kuna vitu mlivyokuwa mkifanya mwanzo na hamvifanyi sasa?
Mapenz bila true love ubunifu mpelekee Bill get
We hiyo pisi unaijuaUlilipa mahari bei gani mkuu nikuridishie pesa zako ili Mkalimani nichukue goma.
Katika maisha si kila kitu ni cha kila mtu, Swali kwako mtoa mada kitu gani ambacho unafanya katika maisha yako ambacho hakijawahi kukuchosha na una crave kwacho kila mara?
Je una watu unawapenda (wazazi, ndugu, marafiki) ambao unatamani wangekuwa karibu yako kila mara? Je wewe ni mtu wa kubadili marafiki mara kwa mara au ni mtu wakustick na marafiki zako wa muda wote. Je kama wapo hakuna rafiki wa kike kati yao ambaye unampenda na kummiss mara kwa mara? Kama yupo huoni kuwa huyo ndio anapaswa kuwa mpenzi wako.
Mi naona kama huyo mpenzi uliye naye si wako, na hujawahi kukutana na mpenzi wako. Utawatesa mno watoto wa watu. Kuna watu hawana upendo, kwa athari walizopata katika mapenzi ya kwanza au mapenzi ya familia walikotoka, Inahitaji therapy ya hali ya juu sana.
Ahsante kwa kunijibu nadhani kutokana na jibu lako utagunda kuna vitu anavifanya vinakukera na kukubore hatimae baada ya muda kupunguza upendo wake kwako.Jaribu kuongea nae ili ajirekebishe kuhusu hilo na wewe vilevile ungejirekebisha na kufanya vitu ambavyo vitampendezea mwenza wako ili kuepuka malalamiko.Kujibu maswali yako ngoja nijibu ninayoweza kuyajibu na kwa yale sitajibu basi inamanisha sijakuelewa vizuri.
3. No any bad incident has happened in a previous days, It’s just I found myself loosing interest in her. No more Missing to hear her voice japo yeye anajitahidi kupiga simu sana kadri anavyopata nafasi ila mimi moyo umepoa sana. Labda ninachokikumbuka ni kwamba anapenda sana kulalamika vitu vidogo vidogo kwa akija kunitembelea kuanza kulalamika vitu ambavyo mi naona haviniingii akilini nina kereka sana anavyokuwa analalamika vitu vidogo.
Kwa mfano anakuja kwangu akikuta soksi zipo sebureni au akute vyombo vichafu kusema sema maneno binafsi sipendi kulalamikiwa sana kama mtu hawezi kurekebisha basi anyamaze nitarekebisha nitakapo kuwa tayari mambo ambayo kwangu mimi sioni kama ni mambo ya mtu kuwa mlalamikaji kiasi kile.
4. Vitu ambavyo hatuvifanyi sana sasa hivi kuongea kwenye simu muda mrefu ambacho sina hisia na nakosa hata stori za kumwambia (Naamini utanielewa).
Ahsante kwa kunijibu nadhani kutokana na jibu lako utagunda kuna vitu anavifanya vinakukera na kukubore hatimae baada ya muda kupunguza upendo wake kwako.Jaribu kuongea nae ili ajirekebishe kuhusu hilo na wewe vilevile ungejirekebisha na kufanya vitu ambavyo vitampendezea mwenza wako ili kuepuka malalamiko.
Jambo jingine ningekushauri muwe mnafanya vitu tofauti nje ya nyumbani mubadili mazingira mfano activity ambayo mtafurahia kama ni sport,dates,vacation,movienight n.k simaanishi lazima ugharimike mfano date sio lazima uende fancy restaurant unaweza ww kuandaa msosi maalum nyumbani na utengeneze enviroment romantic,bubble bath,candles,massage etc etc
Mapenzi ni kama ua yanahitaji kupaliliwa na usipopalilia yanakufa na ndio maana unaona kwenye mahusiano mengi baada ya muda watu hutoka nje kutafute sparks/excitement au wapo pamoja tu kwaajili ya mazoea...