Single mother ameniteka

Single mother ameniteka

Ndio hivyo sasa hiyo sio bangili ni pingu ushafungwa hapo huchomoki dingii.
Kuna siku nilienda kuoga niliivua nikaliacha ndani nilivyo maliza kuoga nikalisaau kulivaa, mshikaji wangu akalichukua akalificha kwake, Sasa tulivyo onana na single mother nikamwambie zawad yako rafiki yangu kaichukua ana ivaaa, dem akawa mnyonge kweli Kama dakika 5, akanijib mwambie akupe kwanini avae zawad ya mpenz wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'na Mimi sipendagi madem kutoka moyoni'.

Unapendaga madem kutoka mguuni au sio?
 
Kuna siku nilienda kuoga niliivua nikaliacha ndani nilivyo maliza kuoga nikalisaau kulivaa, mshikaji wangu akalichukua akalificha kwake, Sasa tulivyo onana na single mother nikamwambie zawad yako rafiki yangu kaichukua ana ivaaa, dem akawa mnyonge kweli Kama dakika 5, akanijib mwambie akupe kwanini avae zawad ya mpenz wako

Sent using Jamii Forums mobile app
Vumilia tu kama hana mambi ya kukuomba ela kila mda wendelea kubembea tu
 
Lichuma hilo lichuma hilo livue haraka sana kabla hujaharibikiwa 😂😂😂😂
Habar ndugu za nguni naombeni ushauri, nipo na single mother kwenye mahusiano Mwaka mmoja, nashangaa ghafla nimeanza kumpenda Sana na siwez kuacha kumpigia sim na kutumia sms, kipindi cha nyuma nilikuwa simpendi alikuwa ana ladhimisha tuonane Mimi nilikuwa na mpiga chenga Sana, siku Moja nika mkubalia tuonane na kweli tukaonana, siku hiyo tulivyo onana akanipa zawadi ya kuvaa mkononi lichuma flani akanivalisha mkononi, Cha kushangaza tokea siku hiyo nime kuwa nikimpenda na kumuwaza Sana tofauti na kipindi cha nyuma, Yan siwez kukaa bila kumjulia hari, wakat kipind cha nyuma ilikuwa ina pita miez simtafuti kabisa. Nashangaa sasaivi muda wote roho kama inataka kutoka kwa kumuwaza yeye tu huyu single mother, Yan asipo pokea sim yangu au kujibu sms zangu naumia Sanaa mpaka naanza kuisi Kuna Jambo nimefanyiwa kabisa, na Mimi sipendagi madem kutoka moyoni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
singo maza watam kudate nao, hulali na nyege hata siku moja
watam kinyama kitandani
ila usioe, mambo ya 1-0 sio poa
 
... kutumia SMS = kumtumia SMS
... analadhimisha = analazimisha
... kumjulia hari = kumjulia hali
... naanza kuisi = naanza kuhisi
 
Back
Top Bottom